Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Amma katika watu ambao hawana fikra kabisa mmoja ni wewe.

Nakuomba nioneshe moja jema aliloifanyia nchi hii Rais yeyote wa kabla ya Kikwete ambalo Kikwete hakulifanya mara tatu zaidi yake kwa uchache.

Jaribu bahati yako!

tatizo faiza unasumbuliwa na u egoism'
 
nchi hii ilivyo na viongozi juha. hivi inawesekana kweli watu wa dini fulani tu wanasema hatumtaki mtu fulani na inakuwa hivyo, tz yangu inakwenda wapi?
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Hivi ww darasa la ngapi? Kati ya waziri na ndalichako nani mwenye nguvu? Hata baraza liwe la waislam wote bado si solution. Je hii itasaidia huhamasisha waislam kusoma kwa juhudi? Si pingi ulichosema lkn kwa maoni yangu hii itakuwa hatari km performance ya wanafunzi wa kiislam itaendelea kuwa mbaya zaidi ina maana ukweli utajulikana
 
Nafikiri sasa hapa itakuwa ni furaha kwetu kwani ni HITMA kwa kwenda mbele.

Haina haja ya kusoma maana mchawi wetu ametoka.
Ngoja niandae kanzu na kipedo changu kwani sasa necta kuingia kama masjid vile.

Tulianza na costech, ujenzi, nssf na sasa tumekamata baba lao necta.

mtakoma mwaka huu !!

no kibalaghashia no credit in your exams!!
Kwa staili Ile ile ya westagate mall !


*jina la mama yake mtume mohamad ni..........

*mtume alikufa mwaka gani vile............

*alitoka macca kwenda madina lini........

*alipigana vita kwa muda gani ili kuueneza uislam.............

* binamu yake aliyekuwa mkristo alikuwa nani............. na je katika vita ya kueneza dini ya kiiislamu alibahatika kumuua ?.............
dr dau anawatesa sana kumbe na nyie kuna vitu vinawauma sana, sasa huyo dau kuna cku atawatia mimba kabisa
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Au dada umezungumza hivi ulikuwa kwenye heat??????? Maana ya kuwa kwenye heat mfano ng'ombe jike akiwa kwenye heat ni vurugu kali za kutafuta madume yampande sasa dada yangu kwa statement yako madume yamekupanda fuatilia comments walizotoa dhidi ya statement yako
 
Hivi ww darasa la ngapi? Kati ya waziri na ndalichako nani mwenye nguvu? Hata baraza liwe la waislam wote bado si solution. Je hii itasaidia huhamasisha waislam kusoma kwa juhudi? Si pingi ulichosema lkn kwa maoni yangu hii itakuwa hatari km performance ya wanafunzi wa kiislam itaendelea kuwa mbaya zaidi ina maana ukweli utajulikana

Mkuu naona unabishana na mtu ambaye anabishana na marehemu na mtu kama huyo ni sawa na msukule huyo mama mbishi wa kijinga kweli kweli waislamu wana safari ndefu katika nchi.
 
waambie wenzako waache ujinga kumkataa dau nssf

Huyu Dau alikataliwa kwa udini au ni kushindwa ku-perform? Je, NSSF ni kigango cha parokia ipi? Jamani, watu acheni kuonesha ujinga wenu kwenye kadamnasi. Kwani hilo ni shirika la dini? Kweli mwasisi wa udini nchi hii alifanya jambo baya mno.
 
Au dada amezungumza ulikuwa kwenye heat ndio maana umezungumza hivi??????? Maana ya kuwa kwenye heat mfano ng'ombe jike akiwa kwenye heat ni vurugu kali za kutafuta madume yampande sasa dada yangu kwa statement yako madume yamekupanda fuatilia comments walizotoa dhidi ya statement yako

huyo kama kitimoto kila mda anakuwa heat achana nae badala ya kuwashauri waislam wenzake wawapeleke watoto wao shule na kujenga shule na vyuo wamekazana na madrasa watazidi kulament forever.
 
