Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mh Tundu Lissu Mkoani Geita

Go Lissu hata wana Geita wanamajuto mengi bwana yule anajali kijijini kwao kinachofanyika kiasi ni sehemu ndogo mapato toka mgodi wa GGM ambao wamehodhi karibu 200 km mraba, na kufurusha wachimbaji wadogo kuwa nje mbali ya mji kuanzia 40+++ km, awali wachimbaji wadogo multiplier effect mapato ilikuwa kubwa, Lissu awape ahadi kurejesha baadhi ya maeneo Samina, Katoma, Mgusu,... hata hekari chache zitahuisha maisha mji umekuwa mgumu sana.
Kampeni hizi hamtaki mabadiriko?. Mikono hamzungushi tena?. Poleni Wajumbe wa saccos.
 
Haki, Uhuru na maendeleo ya watu.lissu ajikite kufafanua kauli mbiu hii ya kupendeza kwa kina.Kwa mfano mamlaka za serikali kutoa upendeleo kwa watu kwa misingi ya vyama vyao limekithiri sana..
 
Wakuu nawasalimia kwa salamu ya ukombozi , leo tena yule mgombea anayeongoza kwenye kura za maoni Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano yake ya kampeni za kuomba kura kwa wananchi , ambapo leo atakuwepo Geita , huu ndio Mkoa aliouawa kinyama kamanda Alphonce Mawazo, RIP, mchana wa jua kali huku wauaji wanaofahamika hawajakamatwa hadi leo.

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika .


=======
Mkuu emb weka hii hapo juu maana Lissu kanifurahisha sana
Screenshot_20200923-133950_Twitter.jpg
 
Nasikia Leo meko hafanyi kampeni ili aone chato itakavyoitika kwa lisu
Hapa katoro na buserere matatizo lukuki,hakuna maji,hakuna lami,hakuna chuo Cha elimu chochote, ni shida bin shida. N
Kinachopendelewaa ni kijiji cha chato na sio geita nzima.
Katoro na buserere ni miji iko Jimbo la CHATO, hakuna kitu alicholeya Huku. Hakuna maji,hakuna barabara za lami ndani ya hiyo mji.ni shidaaaaaa
 
Back
Top Bottom