Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
So what!?Nimekakuta sehemu.View attachment 1577984
So what!?Nimekakuta sehemu.View attachment 1577984
Tangu lini Team JPM ikamtakia heri Membe ?Nimekakuta sehemu.View attachment 1577984
Kampeni hizi hamtaki mabadiriko?. Mikono hamzungushi tena?. Poleni Wajumbe wa saccos.Go Lissu hata wana Geita wanamajuto mengi bwana yule anajali kijijini kwao kinachofanyika kiasi ni sehemu ndogo mapato toka mgodi wa GGM ambao wamehodhi karibu 200 km mraba, na kufurusha wachimbaji wadogo kuwa nje mbali ya mji kuanzia 40+++ km, awali wachimbaji wadogo multiplier effect mapato ilikuwa kubwa, Lissu awape ahadi kurejesha baadhi ya maeneo Samina, Katoma, Mgusu,... hata hekari chache zitahuisha maisha mji umekuwa mgumu sana.
Chadema inakwenda na wakati mno ! kila zama na vibwagizo vipyaKampeni hizi hamtaki mabadiriko?. Mikono hamzungushi tena?. Poleni Wajumbe wa saccos.
Hajafika Chato tu?Chadema inakwenda na wakati mno ! kila zama na vibwagizo vipya
Nafikiri umekosea kuandika vizuri pia, mkuu!Kwani huwezi kutulia ukqandika vizuri?
Hakuna hiyo timu unayoiita huku , wako kwenye lile kundi la elfu 7 kuleTeam JPM tukutane kwenye Uzi wangu
Zile za ku edit nyomi 🤣🤣🤣🤣🤣Tutaweka picha na video zao mkuu
Bwasheee huko ndio mtajuwa kuwa mpo kwenye wakati gani wale watu sio Wazaramo bwasheeGeita siyo Chalinze bwashee!
Ndivyo mnavyo mdanganya jiweZile za ku edit nyomi 🤣🤣🤣🤣🤣
Wamesha wapa pesa ya bando?Team JPM tukutane kwenye Uzi wangu
Kinachopendelewaa ni kijiji cha chato na sio geita nzima.Wana Geita mkataeni anawatukana kuwa mmependelewa maendeleoView attachment 1578131
Mnawekewa hadi live lakini mnapinga ! tuwasaidieje sasa ?Zile za ku edit nyomi 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa taarifa yako Usiseme anapendelea Geita ,sema anapendelea Chato pekee!!! Makao makuu taasis nyingi kipaumbele Chato. Wadau wangu huko walinijuza mzee bado ana kinyongo alikosa wadhamini ngazi ya chama enzi zile za upepo wa Lowasa.Wana Geita mkataeni anawatukana kuwa mmependelewa maendeleoView attachment 1578131
Nilimshangaa sana Raisi je wanadanganyana au wanamdanganya?Zile za ku edit nyomi 🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu emb weka hii hapo juu maana Lissu kanifurahisha sanaWakuu nawasalimia kwa salamu ya ukombozi , leo tena yule mgombea anayeongoza kwenye kura za maoni Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano yake ya kampeni za kuomba kura kwa wananchi , ambapo leo atakuwepo Geita , huu ndio Mkoa aliouawa kinyama kamanda Alphonce Mawazo, RIP, mchana wa jua kali huku wauaji wanaofahamika hawajakamatwa hadi leo.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika .
=======
Hapa katoro na buserere matatizo lukuki,hakuna maji,hakuna lami,hakuna chuo Cha elimu chochote, ni shida bin shida. NNasikia Leo meko hafanyi kampeni ili aone chato itakavyoitika kwa lisu
Katoro na buserere ni miji iko Jimbo la CHATO, hakuna kitu alicholeya Huku. Hakuna maji,hakuna barabara za lami ndani ya hiyo mji.ni shidaaaaaaKinachopendelewaa ni kijiji cha chato na sio geita nzima.