Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,651
Aiseee, kweli tuna kazi Bado 🤔Tatizo lako unaamini Bible ni maneno ya mungu🤣🤣🤣. Wa Israel waliandika Bible ili iwe katiba yao iwaongoze. Nyinyi mmeingizwa cha kike tu basi
Aiseee, kweli tuna kazi Bado 🤔Tatizo lako unaamini Bible ni maneno ya mungu🤣🤣🤣. Wa Israel waliandika Bible ili iwe katiba yao iwaongoze. Nyinyi mmeingizwa cha kike tu basi
😂😂😂😂Kwani hazifiki kule Israel?Rocket za hamas kwa sasa, waache tuu kurusha maana hakuna kitu.
😅😅😅😂😂😂😬😬😁 Waislam 2.2M wameambiwa wahame wanauliza tuhamie wapi tena au baharini? Kila wakijisogeza wanakong'otwa mbona kazi ipo. Hawa watoto wa Yakobo wangemsikiliza Joshua wakati ule haya mambo yasingekuwepo. Gaza imeenda tayari bado pale kwa mfalme wa Salem.
Nadhani ndio faida pekee ya muungano 😂😂😁😁 maana kule Zanzibar wana vi element vya ki hamas kuna kipindi walianza upuuzi wao wa kuchoma makanisa na wakaua mpaka padri na kumwagia tindikali watalii eti kisa wanatembea uchi bila kuvaa majuba wakakong'otwa mpaka sasa hata watalii wapite uchi utawasikia tu 'Astaghafilullah' 😀😀😬😬😁😁.Ndo ukweli
Wnajifanya hawajui wakati watt wanamezeshwa sumu hata kuku tunapoishi ni vile tu hii nchi imefanikiwa sn kudhibiti Hawa wapuuzi!
Mungu ametusaidia sn
Ardhi ya Wafilisti kwa maandiko au mkataba gani!?. Mungu alimwambia Ibrahim "Toka nyumbani kwa Baba yako na mama yako nami nitakupa" Nchi". Tena wakamwambia Yakobo ambaye ni babu wa hawa kina Netanyahu kuwa "Uzao wako utakwenda utumwani misri muda wa miaka 400 nami nitakutoa huko na kukupa ardhi hii kwanini wasing'ang'anie pale misri Goshen kama ni eneo walipewa na Yusufu ila Yusufu akawa mjanja akawaambia" Najua Mungu atawajilia, siku akiwajilia kuwa chukua Msiache mifupa yangu huku misri ".ardhi ya palestina inayo kaliwa kwa mabavu labda walicho kosea ni kushambulia raia tu.
Ndo ukweli
Wnajifanya hawajui wakati watt wanamezeshwa sumu hata kuku tunapoishi ni vile tu hii nchi imefanikiwa sn kudhibiti Hawa wapuuzi!
Mungu ametusaidia sn
Benjamin Netanyau ana uchungu sana na haya magaidi ya kipalestina mdogo wake akiitwa Yonatan Netanyau aliuwawa kwenye operation entebe alipokuwa akiiongoza kikosi cha kuokoa ndege iliyokuwa imetekwa na magaidi ya kipalestina uokoaji ulifanikiwa 100% ila yeye Yonatan alipoteza maisha.Ndo ukweli
Wnajifanya hawajui wakati watt wanamezeshwa sumu hata kuku tunapoishi ni vile tu hii nchi imefanikiwa sn kudhibiti Hawa wapuuzi!
Mungu ametusaidia sn
😂😂😂😂Kwani hazifiki kule Israel?
