Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

Taarifa mpya mbaya aliyotoa Mbowe ni kuwa mmoja wa majeruhi aliyekuwa kalazwa Mount Meru Hospital na jana akahamishiwa Selian Hospital aitwaye Amiri Ally amefariki leo mchana!

Too Sad..

Mungu na aamue kwa haki juu ya jambo hili.
 
Wajikumbushe jinsi ambavyo Mungu alivyomkataa Sauli baada ya kuendelea kutenda maovu mengi dhidi ya wananchi wa Israel. Kuweweseka kwa kauli zao kutatusaidia kujua mbivu na mbichi, bora wangenyamaza. Makamanda tujuzeni ili ikiwezekana tuchukue hatua za dhati, maana hata Misri ilianza kidogo kidogo hawa hawafai kusubiriwa mpaka 2015.

Muda wa CCM kukaa madarakani umetosha wakakae segerea na Ukonga tu, Ukimwona Mwigulu na Wassira unaona kabisa nafsi zao zinawashtaki

kuhusu hili la misri nakuunga mkono maana watanzania umoja wetu utaiondoa ccm kabla ya 2015 tushachoka kuvumilia upuuz huu, eti tuma amani, amani gani hii si bora tufie barabarani, kamanda wa anga aruhusu wananchi wafanye kazi yao
 
Ccm ni janga la kimataifa. Lakini ndani ya ccm kuna watu makini sana kwanini hawakemei haya?
 
Kwanza ni nani amemkabidhi Lukuvi ripoti ya mlipuko?,muuaji mkubwa huyo.

Si hao hao wanao tumika ndio wame mpelekea taarifa za kijinga! Si kina Mngulu na mwenzake ndio wapo arusha kwa kile kinacho itwa eti KUONGEZA NGUVU kwa ajili ya upelelezi!! Wapi bwana! hao ndio wanao jitahidi kufifisha jitihada zetu za kulikomboa taifa letu.

THEIR TEN WILL COME.
 
Nazidi kumwamini kamanda wangu wa anga na chadema kwa ujumla maana kamanda ana busara, upole, ustaarabu, umahiri na weled mkubwa kiuongozi maana kwa matendo kama haya huenda sa ivi tungekuwa tunaongea mengine kabisa
Hongera kamanda ila mwisho wa hawa wadhalimu umeshafika segerea inawasubiri
 
Kamanda Mbowe haya mambo mnaratibu na kuyapanga nyie wenyewe; unamlaumu Lukuvi kwa lipi nyie kama mna uchungu na watanzania wanaopoteza maisha yao kwa sababu za kipuuzi kama hizi mnayapangia nini? Mnatafuta mchawi nyumba ya jirani wakati mchawi mnalala naye chumba kimoja!

Ubarikiwe ndugu! Ila kumbuka kwamba "MCHEKA KOVU ASIYE FIKIWA NA JERAHA".
 
Taarifa mpya mbaya aliyotoa Mbowe ni kuwa mmoja wa majeruhi aliyekuwa kalazwa Mount Meru Hospital na jana akahamishiwa Selian Hospital aitwaye Amiri Ally amefariki leo mchana!
Mwenyezi Mungu amrehemu
 
cdm imeshapoteza wengi....kwa sababu za kisiasa tunampongeza Mbowe na uongozi wa juu kuwa na hekima na busara.....ushauri wangu: itisha mkutano wa mabalozi wambie cdm imechoshwa na mauaji haya na kiburi cha watawala....wape reference...waambie hapa hakuna demokrasia....hata uchaguzi ukifanyika 2015 ccm hawaachii dola....reference zipo....

wambie wanachama wapendekeze hatua mathubuti za kuchukua. Hii nchi ni ya kwetu, si ya lukuvi wala nchemba wala anna....hawawezi kuwa na kiburi cha namna hiyo.....wamezuia tv nyingine kurusha matangazo ya bunge live ili wawadanganye watu..cdm mnakubaliana na ujaja huo?......My big NO....strong actions needed now.
 
mbowe:
Katika eneo la tukio zimetumika silaha tatu.
Silaha ya kwanza ni bomu. Aliyerusha bomu tunamjua.
Silaha ya pili ni bunduki aina ya smg. Silaha ya tatu ni bastola.
Mauaji haya yalipangwa. Nimezungumza na igp pamoja na chagonja. Tumewaambia tuwajua, na waliochafua amani ni jeshi la polisi.
Lukuvi anatoa kauli bungeni kwa kudanganya wananchi kuwa wananchi waliwashambulia polisi. Uwongo.
Nilikuwa wa mwisho kuondoka eneo la tukio nikiwa na lema. Majeruhi wote makamanda wa chadema waliwabeba siyo polisi.
Lukuvi anazungumzia tukio la arusha utadhani waliokufa arusha ni kuku.

tatizo kila mtu anajifanya yy ni mr clean mi naomba chadema waonyeshe mkanda wavideo ambao utaonyesha kila kitu hata muharifu alipokuwa anajiandaa kurusha bomu na nadhani waandishi wa habari wa habari walikuwepo nao watusaidie km video ya mwangosi kuuwawa ilipatikana kwa nini ktk hili lishindikane? Msitufanye akili za watz vimeshikwa na lukuvi au mbowe
 
Ulipotokea mlipiko kanisani arusha kila kiongozi na familia yak walibebana kutoa pole eti ni ugaidi. hili waliloliandalia wao si ugaidi? tunasubiri tuone watakavyofanya - walitegemea tungekuwa na msiba wa Lema na Mbowe.............. mungu azilaze pema peponi roho za marehemu kwani imewatokea kwa kuwa karibu na walengwa. ploeni sana wafiwa!

Tunasubiri viongozi kumiminika Arusha na rambi rambi zao kama walivyofanya bomu lilipolipuka kanisani. Ama kwa sababu labda mpango mzima aliujua ndo maana hata hawakushtuka?

watabebana vipi wakati wao wenyewe ndiyo wahusika haswaa.

poleni sana wanaarusha na walazwe mahali pema peponi marehemu wote.
 
inaitwa O.D.D MKUU=OPERATION DELETE AND DESTROY! sema tu ilifeli.
 
Mmbarikiwe nyie mlio mahodari wa kujipangia majanga na kuua watu wasio na hatia!
We bahau jiheshimu,hii thread kwanza haikuhusu kama una-comment acha masiara wakati watu wanaomboleza..
 
tatizo kila mtu anajifanya yy ni mr clean mi naomba chadema waonyeshe mkanda wavideo ambao utaonyesha kila kitu hata muharifu alipokuwa anajiandaa kurusha bomu na nadhani waandishi wa habari wa habari walikuwepo nao watusaidie km video ya mwangosi kuuwawa ilipatikana kwa nini ktk hili lishindikane? Msitufanye akili za watz vimeshikwa na lukuvi au mbowe

Mkuu,

Hata mkanda wa Mwangosi uliporushwa nini wamefanya watawala hawa waliojawa ni viburi vya umauti? cdm baki na mikanda hiyo kama ipo. waoneshe tu wanaohusika for further actions....
 
Back
Top Bottom