Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Mnakazi.mlichelewa soma ndugu...angalia shule zinazoongoza ni za wakristu......na mkileta udini wenu 2015 tutawanyosha

Mtawanyoosha kwavile chadema itachukua nchi eti eee....
 
Kule hakuna takbill !!! Alah wakubal .na wala necta haiulizi maswali ya mtume s.a.w maislam mengi kichwan hakuna kitu mi takbill ndio imewajaa vichwani halafu mnamsingizia ndalichako, haya mmepunguziwa marks hadi 19 lakini hakun hata mmoja wa waislam aliye shika top 100 achilia mbali top 10. Someni nyie achen kulalama mitihani sio quraan

sawwa bana geneuos................SHUKRANI KWA PAROKIA YA MTAKATIFU NDALICHAKO........
 
Dada mbona Mh. Rais nimuislam lakini mbona zile hoja hasa za mahakama za kazi alizitupa kando huyu wa necta ndy

ataleta mabadiliko?..

Pigeni msuli msitafute slop!...

Jamaa mnajiona mnasoma kinoma....xul zenu za kina ST flani hamna kitu...hao vilaza tukikutana nao ADVANCE na chuo tunakimbiza mbaya mpaka twajiuliza MARKS ZA NECTA WAMENUNUA how much kwa Ndalichako!
 
Tatizo ni kwamba ndugu zetu Waislamu hawana future plan. Wanaponunua eneo la kujenga msikiti huwa robo au nusu heka ikizid n hekari moja tu. Shule na hospital watajengea wapi? Badilikeni
 
Embu nisaidieni wachunguzi: Hizi islamic schools kwenye mitihani ya ujirani mwema, mock na pre-NECTA zilikuwa zinafanya vzr dhidi ya skuli za wakorinto afu necta ndo inakuwa vise versa? Au na huko mikoani na wilayani kwny vijimitihani vidogo vidogo Dr.Ndalichako alikuwa anazunguka kwenda kuwahujumu?
 
Kuondoka kwa Dr. Ndalichako ni aibu kubwa kwa Serikali. Dr. Ndalichako alisimamia haki na alikuwa mtendaji mzuri asiye na mfano. Mtakuja kumkumbuka Dr. Ndalichako wakati Tanzania itakapokuwa nchi yenye wasomi wajinga na kuchekwa na nchi jirani zetu. Usife moyo Dr. Ndalichako hii ndiyo Serikali ya awamu ya nne.
 
Ndalichako hafundishi wala hasaishi mitihani wala shukuru kawambwa mbona matokeo ya darasa la saba hamyaongelei?? Hii hoja ya udini jmn tuachane nayo tujadili uchumi katiba yetu na Rais wetu ajae baada ya bwana kibandiko kung'atuliwa kwa mujibu Wa katiba
 
Nilikuwa nakuheshimu sana dada yangu lakini kwa mchango wako huu,

Umejipunguzia Heshima ya Utu wako na Umewapatia Heshima ya Mashaka

watu waliokuheshimu kwa muda mrefu pamoja na waislamu wenzako.

Nijambo la aibu ktk zama hizi kuingiza chembechembe za udini kwenye Professionalism
ktk utendaji. hupaswi kujutia kuwa muislamu, kinachotakiwa ni kusoma kwa juhudi
na mhimizane kubadilika. Nyinyi upande wa pili wa dini kuna mambo fulani mlishakosea
huko nyuma ndo kinachowatafuna hadi sasa na mnadhani adui yenu ni NECTA
chini ya NDALICHAKO, Real you are fighting the wrong enemy.

Hapa ndo mnaponikumbusha Luddism na chartism huko England.

I stand to be corrected.

Mkuu umeongea point sana.
 
