Lol!!Poleni sana wana Arusha kwa yote yaliyowasibu niko mbali na nyumbani lakini tuko pamoja sana tu.Watu wetu wamekatishiwa maisha na wadhalimu CCM na PoliceCCm lakini kwa bwana kila kitu kinawezekana wao wametangulia pasipo ridhaa ya Mwenyezi Mungu lakini na wauaji nao watafuata hakuna mjadala na watakufa vifo vibaya na vya ajabu ajabu kwani twafahamu malipo ni hapa hapa Duniani.Mwigulu,Wasira,Mwampamba,Juliana Shonza hawa wote wanaufahamu mpango huu wa mauaji hapa hakuna ubishi.Haya ndio aliyoandika JUliana Shanza kwa ukurasa wake wa Facebook jana;M pp llatokeo ya Makuyuni Arusha
Ccm 1444
chadomo 321 plus Nassari kung'olewa meno.Achanja mbuga kwa miguu na kutelekeza gari.
chezea masai weye hahaaa chadema wanaiiita sabena hahaaaa