Arushaone
Platinum Member
- Mar 31, 2012
- 15,237
- 13,566
msipoichagua ccm mtakufa, by mwigulu nchemba! Kwa njia hii ccm imepoteza uhalali wa kuongoza taifa letu!
.. . . . . . .Ndiye muhusika mkuu kwa tukio la juzi.
msipoichagua ccm mtakufa, by mwigulu nchemba! Kwa njia hii ccm imepoteza uhalali wa kuongoza taifa letu!
Kwa umati huu Nape anakwambia chadema wamejilipua kuzuia uchaguzi,hivi inaingia akilini kweli,NAPE HIVI WEWE UNAMWAMINI MUNGU KWELI,UNA HOFU YA MUNGU KWELI..kama si leo basi in future to come laana na uchungu wa familia za watu na viongozi wa dini zitawalipa nyie na vizazi vyenu.
Kama hujui majukumu ya kila chombo ni bora kukaa kimya kijana. Mbona DRC hawajapelekwa Polisi kulinda amani? Ulinzi wa ndani ni kazi ya Polisi,ukiona Jeshi linatumika ujue wameshindwa kazi au kama huko Arusha hawakubaliki.kwani unadhani polisi na jeshi kazi yao nini kama sio kulinda amani.uwepo wa jeshi hapo ni ujumbe tosha kwa waliopo hapo.
.. . . . . . .Ndiye muhusika mkuu kwa tukio la juzi.
Yaani hata mie baada ya kuona hizi picha nimejiuliza Nape kweli yuko sawa kichwani? Kama kuna watu wanaweza kumwamini anachokisema basi hata wao ni wa kupimwa afya ya akili. Umati huo ni ishara tosha kuwa CCM ilishakufa Arusha, sasa Chadema kwa nini wazuie uchaguzi wakati uhakika wa kushinda upo na ilikuwa ndio tiketi ya kumng'oa Meya wa kuchonga? Nape mnahalalisha mauaji kwa ajili ya udiwani tuu jee kwenye Urais itakuwaje?Kwa umati huu Nape anakwambia chadema wamejilipua kuzuia uchaguzi,hivi inaingia akilini kweli,NAPE HIVI WEWE UNAMWAMINI MUNGU KWELI,UNA HOFU YA MUNGU KWELI..kama si leo basi in future to come laana na uchungu wa familia za watu na viongozi wa dini zitawalipa nyie na vizazi vyenu.
msipoichagua ccm mtakufa, by mwigulu nchemba! Kwa njia hii ccm imepoteza uhalali wa kuongoza taifa letu!
Muda huu uwanja wa Soweto watu no wengi wakisubiria wabunge wa CHADEMA kitoka Dodoma Mh Mbowe ameshafika,
Pia kutakuwa na kumuaga kijana ambae atasafirishwa kwenda kuzikwa Tabora.
Watu ni wengi sana
Ulinzi unasimamiwa jeshi la wananchi, watu hawataki kuwaona polisi wanaotumiwa na CCM.
![]()
halafu huyo kilaza wao anadai CDM ndio wamejilipua wenyewe, wanataka kuficha maovu yao kwa mgongo chadema
Si kamanda wa disco? huyo u kamanda wa anga autolee wapi?