Yanayotokea Muhimbili ni kweli?

Yanayotokea Muhimbili ni kweli?

Siku hizi unashindwa kabisa kujenga hoja why unaokoteza uzushi na kuanzisha mada while yapo matatizo mengi yako clear unaweza ukayaandika vizuri

Heading ni swali lakini content tayari umeshaijaza propaganda na kuwaaminisha watu kama kule ulivyowaaminisha watu naona na hapa unatumia style ileile

Kwenye contents nimeuliza hii ni kweli au uzushi?
hukuona?
au unafikiri mimi ndo nyinyi wa 'zidumu fikra za mwenyekiti'?

Kusifu na kuabudu utawala huu mimi sishiriki.....wewe hupendi kivyako...
 
Siku hizi unashindwa kabisa kujenga hoja why unaokoteza uzushi na kuanzisha mada while yapo matatizo mengi yako clear unaweza ukayaandika vizuri

Heading ni swali lakini content tayari umeshaijaza propaganda na kuwaaminisha watu kama kule ulivyowaaminisha watu naona na hapa unatumia style ileile
Hapo kwenye Heading na Content ndio aliponishangaza ndugu. Badala ya kujenga Hoja ili tupingane au kuelimishana na Hoja. Anakuja na Propaganda za kizandiki. Anasikitisha sana.
 
Mkuu kama una risiti tuletee humu
kuna wabishi kabisa

Haya unayoandika hapa yako wazi
Unauliza swali then unawachagulia watu majibu ?

Anayeuliza swali huwa neutral akisubiri majibu ya alichouliza

Sikushangai ile mada ya Majaliwa ulionyesha sura yako ya siku hizi naona na hapa unajifanya neutral kama kule
 
FaizaFoxy Lizaboni Hivi kweli ninyi ni wa Tanzania wazalendo au ni watumwa wa fikira za uchama?
Kila andiko lenu ni upuuzi tupu kama hamupo inchi hii hamjui mateso na taabu ya wa tz walala hoi.
Mmezoea vya kunyongwa hamjui nn kinaendelea uraiani
 
Labda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
Kwakuwa watanzania wote tunalingana kipato au? Hivi unatambua ni watanzania wangapi wanaishi below poverty line wewe au unakurupuka tu kuandika upuuzi? Hizo kodi mnazokusanya kila kona zinaelekezwa wapi kama hata vipaumbele vya msingi havizingatiwi?
 
Hapo kwenye Heading na Content ndio aliponishangaza ndugu. Badala ya kujenga Hoja ili tupingane au kuelimishana na Hoja. Anakuja na Propaganda za kizandiki. Anasikitisha sana.

Aliwahi anzisha mada kama hii akisema Majaliwa ni mkristu akawa anatoa ushaidi kabisa
 
Aliwahi anzisha mada kama hii akisema Majaliwa ni mkristu akawa anatoa ushaidi kabisa
Naikumbuka hiyo ndugu. Watu Kama huyu jamaa ni hatari sana katika jamii. Wanaendesha propaganda za chuki. Nilikuwa Rwanda February 1994, walipuuzia Wazandiki Kama hawa waliopandikiza chuki mioyoni kwa watu. Matokeo yake tunayajua huko Rwanda. Ndio maana huwa sipendi sana watu wa aina hii.

Kama unapost kitu humu kwa nia njema tuwekee na vielelezo ili tuijadili mada kwa hoja zenye mashiko. Na sio kupandikiza chuki mioyoni kwa Watanzania.
 
Mkuu Paskali naomba ulifuatilie ukipata nafasi
mimi nimeambiwa hata wagonjwa wa hospitali za wilayani hawataki
kupewa referral muhimbili sababu wakipelekwa wana chajiwa
na hasa huduma ya 'mama na mtoto'
na 'wajawazito'

Yaani mjamzito yuko mwananyamala anatakiwa kupewa referral akajifungue muhimbili mfano
Nijuavyo huduma za MCH ni bure nchi nzima kwa hospitali zote za serikali na binafsi. Sijui kama kuna mabadiliko.

