Yanayotokea Muhimbili ni kweli?

Yanayotokea Muhimbili ni kweli?

Naona Vijana wa operesheni "kata funua" naona mko kazini kwelikweli
Ulipoambiwa kata funua ukajua tunapita mitaani kukata mitama wananchi , ulipotea vibaya sana ! Kata funua ipo mpaka ndani ya ofisi ndogo lumumba , huwezi kuua nyoka bila kuponda kichwa .
 
Humu ndani tuna waandishi wa habari na watu wengine wafanyakazi wa Muhimbili ninaomba watueleze kama niliyosikia huko ni kweli.

Kuna taarifa huko Muhimbili sasa huduma zote ni za kulipia na gharama ni juu kupita hospitali za binafsi.

Mfano huduma ya wamama wajawazito ambayo ilikuwa bure kabisa sasa naambiwa lazima walipe laki tatu na ishirini..320,000/- na vipimo kama CT scan ni kulipa kuanzia laki sita.

Kuna vipimo ambavyo hospitali binafsi wana charge elfu 40 Muhimbili unalipa laki nne 400,000/ na kwamba mgonjwa akilazwa tu siku moja lazima alipe
na chakula ni kununua.

Nimejiuliza hizi taarifa ni za kweli au uzushi?

Kuna watu ambao mmekwenda Muhimbili hivi karibuni mtusaidie?

Pascal Mayalla Manyerere Jackton
Salary Slip

==================
Maoni ya wadau wengine
Mkuu The Boss, hatimaye taarifa rasmi kuhusu gharama za Muhimbili ni hii. Ikiwezekana iambatanishe pale juu kwenye bandiko lako.

Ila kwa viwango hivi, Muhimbili is the cheapest.

Paskali
 

Attachments

Huu ni ukweli kabisa,hii kitu sio ya Leo ni vile ulikua haijasemwa ama imesemwa ila haijawekwa public.sina hamu nao hao muhimbili nilipeleka mkewangu kujifungua ni kam miezi mitatu imepita kwa bahati mbaya mtoto Siku haikua kamilika vizuri so walimweka kwenye chumba cha joto,wife alikaa hospital kama Siku ,4 ila bill niliyopewa ni sh million 1.6 aisee niliwaza sana kuhusu watanzania wenzangu ni kwa jinsi gani hizi gharama watazimundu,bila kwa kweli pale muhimbili hali sio nzuri,hata nilivyokuwa kwenye foleni kwenda kulipa kila mtu analalamika ughali wa huduma..!!
Aisee basi ni hatari.
 
Wanabodi,
Declaration of Iterest.
Mimi ni mhanga wa ajali mbaya ya pikipiki na kutibiwa Muhimbili, ila nilitibiwa private na kuhudumiwa kama mfalme hivyo ushuhuda wangu huu uko based kwenye Private na sio Public.

Jee wajua kuwa huduma zinazotolewa na hospitali ya Taifa ya Muhimbili ni huduma the best zenye gharama ndogo kuliko hospitali nyingine zozote? .

Uthibitisho kuhusu gharama za Muhimbili kuwa ni the best na cheapest, umetolewa leo na Afisa Uhusiano wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Bw. Aminiel Algaisha kufuatia hoja zilizoibuliwa humu Jf katika bandiko hili la Mkuu The Boss likihoji
https://www.jamiiforums.com/threads/yanayotokea-muhimbili-ni-kweli.
Humu ndani tuna waandishi wa habari na watu wengine wafanyakazi wa Muhimbili ninaomba watueleze kama niliyosikia huko ni kweli.

Kuna taarifa huko Muhimbili sasa huduma zote ni za kulipia na gharama ni juu kupita hospitali za binafsi.

Mfano huduma ya wamama wajawazito ambayo ilikuwa bure kabisa sasa naambiwa lazima walipe laki tatu na ishirini..320,000/- na vipimo kama CT scan ni kulipa kuanzia laki sita.

Kuna vipimo ambavyo hospitali binafsi wana charge elfu 40 Muhimbili unalipa laki nne 400,000/ na kwamba mgonjwa akilazwa tu siku moja lazima alipe
na chakula ni kununua.

Nimejiuliza hizi taarifa ni za kweli au uzushi?

Kuna watu ambao mmekwenda Muhimbili hivi karibuni mtusaidie?

