Yanayotokea Muhimbili ni kweli?

Yanayotokea Muhimbili ni kweli?

Hivi hizi kodi tunazilipa zote huwa wanalipana mishahara na kununulia vibajaji au inakuwaje jamani?

Kodi zimekuwa nyingi sana maisha hayatabiriki hospitali za serikali huduma ni ghari sana . Mwezi mmoja uliopita nilienda pale hospitali ya temeke kupima mkojo nililipa shilingi elfu tano(TZS 5000) wakati hospitali binafsi ni shilingi 1000 tu.

Sasa sijajua serikali hii ina nia gani na wananchi wake!!! Kodi walipe halafu mnapiga debe kabisa kuwa hizi hela za kodi ndio zinatumika kununukia madawa na kuendeleza miundo mbinu ya nchi.Hizo dawa zinazonunuliwa kwa kodi zetu mbona tena tunauziwa kwa bei ya juu sana ??

Natamani hata watanzania walione hili kwa jicho la tatu ili ifikapo 2020 wasifanye makosa tena .
 
1.Watu waishi kama mashetani.
2.NCHI ya Vi_Wonder
3.A Failed State.
4.NCHI ya Kusadikika na Wadanganyika.
 
Hizi habari huenda zikawa za kweli.

Pale Mhimbili wanahudumia wagonjwa ambao wamewekwa kwenye category Tatu.

1. Ni wale wa msamaha, hawa hawalipi hata shilingi na Mara nyingi wanakuwa na rufaa toka hospital zingine kama Amana.

2. Ni wale wa cost sharing, hawa huchangia kiasi Fulani cha gharama, nakumbuka mwezi wa tano nilikuwa na mgonjwa (mzazi), alikaa Sikh tano gharama ambazo nililipa ni shilingi kama elfu 22 kwa mama na nyingine kama elfu 19 kwa mtoto. Zikiwa ni gharama za consultation, dawa pamoja na kitanda. Siku naenda kuchukua bill nikaulizwa ni private au kawaida, nikamwambia kawaida.

3. Ni wale wa private, hapa ndo penyewe, ukienda kichwa kichwa tu huna rufaa ya kutoka hospital za serikali, iwe umetoka nyumbani moja kwa moja ukijua Mhimbili hospital ya serikali halafu ukafika na kupewa Huduma tu siku ukiletewa bill lazima utaimba wimbo wa Musa, maana wao watakuingiza private bila wewe kujua.

Kwa hiyo huenda waliokumbana na bill kubwa watakuwa waliangukia kwenye category ya Tatu.
 
Nesi hahusiani na bima.
sio kila mru ana uwezo wa kua na bima.. kuna requirements na watz wengi hawfikii.....
na kama saivi kila kitu kinachajiwa.... unadhani iyo bima ndo mkombozi.....hutaamn na bima yako unanyimwa huduma
 
Kuna taarifa huko Muhimbili sasa huduma zote ni za kulipia na gharama ni juu kupita hospitali za binafsi.
Ndugu yangu anauguliwa na mtoto, tukafika pale tukaambiwa kuna vipimo vya kufanyiwa tukawapa kadi ya Bima, kuna vingine tukaambiwa twende regency tukalipia zaidi ya laki sita na nusu, tukarudi wakati wa kutoka tunaambiwa kuna deni la zaidi ya laki na nusu, ni za nini? wanasema ni vipimo, vipimo gani tena? anasema kuna vipimo tulifanya, sasa si viko kwenye BIMA? oogh aaaghh sijui unajua,,...
 
Sipingi kupanda au kutopanda kwangharama. Lakini pia wakazi wa Dar waliigeuza muhimbili kuwa dispensary. Yaani badala ya kuwa hospitali ya rufaa. Ikawa kama hospitali ya kata.

Mtu akijisikia uchungu ... muhimbili kabla ya kupitia dispensary na mwananyamala.

Kama wamepandisha gharama ni sehemu ya kuwafukuza wasiotaka kwenda sinza palestina.
Really nigga!!
Your level of ignorance is disappointing!
hakuna kiwango cha elim ambacho kinaweza kukukomboa kutoka kwenye ilo ulilopo
 
Kwa hiyo hata moderators wa JF siyo waandishi?
Hata wanaofanya kazi ikulu ktk kurugenzi ya mawasiliano nao siyo waandishi?
Kwa Sababu umesema hakuna waandishi Tanzania.
Mse*nge wewe unastahili ban.
Ciprofloxacin uwe mvumilivu kidogo, umetumia neno kali sana hilo mkuu,humu kuna kila aina ya watu,hata wale wa stand wamo humu,pole sana.
 
mara ya mwisho nilienda MNH shemeji/wifi yenu alikuwa anajifungua, yapata miezi 9 iliyopita sikutoa hela yoyote ya maana ni kama vile tulihudumiwa bure tu. kipindi ambacho nilihisi 'kukamuliwa' ni wakati binti yangu alipougua ambapo kila dawa aliyokuwa anaandika daktari nilikuwa naenda kununua mwenyewe kwenye duka la nje kama sikosei linaitwa Sunrise? - kipindi cha Jakaya.

Lakini ya Watanzania mengi huenda mambo yamebadilika.
 
Kwa ninavyofahamu mimi mpaka sasa sera ile ya wajawazito na watoto chini ya miaka mitano kutibiwa bure haijafutwa na bado wanatibiwa bure ila mjamzito ukienda na kadi ya bima unachajiwa kwa ile bima yako na si sera tena.

Kuna mama alijifungua juzi juzi akazuiwa kutoka baada ya kushindwa kulipa bili yake ambayo ili kuwa arround 300K mpaka waziri akaingilia kati. Sijui hiyo bili ilikuwa ya nini.
 
Labda hii ndiyo itapelekea kila Mtanzania kujuwa umuhimu wa kujichukulia bima ya afya.
hahahah faiza unadhani hii bima ya afya ndo solution ya wagonjwa ina maana hujui hizi bima za afya zina class za matibabu?sio kila kipimo bima italipa na si kila dawa bima itakununulia na swala la bima kwa wale wa vijijini ni story na kamwe haitatokea waelewe hii kitu so haijalishi bima ipo haipo afya ni muhimu so hospital za govt at least ziwe rahisi si zaid ya private.Tuachen majibu mepesi kwa mambo serias tunaijua nchi yetu ina watu wa aina gani sio hawa tuu unaowaona mjini ndo unasema ivo.
 
hahahah faiza unadhani hii bima ya afya ndo solution ya wagonjwa ina maana hujui hizi bima za afya zina class za matibabu?sio kila kipimo bima italipa na si kila dawa bima itakununulia na swala la bima kwa wale wa vijijini ni story na kamwe haitatokea waelewe hii kitu so haijalishi bima ipo haipo afya ni muhimu so hospital za govt at least ziwe rahisi si zaid ya private.Tuachen majibu mepesi kwa mambo serias tunaijua nchi yetu ina watu wa aina gani sio hawa tuu unaowaona mjini ndo unasema ivo.


Nisome tena. Hizo zote umeandika porojo zako.
 
Back
Top Bottom