Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

Mbowe:
Katika eneo la tukio zimetumika silaha tatu.
Silaha ya kwanza ni bomu. Aliyerusha bomu tunamjua.
Silaha ya pili ni bunduki aina ya smg. Silaha ya tatu ni bastola.
Mauaji haya yalipangwa. Nimezungumza na IGP pamoja na Chagonja. Tumewaambia tuwajua, na waliochafua amani ni jeshi la polisi.
Lukuvi anatoa kauli bungeni kwa kudanganya wananchi kuwa wananchi waliwashambulia polisi. Uwongo.
Nilikuwa wa mwisho kuondoka eneo la tukio nikiwa na lema. Majeruhi wote makamanda wa chadema waliwabeba siyo polisi.
Lukuvi anazungumzia tukio la arusha utadhani waliokufa arusha ni kuku.

Wajikumbushe jinsi ambavyo Mungu alivyomkataa Sauli baada ya kuendelea kutenda maovu mengi dhidi ya wananchi wa Israel. Kuweweseka kwa kauli zao kutatusaidia kujua mbivu na mbichi, bora wangenyamaza. Makamanda tujuzeni ili ikiwezekana tuchukue hatua za dhati, maana hata Misri ilianza kidogo kidogo hawa hawafai kusubiriwa mpaka 2015.

Muda wa CCM kukaa madarakani umetosha wakakae segerea na Ukonga tu, Ukimwona Mwigulu na Wassira unaona kabisa nafsi zao zinawashtaki
 
Mbowe:
Katika eneo la tukio zimetumika silaha tatu.
Silaha ya kwanza ni bomu. Aliyerusha bomu tunamjua.
Silaha ya pili ni bunduki aina ya smg. Silaha ya tatu ni bastola.
Mauaji haya yalipangwa. Nimezungumza na IGP pamoja na Chagonja. Tumewaambia tuwajua, na waliochafua amani ni jeshi la polisi.
Lukuvi anatoa kauli bungeni kwa kudanganya wananchi kuwa wananchi waliwashambulia polisi. Uwongo.
Nilikuwa wa mwisho kuondoka eneo la tukio nikiwa na lema. Majeruhi wote makamanda wa chadema waliwabeba siyo polisi.
Lukuvi anazungumzia tukio la arusha utadhani waliokufa arusha ni kuku.
its paining.....
 
Mbowe: CHADEMA ni mpango wa Mungu, lazima kifanye kazi ya kukomboa nchi hii
 
Mbowe:
Matumaini yetu jana ilikuwa nikumaliza postmoterm, na kupanga mipango ya mazishi, kwa namna ratiba ilivyo, ni dhahiri kuwa kazi hii haitamalizika leo.
Tulio hili lisihusishwe na dini yoyote, tukio hili ni la kisiasa.
Tunawaomba serikali mkijaribu kuwatetea wahuni hawa wanaovuruga amani ya nchi, tukiwaka msilalamike!
Mbowe ana busara sana.
 
Ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,ccm,c.
 
Asante Mungi kwa updates,inasikitisha!
 
Last edited by a moderator:
Poleni wapendwa wetu, wote waliofanya hivi watawafuata mapema mno na washirika wao. na pia familia zao na za waliowatuma na dini zao na chama chao na imani zao vyote vitawafuata haraka sana.EE Mungu baba umekuwa ukinisikiliza siku zote naomba unisikilize na hili. AMINA.
 
Ama kweli Lukuvi.....!Lukuvi.....! Lukuvi....! Lukuvi......! Mungu yupo!
 
Muda Kamanda Mbowe ameomba dakika tano washauriane na viongozi wenzake nini cha kufanya
 
Mkuu Mungi kwa dhati ya moyo wangu nakupa pole sana na kwa wakazi wote wa Arusha kwa unyama huu.
 
Last edited by a moderator:
bado hawajaanza kuaga, tunawasubiri viongozi wa chama cha chadema. nafikiri itachukua muda sana. ila inasikitisha . kweli chadema wako vizuri wanajali sana watu na sio vitu!!!!!!!!!!!!!

CDM wameahirisha shughuri zao bungeni ili wakawaage watu waliouwa pasipohatia yoyote. CCM na serikali inaingiza siasa na kujitenga na tukio la Arusha. Serikali ya CCM haihusiki kabisa kwa mujibu wa Lukuvi.Lukuvi na CCM yake haya hayawahusu kwa kuwa wako upande wa pili wa shilingi.
 
Back
Top Bottom