knysna
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 354
- 112
Dahh my Tanzania[emoji15] [emoji15] [emoji15]Ya Muhimbili siyafahamu ila hospitali za Rufaa mikoani Kadi inauwa elfu tano Tsh.5,000 toka Tsh, 500. Sijui ni ongezeko la asilimia ngapi?
Dahh my Tanzania[emoji15] [emoji15] [emoji15]Ya Muhimbili siyafahamu ila hospitali za Rufaa mikoani Kadi inauwa elfu tano Tsh.5,000 toka Tsh, 500. Sijui ni ongezeko la asilimia ngapi?
Dahh Huko hakuna maisha tena, Dah Tanzania nchi yangu (iphalile)Hii pia iko Hospitali ya Rufaa Bugando,kitanda kulaza mgonjwa siku tatu 400,000/,zikiisha siku tatu unalipa tena 400,000/=
operesheni ya uzazi 300,000/=
Hii ni nje ya vipimo,madawa,na huduma mbalimbali
kama huna huhudumiwi kabisa na unarudishwa
Na hii hospitali inahudumia rufaa za mikoa karibu 7
Nenda muhimbili kajifungue ili upate uhakika kama utadaiwa pesa. Vinginevyo hutapata jibu sahihi mkuu.Humu ndani tuna waandishi wa habari na watu wengine wafanyakazi wa Muhimbili ninaomba watueleze kama niliyosikia huko ni kweli.
Kuna taarifa huko Muhimbili sasa huduma zote ni za kulipia na gharama ni juu kupita hospitali za binafsi.
Mfano huduma ya wamama wajawazito ambayo ilikuwa bure kabisa sasa naambiwa lazima walipe laki tatu na ishirini..320,000/- na vipimo kama CT scan ni kulipa kuanzia laki sita.
Kuna vipimo ambavyo hospitali binafsi wana charge elfu 40 Muhimbili unalipa laki nne 400,000/ na kwamba mgonjwa akilazwa tu siku moja lazima alipe
na chakula ni kununua.
Nimejiuliza hizi taarifa ni za kweli au uzushi?
Kuna watu ambao mmekwenda Muhimbili hivi karibuni mtusaidie?
Pascal Mayalla Manyerere Jackton
Salary Slip
==================
Maoni ya wadau wengine
Hii haitakusaidia sana kwa kuwa wata-limit magonjwa utakayotibiwa kwa hiyo bima yako ya afya!Labda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
Mkuu FaizaFoxy,bima ya afya kwa kweli ni nzuri ukiwa nayo,lakini kama gharama zimeongezeka hivi,na wao si wataongeza makato kwa wanachama? Sasa ukijumlisha na 15% ya makato mkopo wa HESLB ( kwa wadaiwa),hapo si ni vilio tu?Labda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
Mkuu unaleta siasa hata kwenye afya za Watu....ujafa ujaumbika...una wazazi ndugu jamaa na marafiki.Uzushi toka BAVICHA
Inaitwa operation kata funua.. CDM ya sasa ni ya kusambaza uongo tu na majibu ya serikali yakitolewa wanasema ni maagizo kutoka juu..Mkuu unaleta siasa hata kwenye afya za Watu....ujafa ujaumbika...una wazazi ndugu jamaa na marafiki.
Labda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
Labda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
Shame On You.Humu ndani tuna waandishi wa habari na watu wengine wafanyakazi wa Muhimbili ninaomba watueleze kama niliyosikia huko ni kweli.
Kuna taarifa huko Muhimbili sasa huduma zote ni za kulipia na gharama ni juu kupita hospitali za binafsi.
Mfano huduma ya wamama wajawazito ambayo ilikuwa bure kabisa sasa naambiwa lazima walipe laki tatu na ishirini..320,000/- na vipimo kama CT scan ni kulipa kuanzia laki sita.
Kuna vipimo ambavyo hospitali binafsi wana charge elfu 40 Muhimbili unalipa laki nne 400,000/ na kwamba mgonjwa akilazwa tu siku moja lazima alipe
na chakula ni kununua.
Nimejiuliza hizi taarifa ni za kweli au uzushi?
Kuna watu ambao mmekwenda Muhimbili hivi karibuni mtusaidie?
Pascal Mayalla Manyerere Jackton
Salary Slip
==================
Maoni ya wadau wengine
kwani bima hailipiwi,?Hivi huko shule mlienda kusomea ujingaLabda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
Hv wewe wakati mwingine kumbe unajitoa akili?Uzushi toka BAVICHA
Mkuu The Boss, kuna very good development on this, wakubwa wameliona bandiko hili and soon official statement from MNH itanifikia kuainisha gharama za kila huduma, hivyo ukweli from the horses mouth utawafikia.Humu ndani tuna waandishi wa habari na watu wengine wafanyakazi wa Muhimbili ninaomba watueleze kama niliyosikia huko ni kweli.
Kuna taarifa huko Muhimbili sasa huduma zote ni za kulipia na gharama ni juu kupita hospitali za binafsi.
Mfano huduma ya wamama wajawazito ambayo ilikuwa bure kabisa sasa naambiwa lazima walipe laki tatu na ishirini..320,000/- na vipimo kama CT scan ni kulipa kuanzia laki sita.
Kuna vipimo ambavyo hospitali binafsi wana charge elfu 40 Muhimbili unalipa laki nne 400,000/ na kwamba mgonjwa akilazwa tu siku moja lazima alipe
na chakula ni kununua.
Nimejiuliza hizi taarifa ni za kweli au uzushi?
Kuna watu ambao mmekwenda Muhimbili hivi karibuni mtusaidie?
Pascal Mayalla Manyerere Jackton
Salary Slip
==================
Maoni ya wadau wengine
Mkuu The Boss na Mimi napenda nitoe mchango wangu, unajua Muhimbili ni hospital ya rufaa ya taifa, wagonjwa wanaofika pale wamepewa rufaa kutoka hospitalini za chini, ila sasa kama wewe ukienda pale bila rufaa kwa sababu una imani na unapenda Huduma za pale unaingia moja kwa moja kwenye private, awe ni mtoto au mjamzito haijalishi, ila sema Huduma za private za Muhimbili ni gharama kuliko hata hospitali nyingine za private tunazozifahamu, ingawa Mimi naona ni sawa kwa sababu Muhimbili ni the best ukilinganisha na hizi nyingineasante kwa mchango wako