Nitafuatilia.
Paskali
 
Yani haya majibu yako itakuwa hu kutumia kichwa kufikiri Bali kilikuwa kimekatwa pembeni. Comment yangu ni very poor kwa huo utetezi wako kwahyo ili kupunguza watu the only solution ilikuwa kupandisha bei? Maajabu haya nijuavyo Muhimbili hawakupokei bila kupitia kuanzia Sinza , mwananyamala sasa huo utetezi wako hauna logic.

muhimbili ni national referal hospital sasa mtu anajipeleka MNH bila kuwa na referal letter , lazima upigwe tu
 
Sikilizeni CHADEMA mbinu yenu ya kuichonganisha serikali na wananchi kwa kupika habari za uongo na kuzisambaza kupitia mitandao ya jamii acheni,Siku hizi kwa makusudi mnafanya disinformation za kauli za viongozi kama Ndalichako, mnatunga uzushi na kuueneza, Acheni tabia hizi!
watu wanataka ukweli POVU za nini? kama wanadanganya lete ukweli
 
Dar inamilikiwa na kuongozwa na chadema. Wamejenga vituo vya afya vingapi?

Muhimbili ninhospitali ya taifa. Wakazi wa Dar daini jospitali za kata wilaya na mkoa. Halmashauri na serikali kuu wote wanahisika.
Kwa pesa zipi? Ilhali serikali imewanyanganya vyanzo vya mapato? Wakati hata pesa za maendeleo majimboni mpaka sasa hazijatoka, hata majimbo ya CCM yenyewe hoi.Hizo zahanati kwaninu zisijengwe na masalia ya wahanga wa KAGERA?
 
muhimbili ni national referal hospital sasa mtu anajipeleka MNH bila kuwa na referal letter , lazima upigwe tu
Na pale lazima uandikiwe barua ya kwenda pale bila hivo hawakupokei hata hivo haihalalishi kupandisha bei kubwa huo ni ujinga na kukwepa jukumu la kutoa huduma, sasa ka hospital za wilaya zingekuwa vzuri idadi ya wagonjwa ingepungua muhimbili, kwa hii Dar hospital nyingi Mara xray hazifanyi kazi nenda Muhimbili sasa unategemea nini?
 
Ni bora wakulipishe ela kubwa lakini upate matibabu sahihi. Kuna baadhi ya hospital za binafsi ni hatari sana hasa wale wanaokodi madaktari.

Kuna mgonjwa alipelekwa huko kwa ajili ya kipimo cha kuangalia utumbo ndani, mgonjwa akaingizwa kamera tumboni kupitia kinywani, daktari akiwa anamsimamia mtaalamu wa mashine walimkagua mgonjwa kupitia kamera waliyomuwekea. Kisha wakamwandikia majibu mgonjwa kuwa hana tatizo(kwa mujibu wa daktari wa kwanza aliyemtuma kipimo hicho mgonjwa). Yule daktari aliyetuma majibu ya kipimo hicho aliyakataa majibu kwani alisema hayakuandikwa kiueledi wa kidaktari!!Alisema majibu yalitakiwa yaambatane na picha zinazoonyesha sehemu iliyopimwa (mgonjwa hakujua kuwa katapeliwa laki mbili na sitini). Kumrudia yule daktari mpimaji, akaomba aongee na daktari aliyekataa majibu kwa njia ya simu yule daktari wa mwanzo. Yule daktari akakataa kuongea na dakta mpimaji yeye akasisitiza aletewe majibu kamili vinginevyo majibu yale yapelekwe kwa daktari mwingine yeye hawezi kumpa dawa mgonjwa kwa majibu yale.

Mgonjwa akaamua kwenda hospital nyingine yenye kipimo hicho, akasamehe laki mbili na sitini ya kule kwa awali, akapimwa akapewa majibu sahihi yaliyokamilika akampelekea daktari wake, akayakubali na ikagundulika kuwa anamichubuko kwenye utumbo na hiyo inasababisha maumivu kemikali zikipita pale! Akampangia dawa mgonjwa.

Cha kusikitisha sana ni kuwa hospital hiyo ya binafsi ya daktari mpimaji inaheshimika sana kuliko hii iliyotoa mujibu sahihi na kamili.
====
Sasa kama Muhimbili wanatoza ela zote hizo halafu wanatoa matibabu yasiyosahihi na ambayo hayajakamilika, basi washughulikiwe kama ambavyo ninajiandaa kumshughulikia kisheria "daktari mpimaji " baada ya kupata taarifa zake za tukio lile.
 
Watanzania mnapenda vya bure kwelikweli, hizo gharama za kawaida tuu, kama huwezi Omba msamaha uliothibitishwa na mwenyekiti wa mtaa. Let's be responsible for our own health...
 
Back
Top Bottom