Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

mungu awape pumziko la milele....mwanga wa milele awaangazie...

mungu mlaani mwigulu...
 
Kamanda Mbowe haya mambo mnaratibu na kuyapanga nyie wenyewe; unamlaumu Lukuvi kwa lipi nyie kama mna uchungu na watanzania wanaopoteza maisha yao kwa sababu za kipuuzi kama hizi mnayapangia nini? Mnatafuta mchawi nyumba ya jirani wakati mchawi mnalala naye chumba kimoja!

Unapokuwa unaongozwa na serikali dhaifu....bila shaka utakutana na hoja kama hizi kutoka kwa wananchi dhaifu wa fikra....hujui kama hapa unaiabisha serikali?????
 
Kuhusu afya ya mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari aliyelazwa hospitalini, Mh. Mbowe amesema kuwa bado hali yake ni mbaya hasa mgongoni alikopigwa kwa marungu na kukatwa kwa sime!
 
Last edited by a moderator:
Unapokuwa unaongozwa na serikali dhaifu....bila shaka utakutana na hoja kama hizi kutoka kwa wananchi dhaifu wa fikra....hujui kama hapa unaiabisha serikali?????

kwa lipi? kwa kuongea ukweli?
 
Kama ubongo wako ungekuwa na mawasiliano na viungo vingine ungetambua kuwa kama raia wamekosa imani na polisi mpaka JWTZ ndio wanafanya kazi ya kulinda amani katika shughuli za kiraia na sio kulinda mipaka hiyo inaonyesha kushindwa kwa watawala. Na sio jambo la kujivunia unaposhindwa kutawala kwa taratibu za kisheria mlizojiwekea.
Hii ni aibu kwa polis,wanamgambo wa wizara ya mambo ya ndani mwisho wao unakuja...
 
Yote haya yana mwisho. RIP makamanda damu yenu haitopotea bure.
 
mbona sioni kiongozi wa serikali?du kweli tuna kazi..sirikali hawana aibu
Mkuu kwani waliokufa watanzania,hupati shida kumjua adui yako na muuaji mkuu,leo chadema wameuliwa,kesho cuf,kesho kutwa askari....tutafika pale tunapopataka.
 
RIP kwa waliopoteza maisha katika harakati za kudai uhuru wa kweli
 
Makanisa yanalipuliwa na hawahawa CCM,laana ya viongozi wa dini itawatafuna na familia zenu...
 
kama mh mbowe anamfahamu alierusha bomu ni vyema atamje kuliko kutumia vifo kama mtaji wa kisiasa haikubaliki
 
Natizama Bunge ....,Nashangaa Sana wengi wa wabunge wa CCM WANAOONGE HAWATOI HATA POLE KWA WAKAZI WA ARUSHA ...HII CHUKI YA NINI...UKIONDOA HENRY SHEKIFU ......Na mwingine mmoja WOTE WALIOONGEA HAWAJATOA HATA POLE ...


:A S 13:


 
Chadema inahusika moja kwa moja kupanga na kulipua bomu kwenye mkutano wake yenyewe, tupo na tutaona
 
kwa lipi? kwa kuongea ukweli?


quote_icon.png
By chama
Hii kesi ndogo kwa misingi ya kutaka kujua wahusika halisi ni kina nani?




Chama Sijaelewa unamaana gani?

-Ya ulimboka makubwa kiasi kwamba mpaka leo hawajulikani wahalifu

-ya kibanda makubwa mpaka leo hawajulikani wahalifu

-Ya mapadri huko zanzibar makubwa mpka leo hawajulikani wahalifu

Thibitisha la arusha ni dogo ukilinganisha na machache nilioorodhesha hapo juu? unatumia vigezo gani kufikia hitimisho hilo.​




 
Natizama Bunge ....,Nashangaa Sana wengi wa wabunge wa CCM WANAOONGE HAWATOI HATA POLE KWA WAKAZI WA ARUSHA ...HII CHUKI YA NINI...UKIONDOA HENRY SHEKIFU ......Na mwingine mmoja WOTE WALIOONGEA HAWAJATOA HATA POLE ...


:A S 13:LUKUVI NA MWIGULU KWENYE MAONGEZI MAZITO BUNGENI


 
quote_icon.png
By chama
Hii kesi ndogo kwa misingi ya kutaka kujua wahusika halisi ni kina nani?




Chama Sijaelewa unamaana gani?

-Ya ulimboka makubwa kiasi kwamba mpaka leo hawajulikani wahalifu

-ya kibanda makubwa mpaka leo hawajulikani wahalifu

-Ya mapadri huko zanzibar makubwa mpka leo hawajulikani wahalifu

Thibitisha la arusha ni dogo ukilinganisha na machache nilioorodhesha hapo juu? unatumia vigezo gani kufikia hitimisho hilo.​



mwenyekiti wa Chadema taifa ameshatamka hadharani anamjua mtuhumiwa tayari amerahisha uchunguzi,
 
Back
Top Bottom