pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Mungu alishambariki toka alipomnusuru na yale mauaji.Mungu mbariki Lissu
Sasa anakwenda kufanya kazi ambayo ni maagizo ya Mungu.
Mungu alishambariki toka alipomnusuru na yale mauaji.Mungu mbariki Lissu
Uongo migodi mikubwa ya dhahabu iko Geita Kuna hadi kampuni kubwa la Geita Gold Mine kule.Tuliambiwa kuwa Geita ndio mkoa masikini sana katika nchi hii.
Wasipofunga bendera. Pikipiki zitashindwa kuwaka au?Muda huu...Mji mdogo wa Katoro Geita bodaboda wazuiwa kufunga bendera za CHADEMA,
Apumzike kwa amani...Magufuli karudi kwenye mapumziko ya siku tatu. Akitoka hapo anaenda tena kupumzika Dar!
Na wote wa Chato anawafahamu kwa sura na majina, inabidi wavae maskini, la sivyo watakipata cha moto.Nasikia Leo meko hafanyi kampeni ili aone chato itakavyoitika kwa lisu
Hiyo inaitwa LEFT HOOK. Ni ngumi kali ya kumtoa mtu K.O.Ndio maana Chalinze hakuna mauaji.
The savior. The messiah!Lissu the Greatest!
2020#ni yeye#
Amen my brother.God will answerMungu mbariki Lissu
Hi taarifa mleta mada uliileta saa nne asubuhi saa hizi inaelekea saa kumi na Moja Giza linaingia napata hasira hamna update hiyo ya Geita?.Kitengo Cha uchakachuaji picha Cha Chadema badio hakijamaliza kazi tu?Wakuu nawasalimia kwa salamu ya ukombozi , leo tena yule mgombea anayeongoza kwenye kura za maoni Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano yake ya kampeni za kuomba kura kwa wananchi , ambapo leo atakuwepo Geita , huu ndio Mkoa aliouawa kinyama kamanda Alphonce Mawazo, RIP, mchana wa jua kali huku wauaji wanaofahamika hawajakamatwa hadi leo.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika .
=======
TAL. Kanyaga twende.Wakuu nawasalimia kwa salamu ya ukombozi , leo tena yule mgombea anayeongoza kwenye kura za maoni Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano yake ya kampeni za kuomba kura kwa wananchi , ambapo leo atakuwepo Geita , huu ndio Mkoa aliouawa kinyama kamanda Alphonce Mawazo, RIP, mchana wa jua kali huku wauaji wanaofahamika hawajakamatwa hadi leo.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika .
=======
UPDATES 1
Akiwa Muleba Mh Lissu amewahurumia wananchi wa hapo , baada ya kilichowapata kwenye tetemeko " mmepatwa na tetemeko badala ya kufarijiwa mkasimangwa "
View attachment 1578319
We know who you are.Hi taarifa mleta mada uliileta saa nne asubuhi saa hizi inaelekea saa kumi na Moja Giza linaingia napata hasira hamna update hiyo ya Geita?.Kitengo Cha uchakachuaji picha Cha Chadema badio hakijamaliza kazi tu?
Hi taarifa mleta mada uliileta saa nne asubuhi saa hizi inaelekea saa kumi na Moja Giza linaingia napata hasira hamna update hiyo ya Geita?.Kitengo Cha uchakachuaji picha Cha Chadema badio hakijamaliza kazi tu?
Ni tofauti na wenye akili mgando.Chadema inakwenda na wakati mno ! kila zama na vibwagizo vipya
Hi taarifa mleta mada uliileta saa nne asubuhi saa hizi inaelekea saa kumi na Moja Giza linaingia napata hasira hamna update hiyo ya Geita?.Kitengo Cha uchakachuaji picha Cha Chadema badio hakijamaliza kazi tu?
Hatudanganyiki. Umeunganisha picha na maneno. You are very low.Wana Geita mkataeni anawatukana kuwa mmependelewa maendeleoView attachment 1578131
Team JPM tukutane kwenye Uzi wangu
Very desperate eh?Safari ya kuing'oa CCM ni ngumu na ninafuu ya kutembea Kwa mguu kwenda sayarini, unapokuwa na mtu aliyedhamilia kufanya hivyo na hatojali atafika lini huko, inahitaji kutiwa Moyo ili aendelee na Safari,ingawa mpambanaji huyo aweza kufia njiani na kizazi cha kizazi chake ndio kitakachokuja kufika sayarini tayari Kwa kuing'oa CCM
Tusichoke kuwatia moyo watu kama hao wanaotia Nia, lakini tusisahau kutumia sayansi zaidi ya hao waliotangulia kufika huko sayarini na wakaweka mizizi yao huko,
Akili kubwa inahitajika zaidi ktk Safari hizi na sio Maneno na upambe mwingi
Nimalize Kwa kusema, Atashinda tena, NDIYO, Magufuli atashinda tena Kwa ushindi mkubwa kuliko ule 2015,
Naomba mliokamia saaana eti huyo mbeligiji atashinda, jihadharini msije kuanguka mkazikwa bule Kwa kuwa atashindwa vibaya Sana, ni Bora kuanza kuizoea hiyo Hali kidogokidogo, mwisho wa siku maisha yanaendelea
Mbona wanasema mabango ya ccm yamejaa sana hapo ?Niko Katoro hali si ya kawaida kila nikigeuka Lissu Lissu nikasema kuna nini, yani kuna taharuki kila mtu amekaa atention akisema anatokea anatokea..ukiangalia magari yanayokuja sio yeye..
Huyu jamaa anawaharibu watu vichwa, shughuli za uchumi zilipaswa kuendelea, hivi sio sawa