Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,810
- 218,467
Yule Mgombea wa Urais anayeongoza kura za maoni Mh Tundu Lissu leo tena anaendelea kukutana na wananchi kwa lengo la kuwaomba kura , ambapo leo atahutubia baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Mwanza na baadaye ataingia mkoani Mara
Kama kawaida yetu leo tena tutaendelea kuwaletea yote yanayojiri kote anakopita .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
========
Mwibara
Ukerewe :
Mkutano haukufanyika baada ya waendesha kivuko kuelekezwa kutombeba Lissu kwa kutumia kivuko hicho ili kumkwamisha , ratiba mpya ya mikutano ya Ukerewe itapangwa tena .
Bunda Mjini
Kama kawaida yetu leo tena tutaendelea kuwaletea yote yanayojiri kote anakopita .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
========
Mwibara
Ukerewe :
Mkutano haukufanyika baada ya waendesha kivuko kuelekezwa kutombeba Lissu kwa kutumia kivuko hicho ili kumkwamisha , ratiba mpya ya mikutano ya Ukerewe itapangwa tena .
Bunda Mjini