sidhani kama upo sahihi kwa sana, kama hayo ndo yanasababisha kufeli iweje wafeli waislam tu?
Ponera
1---Hakuna asiejua chanzo cha mgogoro wa kufeli kwa vijana wetu kwenye somo la Islamic Knowledge,na ufafanuzi ulishatolewa na kwangu mimi ufanunuzi uliotolewa una mashiko kwa sababu tatizo la kimfumo lililosababisha tukio lile liletolewa ufanunuzi na iliundwa kamati ya viongozi wa kiislamu kwenda kuangalia uhalisia wa mambo ulivyokuwa na naamini wao waliridhika ma majibu yaliyopatikana au yaliyotolewa.
2---Katika mchango wa awali nimemuomba FaizaFoxy na hata Ritz na pia nakuomba na wewe Ponera ujitahidi kufanya uchunguzi wako kwa kuwauliza walimu ambao wanakwenda kusahihisha mitihani wakueleze utaratibu wa usahihishaji uko vipi ili mjue kwamba ni vigumu sana kumhujumu mwanafunzi mmoja mmoja au wengi kwa kutumia kipengele cha shule anayotoka au jina lake,hii itawasidia kupata ukweli ili kupunguza hizi chuki baina yetu sisi wananchi
3---Katika michango yangu iliyopita nimejaribu kuongea kufeli kwa wanafunzi kwa ujumla bila kujali dini ya mtu au wewe Ponera unaridhika na matokeo ya vijana wetu?unafurahia vijana wetu kupewa madaraja ya ufaulu ambayo hawakustahili?unajenga taifa gani?makosa yaliyofanyika miaka iliyopita ndio yameleta madaktari wanaopasua kichwa badala ya mguu,mafisadi tulionao sasa hivi,wanasheria wasiojua kulinda maslahi yetu kwenye mikataba mablimbali nk
4---Sina uhakika hawa wasomi waliopewa madaraja wasiostahili watakuja kufanya nini au madhara watakayoleta wakati ujao siyajui,tuombe mungu atupe uhai.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu naona unabishana na mtu ambaye anabishana na marehemu na mtu kama huyo ni sawa na msukule huyo mama mbishi wa kijinga kweli kweli waislamu wana safari ndefu katika nchi.

hamna kazi ngumu kama kubishana robot hili mama sijui linafiki kwa kutumia nini!
 
we mdini mkubwa waambie waislamu wenzako wapeleke watoto wao shule na wajenge shule na vyuo poor islamic followers.

Mtu ili uwe mdini lazima fikra zako ziende kimlengo wa dinidini. Hebu jihukumu mwenyewe.
 
Ponera
1---Hakuna asiejua chanzo cha mgogoro wa kufeli kwa vijana wetu kwenye somo la Islamic Knowledge,na ufafanuzi ulishatolewa na kwangu mimi ufanunuzi uliotolewa una mashiko kwa sababu tatizo la kimfumo lililosababisha tukio lile liletolewa ufanunuzi na iliundwa kamati ya viongozi wa kiislamu kwenda kuangalia uhalisia wa mambo ulivyokuwa na naamini wao waliridhika ma majibu yaliyopatikana au yaliyotolewa.
2---Katika mchango wa awali nimemuomba FaizaFoxy na hata Ritz na pia nakuomba na wewe Ponera ujitahidi kufanya uchunguzi wako kwa kuwauliza walimu ambao wanakwenda kusahihisha mitihani wakueleze utaratibu wa usahihishaji uko vipi ili mjue kwamba ni vigumu sana kumhujumu mwanafunzi mmoja mmoja au wengi kwa kutumia kipengele cha shule anayotoka au jina lake,hii itawasidia kupata ukweli ili kupunguza hizi chuki baina yetu sisi wananchi
3---Katika michango yangu iliyopita nimejaribu kuongea kufeli kwa wanafunzi kwa ujumla bila kujali dini ya mtu au wewe Ponera unaridhika na matokeo ya vijana wetu?unafurahia vijana wetu kupewa madaraja ya ufaulu ambayo hawakustahili?unajenga taifa gani?makosa yaliyofanyika miaka iliyopita ndio yameleta madaktari wanaopasua kichwa badala ya mguu,mafisadi tulionao sasa hivi,wanasheria wasiojua kulinda maslahi yetu kwenye mikataba mablimbali nk
4---Sina uhakika hawa wasomi waliopewa madaraja wasiostahili watakuja kufanya nini au madhara watakayoleta wakati ujao siyajui,tuombe mungu atupe uhai.

