Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Mkuu umekaririshwa ila hivyo vichwa hujakutana navyo chuoni ulizia watu wanaopiga GPA kali ma vyuoni wengi wao
wametoka shule zipi?..
Wale wanafaulu kulingana na mifumo mizuri ya ufundishaji na wala siyo kuiba pepa fuatilia ujue acha u-yakheee!...
wametoka shule zipi?..
Wale wanafaulu kulingana na mifumo mizuri ya ufundishaji na wala siyo kuiba pepa fuatilia ujue acha u-yakheee!...
Jamaa mnajiona mnasoma kinoma....xul zenu za kina ST flani hamna kitu...hao vilaza tukikutana nao ADVANCE na chuo tunakimbiza mbaya mpaka twajiuliza MARKS ZA NECTA WAMENUNUA how much kwa Ndalichako!