Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,168
- 6,292
Nakubali, ila strategy ziwe halisi. Tuangalie kwenye kura nyingi tusi waudhi wasikilizaji. Naamini Mh Lissu angefika mapema Nyamagana jana hapange tosha.. Watu wengi waliondoka baada ya kuchelewa. Halafu wakio baki wanaona mgombea ana lazimishwa kumaliza mkutano na Rpc.. Think that way...
Well, Lissu hutumia muda mwingi wa kampeni zake kuhutubia wananchi wa miji midogo kwa sababu uelewa wao haulingani na wanaokaa miji mikubwa, ndio maa mikutano yake huwa ya mwisho katika miji mikubwa. Hata hivyo ratiba inabana na naamini team ya kampeni imeshaliona hilo na halitatokea tena.