mkuu bandiko lako nimelipenda hata mimi naungana nawe 100% sio rahisi kumhujum mwanafunzi kwa kigezo cha dini"
 
Last edited by a moderator:
Kitaturu
===>Nashukuru kwa kunisaidia,Ndalichako ni mtu mdogo sana ambae hata kama angeondoka jana asingeweza kubadilisha matokeo ya watoto wetu,yapo matatizo ya msingi sana kwenye elimu yetu ambayo tunayachekea kwa sababu ya kuchonganishwa na haya mambo ya udini.
===>Mfumo wetu wa elimu umeyumba sana hapa nchini,nataka nimuulize Dada FaizaFoxy kwa nini watoto wetu hawa wakiwa kwenye shule za msingi zile za academia wanasoma masomo yote kwa kiingereza isipokuwa somo la kiswahili lakini kwenye shule za maskini wanasoma kiswahili masomo yote isipokuwa kiingereza
===>Zamani kulikuwa kuna utaratibu wa kufunga na kufungua shule pamoja nchi nzima,hii ilikuwepo mpaka kwenye vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu,hii iliwezesha serikali kuweza kusimamia michezo kwenye ngazi shule ya msingi kwa maana ya (UMISHUMTA) na michezo ya shule za sekondari (UMISETA) ambayo kama sikosei ilikuwa ukifanyika katika kipindi cha mwezi waa sita ie wakati wa likizo maana shule zoote zilikuwa zimefunga kipindi hicho,sasa hivi hili haliwezekani,maana kuna shule za academia kipindi cha mwezi wa sita wao ndio wako darasani,wale kayumba ndio wamefunga,sintofahamu hii iko mpaka kwenye michezo ya michezo ya vyuo vikuu ambayo inaitwa SHIMIVUTA,mpaka muda huu UDSM wamefungua chuo sijajua taasisi nyingine,kichekesho kiko hapa wakati wao wako kwenye wiki za mitihani (test) ie labda wiki ya 8 na kuendelea,muda ambao watakuwa wamefunga ndio ilitakiwa waende kwenye michezo ya SHIMIVUTA,lakini haiwezekani maana vyuo vingine ndio navyo vinakuwa kwenye mitihani.
===>Kuna vijana katika nchi hii wamebadilishiwa mitaala ya Phsysic,Chemistry na Biology sijui waliita soma gani tu,hawa nao ni tatizo tayari,hembu fikiria watakapoomba kusoma kwenye vyuo vya nje ambavyo vianutambua mfumo wetu wa elimu unafikiri watatufikiriaje mara wanapoona vyeti vya hawa vijana?
Tusibishanie mambo ya ukristo na uislamu,ajenda ya udini inatufanya tusiwe na mshikamano wa kutatua matatizo yetu,tunagawanywa mpaka tunashindwa kumgundua mchawi wetu.

Ndugu yangu Cheche Mtungi

Mimi by professional ni mwalimu na nafundisha katika moja ya hizihizi shule za Sekondari za kata ktk moja ya wilaya na mkoa kanda ya ziwa.Nina miaka kumi na tano sasa (nimeanza kazi mwaka 1998). Hivyo mm niko field na ninaelewa na nakuelewa sana kwa kila unachoandika na wengine wanajaribu tu kuingiza siasa ktk hii kitu ELIMU. Ndugu yangu tunapambana na mataizo mengi sana ktk kazi yetu hii na hasa ktk awamu hii ya JK!!..

