Huo ni uzembe tu! Where or how in this country are you allowed to sneak-in with support funds only to be used for prayer structures and not for hospitals and good schools? Mbona tende zinaingia.
wewe ni mzembe! Muslim university ya pale morogoro imeshindwa kukuwa kwa sababu zipi? Kuna aliyezuiya kupatiwa misaada? Chuo kibovu hakuna maendeleo ya taaluma halafu eti kinapewa misaada ya kuanzisha redio ya mihadhara!
Hata Hilo unahitaji msaada wa kufikiri! Misaada munapata mingi, tatizo hakuna anayejua nini kifanyike. Unapoomba tende na tasbih, vilemba vya Arafat, misikiti na marumaru, spika, what do you expect?