Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,972
- 30,152
Subiri utakapoenda nawe utaleta mrejesho maana hapachagui chama au muulize mkuu wa mkoa kada mwenzio katoka juzi tuUzushi toka BAVICHA
Subiri utakapoenda nawe utaleta mrejesho maana hapachagui chama au muulize mkuu wa mkoa kada mwenzio katoka juzi tuUzushi toka BAVICHA
Kadi ya kwenda kumuona Daktari. Kiongozi unatumia bima ya Afya nini?Kadi ipi?
Mkuu The Boss, japo hili sijalifuatilia ila nilisikia wamebinafsisha huduma zote kwa wale wanaokwenda Muhimbili by choice ambao sio referral. Wanautumia mtindo wa CCBRT wenye pesa walipe, na wasio na pesa wataendelea kuhudumiwa bure na kwa kuchangia. Kuna wagonjwa kibao wa rufaa za mikoani au accident victims wanaotibiwa bure 100%. Wagonjwa wenye ndugu waletewe chakula wenye, pesa walipe chakula, dawa na matibabu, wasio na pesa, wasio na ndugu kila kitu ni bure.
Kitu ambacho sijajua ni kriteria tuu. Mimi nilipopata ajali ya piki piki nililazwa Moi Private by choice unalipia kuanzia room, chakula, service charges ya services zote, consultations, madawa, vifaa tiba, na kila kitu, tena wakati huo CT Scan name MRI zilikuwa mbovu hivyo unalipa 1.M Regency, ambulance 100,000 per trip, and that was 8 years ago name kulipia ilikuwa ni by choice sasa ambapo ni lazima sijui hali itakuwaje.
Paskali.
Registration kadi kwa mara ya kwanza ni 7,500 hospital za umma, marudio ni elfu 5.Kadi ya kwenda kumuona Daktari. Kiongozi unatumia bima ya Afya nini?
Labda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
Registration kadi kwa mara ya kwanza ni 7,500 hospital za umma, marudio ni elfu 5.
Unamanisha Nikiwa ya Kadi ya NHIF,Bado Ntalipia 7500 tena?Registration kadi kwa mara ya kwanza ni 7,500 hospital za umma, marudio ni elfu 5.
Labda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
Me Mke wangu kaenda juzi kumuona daktari wa koho,,kumuona kalipia elfu thelasiniUzushi toka BAVICHA