Pascal Mayalla Manyerere Jackton
Salary Slip

==================
Maoni ya wadau wengine
Mkuu The Boss, japo hili sijalifuatilia ila nilisikia wamebinafsisha huduma zote kwa wale wanaokwenda Muhimbili by choice ambao sio referral. Wanautumia mtindo wa CCBRT wenye pesa walipe, na wasio na pesa wataendelea kuhudumiwa bure na kwa kuchangia. Kuna wagonjwa kibao wa rufaa za mikoani au accident victims wanaotibiwa bure 100%. Wagonjwa wenye ndugu waletewe chakula wenye, pesa walipe chakula, dawa na matibabu, wasio na pesa, wasio na ndugu kila kitu ni bure.

Kitu ambacho sijajua ni kriteria tuu. Mimi nilipopata ajali ya piki piki nililazwa Moi Private by choice unalipia kuanzia room, chakula, service charges ya services zote, consultations, madawa, vifaa tiba, na kila kitu, tena wakati huo CT Scan name MRI zilikuwa mbovu hivyo unalipa 1.M Regency, ambulance 100,000 per trip, and that was 8 years ago name kulipia ilikuwa ni by choice sasa ambapo ni lazima sijui hali itakuwaje.

Paskali.
Bandiko hili lilimuibua Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Bw.Aminiel Algaisha.

Kitendo cha mwana Jf The Boss kuibua hoja yenye concerns kwa jamii, ni cha kupongezwa ila pía Kitendo cha Afisa Uhusiano wa Muhimbili kujibu ni cha kuungwa mkono na kupongezwa kwa sababu uongo ukisemwa na kuachwa bila kukanushwa kunapelekea watu kuuamini huo uongo, hivyo PRO wa Muhimbili amefanya vyema kujibu, ila asiishie kujibu tuu bali sasa ajiunge JF ili kukitokea uongo mwingine wowote, unajibiwa pale pale ila pia kwa vile JF inawanachama wengi, then sio vibaya Muhimbili ikiitumia JF katika uelimishaji masuala mbalimbali ambayo ni muhimu kwa umma.

Hizo ndio gharama za kutibiwa Muhimbili. Kama kuna yeyote aliyetibiwa hospitali nyingine yoyote yenye madaktari wa ubingwa kama wa Muhimbili na zenye vifaa kama vya Muhimbili, ajitokeze.

Ila pia kama kuna mtu alilipishwa viwango zaidi ya hivi vilivyoonyeshwa hapa na kupewa risiti, pia ajitokeze, ila kama umelipishwa zaidi na hukujali kuhusu risiti, naomba nikupe pole yako kwa sababu wale watumishi wa Muhimbili, nao pia ni binaadamu na sii malaika.

Nilipotibiwa Moi, Muhimbili miaka 8 iliyopita CT scan na MRI zilikuwa mbovu hivyo ikabidi nipelekwe Regency kwa vipimo hivyo, kila kimoja ni 500,000. Lakini leo MRI Muhimbili ni 210,000, CT Scan 150,000, Ultra Sound 25,000, X Ray 18,000, zunguka ukikuta popote huduma hizo ni nafuu kuliko Muhimbili, tujulishe tukimbilie hapo.

Baada ya Muhimbili nilikwenda Apollo India, nikilinganisha vifaa vya kule Apollo na vile vya Moi, kiukweli Moi wanavifaa bora kuliko Apollo. Kipimo cha pressure Moi ni cha umeme, Apollo nI kile cha kubonyeza. Vitanda Moi ni vya umeme, Apollo ni vile vya kunyonga, etc hivyo kiukweli tuna kila kitu ila basi tuu.

Tofauti pekee kati ya Muhimbili na Apollo ni customer care services, kule unahudumiwa kwa kunyenyekewa kama mfalme, jinsi manesi wanavyokuchangamkia na kukusmile, mgonjwa unajisikia nafuu na baadhi ya mgonjwa madogo madogo yanajiponea yenyewe.

Wenzetu kule wanafanya biashara ya tiba, huku tunatoa tuu huduma za tiba.

Hivyo hatua za Hospitali za umma kutoza gharama za kuchangia matibabu zina lengo jema la kuiwezesha Muhimbili kuboresha huduma zake. Yule nesi kule India anayekusmilea hadi kuchanganyikiwa, anakuwa alipata mlo asubuhi, anakula vizuri, anaishi mahali pazuri, ana usafiri wa uhakika na analipwa vizuri, kwa nini wasi smile hadi jino la mwisho?, vivyo hivyo huko kuchangia gharama kutawafanya wahudumu wa Muhimbili kusmile.

