Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,068
Wakuu nawasalimia kwa salamu ya ukombozi , leo tena yule mgombea anayeongoza kwenye kura za maoni Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano yake ya kampeni za kuomba kura kwa wananchi , ambapo leo atakuwepo Geita , huu ndio Mkoa aliouawa kinyama kamanda Alphonce Mawazo, RIP, mchana wa jua kali huku wauaji wanaofahamika hawajakamatwa hadi leo.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika .
=======
UPDATES 1
Akiwa Muleba Mh Lissu amewahurumia wananchi wa hapo , baada ya kilichowapata kwenye tetemeko " mmepatwa na tetemeko badala ya kufarijiwa mkasimangwa "
UPDATES 2
Biharamuro , mapema
Video : Katoro
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika .
=======
UPDATES 1
Akiwa Muleba Mh Lissu amewahurumia wananchi wa hapo , baada ya kilichowapata kwenye tetemeko " mmepatwa na tetemeko badala ya kufarijiwa mkasimangwa "
UPDATES 2
Biharamuro , mapema
Video : Katoro