MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,038
- 2,224
Hili tatizo la dini halitakwisha. Sielewi ni kwa nini Islamic na Bible knowledge yamefanywa Kuwa ni masomo ya sekondari! Baada ya mgogolo wa majibu ya Islamic knowledge, Ndalichako aliomba masomo haya mawili yaondolewe kabisa kwenye mitaala ya sekondari.
ndugu zangu wa BAKWATA walikuwa wa kwanza kukataa! Lakini Ndalichako alikuwa sahihi kabisa. Anayeyahitaji kwa nguvu akasome seminari, basi!
Haya mambo mengine ya uislamu vs ukristu au waislamu vs wakristu kuachwa nyuma au eti nafasi fulani hatujawahi kushika ni upuuzi tu! Nani aliwabagua, nani aliwanyima, mulikuwa wapi wenzenu walipokuwa wakipata nafasi hizo? Muliomba mukanyimwa kwa sababu tu ya dini? Kwa uzembe mtu atasema ndiyo, unao ushahidi?
Historia ya nchi za east africa inaonyesha udhaifu wa uislamu ktk huduma za jamii. Kubali kataa hali iko hivyo ndo maana hakuna shule za maana au hospitali ya maana ikimilikiwa na dini hii. Hakuna aliyezuia kufanya hivyo halafu awaruhusu kujenga misikiti.
Mwinyi akiwa Rais tumeshuhudia juhudi ikiwa ni kujenga misikiti maeneo ya wazi kama magomeni traffic lights badala ya mashule.
Leo hii tukibaguana na kuongeza chuki, wakristu wakiamua kuwabagua mutatibiwa wapi? Bugando na KCMC zote za wakristu, munaowaita makafiri.
Najiuliza hali ya mkristu ingekuwaje kama waislamu ndo wangemiliki Bugando, KCMC, na sekondari zingine nzuri kama ilivyo kwa wakristu sasa hivi? Naamini wakristu wangekoma!
ndugu zangu wa BAKWATA walikuwa wa kwanza kukataa! Lakini Ndalichako alikuwa sahihi kabisa. Anayeyahitaji kwa nguvu akasome seminari, basi!
Haya mambo mengine ya uislamu vs ukristu au waislamu vs wakristu kuachwa nyuma au eti nafasi fulani hatujawahi kushika ni upuuzi tu! Nani aliwabagua, nani aliwanyima, mulikuwa wapi wenzenu walipokuwa wakipata nafasi hizo? Muliomba mukanyimwa kwa sababu tu ya dini? Kwa uzembe mtu atasema ndiyo, unao ushahidi?
Historia ya nchi za east africa inaonyesha udhaifu wa uislamu ktk huduma za jamii. Kubali kataa hali iko hivyo ndo maana hakuna shule za maana au hospitali ya maana ikimilikiwa na dini hii. Hakuna aliyezuia kufanya hivyo halafu awaruhusu kujenga misikiti.
Mwinyi akiwa Rais tumeshuhudia juhudi ikiwa ni kujenga misikiti maeneo ya wazi kama magomeni traffic lights badala ya mashule.
Leo hii tukibaguana na kuongeza chuki, wakristu wakiamua kuwabagua mutatibiwa wapi? Bugando na KCMC zote za wakristu, munaowaita makafiri.
Najiuliza hali ya mkristu ingekuwaje kama waislamu ndo wangemiliki Bugando, KCMC, na sekondari zingine nzuri kama ilivyo kwa wakristu sasa hivi? Naamini wakristu wangekoma!
See