Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

jwtz wanafaa, kuliko polisccm

Kwa system hii ya ccm hakuna anayefaa ni lazima chadema ichukue madaraka 2015 ifumue mfumo mzima na kuusuka upya, mkuu wa majeshi ni chaguo la mwenyeketi wa ccm, kamisheni zote anatoa mwenyekiti wa ccm mnadanganywa na maneno matamu na machache mnaingia kingi kwa urahisi! system yote kuanzia jeshi, polisi, mahakama , magereza, takukuru, TRA, BOT, etc zimeoza ni za kufumua na kusuka upya kabisa!!
 
Tayari wameshauriana kwamba viongozi wanakwenda kwenye kufanya utaratibu wa mazishi. Vikundi vingine vitabaki hapa kufunga mahema kwa ajili ya kesho.
Ameomba watu waende manyumbani lakini waje hapa asubuhi.
 
Kwa system hii ya ccm hakuna anayefaa ni lazima chadema ichukue madaraka 2015 ifumue mfumo mzima na kuusuka upya, mkuu wa majeshi ni chaguo la mwenyeketi wa ccm, kamisheni zote anatoa mwenyekiti wa ccm mnadanganywa na maneno matamu na machache mnaingia kingi kwa urahisi! system yote kuanzia jeshi, polisi, mahakama , magereza, takukuru, TRA, BOT, etc zimeoza ni za kufumua na kusuka upya kabisa!!
Well said comred!
 
.....nina kubaliana na Mbowe 100% polisi wanahusika, sijawahi ona polisi wanaowapiga mabomu ya machozi
wananchi ambao wamepigwa na bomu la moto, kisha kuwatandika na risasi, what...? Afghanistan?
 
Tayari wameshauriana kwamba viongozi wanakwenda kwenye kufanya utaratibu wa mazishi. Vikundi vingine vitabaki hapa kufunga mahema kwa ajili ya kesho.
Ameomba watu waende manyumbani lakini waje hapa asubuhi.
Mungu ibariki CHADEMA
 
...pole sana wafiwa na majerui wote wa bom,MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu sana cha maombolezi ya kuondokewa na wapendwa wenu/wetu,Mungu awape nafuu na kuwaponya majerui wote...pole sana kamanda wa anga,mh Mbowe,mh Lema,mh Nassari na wanaChadema Arusha na Watanzania wote mnao simama upande wa haki na kukemea dhuruma na maovu ya serelali dhalimu ya CCM...nayakumbuka maneno yako mh Mbnwe uliyatoa kwenye mkutano wa hadhala katika viwaja vya furaisha hapa Mwanza..."kazi ya kupigania ukombozi wapili wa nchi yetu ni mgumu na hatari sana,ikatoa mimi Mbowe nikapoteza maisha katika mapambano haya..."UCHUKUENI MWILI WANGU MUUWEKE KANDO NA MUENDELEE NA MAPAMBANO HADI UHURU WA KWELI UTAKAPO-PATIKANE"...
 
mbona sioni kiongozi wa serikali?du kweli tuna kazi..sirikali hawana aibu
 
Nilichopenda kwenye kauli ya leo ni hii: "ALIYERUSHA BOMU TUNAMJUA". Hakika ni faraja kubwa kwa wapenda amani wote kumjua mvunja amani ili sheria ichukue mkondo wake..
 
Kilaza Lukuvi atuambie kuna polisi gani alipigwa mawe eneo la tukio?
 
Ulipotokea mlipiko kanisani arusha kila kiongozi na familia yak walibebana kutoa pole eti ni ugaidi. hili waliloliandalia wao si ugaidi? tunasubiri tuone watakavyofanya - walitegemea tungekuwa na msiba wa Lema na Mbowe.............. mungu azilaze pema peponi roho za marehemu kwani imewatokea kwa kuwa karibu na walengwa. ploeni sana wafiwa!

Tunasubiri viongozi kumiminika Arusha na rambi rambi zao kama walivyofanya bomu lilipolipuka kanisani. Ama kwa sababu labda mpango mzima aliujua ndo maana hata hawakushtuka?
 
Back
Top Bottom