Kuna comment humu kuwa Israel anapigwa
Kama mama yko alioko kuzimu na gunzi likmzuia mavi wakati babaa yko akiliwaHao wanataka hela ilihali wale magaidi wa Hamas wanaua ili na wao wauwawe waende kuzimu kufaidi mabikira 70 na mito ya pombe
Kumbe siri Iko kwenye kuwa brain wash watoto wao wakiwa wangali wadogo ona hii video ya kwenye Twitter hapa chini
View: https://x.com/AmFuzzy/status/1712571289804972480?s=20
Chuki hizo wanakuwa nazo kiasi kwamba hawaoni ni kinyume Cha ubinadamu kumchinjwa mwanadamu mwenzao, ati sababu ni dini nyingine
Jionee mwenyewe
Unawachukukia poa sana hawa HAMAS, usiombe ukutane nao anga zao.Hamas ingekuwa na uwezo wa kijeshi kama wa Uganda au Tanzania Mimi na amini Israeli ingepigika vibaya mno nimegundua wanajeshi wengi wa Israeli uwezo wao wa kupambana mapambano ya ardhini ni mdogo kweli
Good achievement!Operation safisha Gaza; wananchi watakiwa kuondoka na kuacha makazi yao ndani ya masaa 24 yajayo.
Waparestina wapatao 1.1m wanatakiwa kuondoka Gaza ndani ya masaa 24 ajayo kupisha operation chakaza ndani ya Gaza ili kuwasaka na kuwasambaratisha wanamgambo wa HAMAS.
UN imetoa angalizo kwamba zoezi hili linaweza kuwa gumu na kuwaathiri wao hao kwa kiwango kikubwa.
The Israeli military has told civilians in Gaza City to leave their homes, says military operations will take place in the area “in the following days”.
Bila shaka lengo la kuichoma lilitimia hayo mengine wataalam wa hapa karume mchikichin wanaita ni "collateral damage"Never mess with Israel.
VIVA ISRAEL, VIVA NCHI YA AHADI.
View attachment 2780610View attachment 2780611View attachment 2780612View attachment 2780614View attachment 2780615View attachment 2780616
Ndio maana ww ni mpumbavu ww nchi hiyo ardhi ya nchi yako unayo ishi ulihaidiwa na mungu?Ardhi ya Wafilisti kwa maandiko au mkataba gani!?. Mungu alimwambia Ibrahim "Toka nyumbani kwa Baba yako na mama yako nami nitakupa" Nchi". Tena wakamwambia Yakobo ambaye ni babu wa hawa kina Netanyahu kuwa "Uzao wako utakwenda utumwani misri muda wa miaka 400 nami nitakutoa huko na kukupa ardhi hii kwanini wasing'ang'anie pale misri Goshen kama ni eneo walipewa na Yusufu ila Yusufu akawa mjanja akawaambia" Najua Mungu atawajilia, siku akiwajilia kuwa chukua Msiache mifupa yangu huku misri ".
Hiyo ardhi ni mali ya Israel, Mungu yehova yupo so clear mpaka mipaka ya makazi yao ameitaja very open na wao wanajua ndio maana wakiwatandika wana occupy the space chap kwa ukali utashangaa. Gaza imeenda tayari, wamejichanganya wenyewe. Bibilia inasema, kwa mtini jifunze tawi lake lijapoanza kuchanua........asomaye na afahamu.
Kinachonisikitisha ni kuona Bado raia wanaishi hapo Gaza Hadi muda huu .Benjamin Netanyau ana uchungu sana na haya magaidi ya kipalestina mdogo wake akiitwa Yonatan Netanyau aliuwawa kwenye operation entebe alipokuwa akiiongoza kikosi cha kuokoa ndege iliyokuwa imetekwa na magaidi ya kipalestina uokoaji ulifanikiwa 100% ila yeye Yonatan alipoteza maisha.
Ukiingalia sura ya Netanyau unaona kabisa anamaanisha.
Hamas walitegemea wavuke mpaka wa Israel wauwe watu halafu Israel iwachekee tu! Kama Nyerere alianzisha vita na Uganda baada ya Uganda kufanya mashambulizi mpakani nini cha ajabu kwa Israel kuwachapa magaidi wa hamas🤣😂
Any way wanaoilinda Israel kimaombi waendelee maana hii ni vita ya rohoni kinachoendelea ni udhihirisho wa kinachoendelea kwenye ulimwengu wa roho.