Hebie
JF-Expert Member
- Jul 29, 2012
- 1,415
- 878
Mpuuzeni huyo Eliza still yuko blanketed hajui lolote ni hasara kwa mama yake na taifa kwa ujumlaWewe ndio mgonjwa kweli kweli!kila kitu cdm inaelekea ukishinda bila kuitaja cdm uoni raha
Mpuuzeni huyo Eliza still yuko blanketed hajui lolote ni hasara kwa mama yake na taifa kwa ujumlaWewe ndio mgonjwa kweli kweli!kila kitu cdm inaelekea ukishinda bila kuitaja cdm uoni raha
Hebu tupe ufafanuzi sie wapiga kura ambao si BAVICHA wala LUMUMBA Liz, maana imenitetemesha hii habari kwa kweliUzushi toka BAVICHA
Sasa kama kila kona taarifa ni za kupika unategemea pesa ya itoke wapi?.........
Leo mtu anatoa taarifa kesho uyo uyo anaikanusha kwa maelekezo toka juu....
Kiufupi uchumi umekufa tunasubiri sanda na kuosha tufanye mazishi.........
Wewe ndio mgonjwa kweli kweli!kila kitu cdm inaelekea ukishinda bila kuitaja cdm uoni raha
leta taarifa sahihi uliyonanyo wewe
Hatuna waandishi wa habari Tanzania!!!Humu ndani tuna waandishi wa habari...
..Kuna vipimo ambavyo hospitali binafsi wana charge elfu 40 Muhimbili unalipa laki nne 400,000/...
Mkuu The Boss mimi ni kama wewe tu na wala hamna nachojua.
Na mjomba hataki kusikia ndo anazidisha misifa. Atatutumbukiza sehemu mbaya sana huyu.Nabaki hapa hapa mpk hili nilijue vizuri. Ila kama tumefikia hapa, basi hali ni mbaya sana huko tuendako.
kuna sehemu ukienda na bima ata hawakujali kabisa.Labda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
Humu ndani tuna waandishi wa habari na watu wengine wafanyakazi wa Muhimbili ninaomba watueleze kama niliyosikia huko ni kweli.
Kuna taarifa huko Muhimbili sasa huduma zote ni za kulipia na gharama ni juu kupita hospitali za binafsi.
Mfano huduma ya wamama wajawazito ambayo ilikuwa bure kabisa sasa naambiwa lazima walipe laki tatu na ishirini..320,000/- na vipimo kama CT scan ni kulipa kuanzia laki sita.
Kuna vipimo ambavyo hospitali binafsi wana charge elfu 40 Muhimbili unalipa laki nne 400,000/ na kwamba mgonjwa akilazwa tu siku moja lazima alipe
na chakula ni kununua.
Nimejiuliza hizi taarifa ni za kweli au uzushi?
Kuna watu ambao mmekwenda Muhimbili hivi karibuni mtusaidie?
Pascal Mayalla Manyerere Jackton
Salary Slip
Ninaye Mtu Wa Karibu Alikuwa MNH Wiki Hii Alimpeleka Mtoto Wa Miezi Kumi Kupata Huduma
Pembeni Kuna Bango Limeandikwa"Mtoto Chini Ya Miaka Mitano Ni Bure"
Kufika Ndani Kabla Ya Huduma Aliambiwa Una Pesa Kiasi Kadhaa ? Kama Huna Hakuna Huduma Kwa Msisitizo Akaambiwa Hata Mtoto Chini Ya Miaka Mitano Analipiwa Huduma.
Kwahili Ni Jambo Kuhusu MNH Ni Kweli Huduma Yoyote Ni Pesa Tu
Hii pia iko Hospitali ya Rufaa Bugando,kitanda kulaza mgonjwa siku tatu 400,000/,zikiisha siku tatu unalipa tena 400,000/=
operesheni ya uzazi 300,000/=
Hii ni nje ya vipimo,madawa,na huduma mbalimbali
kama huna huhudumiwi kabisa na unarudishwa
Na hii hospitali inahudumia rufaa za mikoa karibu 7
Naona umeanza kujihamiLabda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
Sikilizeni CHADEMA mbinu yenu ya kuichonganisha serikali na wananchi kwa kupika habari za uongo na kuzisambaza kupitia mitandao ya jamii acheni,Siku hizi kwa makusudi mnafanya disinformation za kauli za viongozi kama Ndalichako, mnatunga uzushi na kuueneza, Acheni tabia hizi!