Pamoja na matatizo mengi ya msingi uliyaeleza yanayousonga mfumo wetu wa elimu, mimi pia naona kuna matatizo mengine mawili ya msingi ambayo yamekuja na kubadili kabisa mwelekeo wa elimu yetu;
  1. Kuifanya elimu isimamiwe na zaidi ya wizara mbili kwangu mimi kama mwalimu hili ni tatizo la msingi limetuletea matatizo zadi kuliko ufumbuzi wa yale yaliyokuwapo
  2. Sisi walimu tunadharauliwa sana na serikali hii na wakati huohuo tunabebeshwa lawama zote kila kunapotokea kufanya vibaya kwa wanafunzi tunaofundisha,mfano ni mtihani wa kdt cha 4 mwaka 2012 sehemu kubwa ya lawama zilitupwa kwetu kwa sbabu ndiyo sehemu ya wanasiasa kuficha udhaifu wao. Hili sisi walimu kudharauliwa limeshusha sana morali ya kazi ya walimu. Mfano ni walimu kuendelea kudai madeni yao miaka na miaka,madeni yasiyoisha ya malimbikizo ya mishahara,likizo,uhamisho nk. Na hakika mimi nilishashindwa kuelewa ni mfumo wa namna gani unaotumika kuendesha mambo ktk serikali hii. Mfano hai kabisa ni mimi mwenyewe nadai malimbikizo ya mshahara wangu ya tangu mwaka 2008. Nimeandika barua na barua, nilishafika mpaka wizara ya elimu lakini wapi bwana, nilishakata tamaa na nimeamua labda mpaka watakapokuja jisikia watanilipa. Huyu ni mimi, sasa jiulize ni walimu wangapi wako ktk hali hii? Watakuwa na moyo wa kufanya kazi? Halafu,nikuchekeshe kitu? Siku hizi hata ukiandika barua ya jambo lolote iwe unadai au kuomba kitu chochote ni nadra sana kujibiwa!!.....Ukitaka majibu basi wewe mwenyewe ufuatilie kwenye hizo ofisi na utapambana na urasimu balaa wenye kila harufu ya rushwa!

Kwa hiyo ndugu hawa ndo sisi walimu!
 
...ana mumeee...alivyo serious ...6 x 6 huwa ana behave vipi?
 
Bora huyu mama ameondoka, alikuwa analihujumu taifa kielimu angeendelea kuwepo hali ingekuwa mbaya sana. Udini wake umemletea matatizo. Hii nchi ni ya watanzania wote hakuna mwenye haki zaidi ya mwingine, tena binafsi naona kuondoka kwake ni kama amechelewa vile. Hata huyo aliyekaimishwa sina imani naye kwani kama alikuwa msaidizi wake basi naye aondoke akafanye reseach apishe wengine waadilifu wakae nafasi hiyo kwani alishindwa kumshauri vizuri Dr.ndalichako.

Ni ajabu sana, sijui ni Dr wa aina gani ndalichako mpaka anakuwa bias kiasi hicho. Tunakushukuru mungu kwa kutuondolea uozo wa aina ya huyu mama. Laita angeendelea taifa lingeenda kuzimu. Mbona chuo kikuu upuuzi wa aina hiyo hakuna, mfano Sokoine university, kuprob.hakuna mwenyewe mpaka watoto wa malecturers wanaprob kama kawa, hata kudisco pia,mpaka rais wa chuo anadisco, so why ndalichako unawahujumu watu wengine tena watanzania wenzako bila hata huruma mpaka wenyewe wanashituka,aibu gani hiyo mama!! je na wewe ungehujumiwa kiasi hicho ungefurahi. Malipo ya ubaya ni aibu,haya fedhaha hiyo imekukumba na wenzako wamekusitiri tu kuwa ukafanye research,lakini hiyo mama nitolee hiyo. Ulitaka mpaka kumponza Dr. kawambwa.

Baraza la mitihani ni sehemu nyeti sana, tunahitaji muadilifu pale bila kujali dini yake.Tanzania itajengwa na watanzania. Kumfelisha mtu kwa dini yake hakuna tija kwa taifa.Hatutaki kuona baraza la mitihani linakuwa kigango cha watu fulani,sasa hivi watu wamesoma wanajua,huwezi ukafanya jambo ukategemea watu wasijue,hasa ukizingatia kuwa kila jambo linamwisho.

Mungu waumbue wote wenye hila na nchi yetu.
 
Back
Top Bottom