Paskali
 
Uzuri ni kwamba unafiki na kujipendekeza ndio tabia kwa wengi sasa UNAPOSEMA BURE UNA MAANA GANI yaani kila kitu bure kwa pato lipi na uchumi upi?ungesema labda kuweka bei zenye uwiano japo hatuwezi kurishika wote na wengine tutalalamika tu eti bure...kha
 
Wanabodi,
Declaration of Iterest.
Mimi ni mhanga wa ajali mbaya ya pikipiki na kutibiwa Muhimbili, ila nilitibiwa private na kuhudumiwa kama mfalme hivyo ushuhuda wangu huu uko based kwenye Private na sio Public.

Jee wajua kuwa huduma zinazotolewa na hospitali ya Taifa ya Muhimbili ni huduma the best zenye gharama ndogo kuliko hospitali nyingine zozote? .

Uthibitisho kuhusu gharama za Muhimbili kuwa ni the best na cheapest, umetolewa leo na Afisa Uhusiano wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Bw. Aminiel Algaisha kufuatia hoja zilizoibuliwa humu Jf katika bandiko hili la Mkuu The Boss likihoji
https://www.jamiiforums.com/threads/yanayotokea-muhimbili-ni-kweli.


Bandiko hili lilimuibua Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Bw.Aminiel Algaisha.

Kitendo cha mwana Jf The Boss kuibua hoja yenye concerns kwa jamii, ni cha kupongezwa ila pía Kitendo cha Afisa Uhusiano wa Muhimbili kujibu ni cha kuungwa mkono na kupongezwa kwa sababu uongo ukisemwa na kuachwa bila kukanushwa kunapelekea watu kuuamini huo uongo, hivyo PRO wa Muhimbili amefanya vyema kujibu, ila asiishie kujibu tuu bali sasa ajiunge JF ili kukitokea uongo mwingine wowote, unajibiwa pale pale ila pia kwa vile JF inawanachama wengi, then sio vibaya Muhimbili ikiitumia JF katika uelimishaji masuala mbalimbali ambayo ni muhimu kwa umma.

Hizo ndio gharama za kutibiwa Muhimbili. Kama kuna yeyote aliyetibiwa hospitali nyingine yoyote yenye madaktari wa ubingwa kama wa Muhimbili na zenye vifaa kama vya Muhimbili, ajitokeze.

Ila pia kama kuna mtu alilipishwa viwango zaidi ya hivi vilivyoonyeshwa hapa na kupewa risiti, pia ajitokeze, ila kama umelipishwa zaidi na hukujali kuhusu risiti, naomba nikupe pole yako kwa sababu wale watumishi wa Muhimbili, nao pia ni binaadamu na sii malaika.

Nilipotibiwa Moi, Muhimbili miaka 8 iliyopita CT scan na MRI zilikuwa mbovu hivyo ikabidi nipelekwe Regency kwa vipimo hivyo, kila kimoja ni 500,000. Lakini leo MRI Muhimbili ni 210,000, CT Scan 150,000, Ultra Sound 25,000, X Ray 18,000, zunguka ukikuta popote huduma hizo ni nafuu kuliko Muhimbili, tujulishe tukimbilie hapo.

Baada ya Muhimbili nilikwenda Apollo India, nikilinganisha vifaa vya kule Apollo na vile vya Moi, kiukweli Moi wanavifaa bora kuliko Apollo. Kipimo cha pressure Moi ni cha umeme, Apollo nI kile cha kubonyeza. Vitanda Moi ni vya umeme, Apollo ni vile vya kunyonga, etc hivyo kiukweli tuna kila kitu ila basi tuu.

Tofauti pekee kati ya Muhimbili na Apollo ni customer care services, kule unahudumiwa kwa kunyenyekewa kama mfalme, jinsi manesi wanavyokuchangamkia na kukusmile, mgonjwa unajisikia nafuu na baadhi ya mgonjwa madogo madogo yanajiponea yenyewe.

Wenzetu kule wanafanya biashara ya tiba, huku tunatoa tuu huduma za tiba.

Hivyo hatua za Hospitali za umma kutoza gharama za kuchangia matibabu zina lengo jema la kuiwezesha Muhimbili kuboresha huduma zake. Yule nesi kule India anayekusmilea hadi kuchanganyikiwa, anakuwa alipata mlo asubuhi, anakula vizuri, anaishi mahali pazuri, ana usafiri wa uhakika na analipwa vizuri, kwa nini wasi smile hadi jino la mwisho?, vivyo hivyo huko kuchangia gharama kutawafanya wahudumu wa Muhimbili kusmile.


Hivi hiki wanachotufanyia Muhimbili Hospital ni haki kweli?


Paskali
 
Back
Top Bottom