Ndio ameondoka........nashangaa mfumo wa elimu ya Tanzania ina politics nyingi na ukweli ni zero... angalia shule za serikali hoi.....hoi na hakuna kitu pale wao ni deal tu za michango ya choo,mlinzi,maji,umeme nk ameondoka sb serikali inataka kuwabeba waliofeli bila kujua kuwa wanaathiri standard za kufaulu
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha
 
Swali lingne msinichoke: Vp ukilinganisha uwiano huu wa kusoma kati ya waislamu na wakristo ktk nchi nyingne E.Africa ukoje? Na World wide je kati ya nchi za kiisilamu na nchi za kikristo au Dr.Ndalichako anasimamia mpaka huko? Mie sijui kazi kwenu wafukunyuzi, nawasilisha.
 
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha

Taarifa zote unazo na bado huelewi
Yupo likizo likizo ya ya kitaaluma au kimasomo na baada ya mwaka mmoja anarudi
Maana yake bado yupo NECTA
 
Kule hakuna takbill !!! Alah wakubal .na wala necta haiulizi maswali ya mtume s.a.w maislam mengi kichwan hakuna kitu mi takbill ndio imewajaa vichwani halafu mnamsingizia ndalichako, haya mmepunguziwa marks hadi 19 lakini hakun hata mmoja wa waislam aliye shika top 100 achilia mbali top 10. Someni nyie achen kulalama mitihani sio quraan

Teh Teh Teh... Acha chuki na waislamu, uislamu ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo. Hiki ndio kitu gani Takbil, Alah wakubal usiandike vitu usivyovijua! Hakuna haki pale NECTA sisi tunaiita parokia. Pale ni machinjio ya waislamu.Nani rais wako hivi sasa mkristo!!!
 
Wallahi kufuatia kutoka kwa ndalichako tumeanza kuona mabadiliko hebu tazamana Nyasaka Islamic, Kilinjiko Islamic, Mudio Islamic,Ubungo Islamic,Algebra Islamic, katoro Islamic,Taqwa,Darul alqam Morogoro,Daarul alqam dsm,just kwa uchache tu,lakini enzi za ndalichako ni balaa,sijui alikuwa ananufaika na nini kuwafelisha waislam . Ni ajabu sana watu wanatekeleza mikakati ya kuwafelisha kwa maksudi wananchi wa Tanzania kisa dini.Kwa upuuzi huu ndiyo maana nchi haiendelei
mm nlisoma shule ya mchanganyiko wa dini mkoan DSM shulee maarufu mnamo 2002 rector alidiriki kuwaambia wanafunzii wa kiislam wasomee waachane na mambo ya kudai sehem ya kusali ktk shule kama hawataki waondokee kabla ya wastani wa shule kuwapiga xhini.Amin usiamin jamaa hawakuhama na tukamaliza nao F4 wakapata div.1 and div.2.wakaenda shule nzurii za govt mzmb,ilbor,tv boys Enzi izoo hot sana....but Chuo cjawaona hata mmoja ila nimepata bahati ya kukutana na mmoja ye Yu BOT tukaongea mengii sana na lile la udin shulen jamaa anasema kama c rector sijui angelikuwa wapi maana wengii wamepoteaaa balaaa
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
KUMBE SI BURE, WATU WAME KAMIANA KI HIVI KAMA MPIRA WA CONNER!! tusubiri tuone mwisho wake..
 
Teh Teh Teh... Acha chuki na waislamu, uislamu ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo. Hiki ndio kitu gani Takbil, Alah wakubal usiandike vitu usivyovijua! Hakuna haki pale NECTA sisi tunaiita parokia. Pale ni machinjio ya waislamu.Nani rais wako hivi sasa mkristo!!!
kwani Raisi Yuko ikulu kwa sababu ya elimu yake na sio kwa ridhaa ya wananchi wake wa dini zote!!?
 
KUMBE SI BURE, WATU WAME KAMIANA KI HIVI KAMA MPIRA WA CONNER!! tusubiri tuone mwisho wake..

Mwisho wake? sisi tunangoja mwanzo wake. Mwisho wake, kwa aibu kaachia ngazi. Baada ya kugunduliwa dhambi zake kwa kuwafelisha watoto wa Kiislaam kwa makusudi kabisa, eti kasingizia walikokotoa hesabu vibaya kwenye kompyuta. What a BS.
 
Back
Top Bottom