Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Wana Jf,
Tupo hapa uwanja wa Soweto Kaloleni, uwanja ambao tukio la bomu lilitokea.
Muda huu viongozi wa chama wakiongozwa na kamanda wa anga Freemen Mbowe, Mbunge Godbless Lema wameingia uwanjani.
Uwanja umefurika sana watu ni wengi.
Usalama wa wananchi ulikuwa chini ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Polisi walifika lakini walizomewa na kufukuzwa na raia. Polisi wana ugomvi na raia na chadema
Wakati nchi ikiyumba, FastJet anauza sura.....
Tupo hapa uwanja wa Soweto Kaloleni, uwanja ambao tukio la bomu lilitokea.
Muda huu viongozi wa chama wakiongozwa na kamanda wa anga Freemen Mbowe, Mbunge Godbless Lema wameingia uwanjani.
Uwanja umefurika sana watu ni wengi.
Usalama wa wananchi ulikuwa chini ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Polisi walifika lakini walizomewa na kufukuzwa na raia. Polisi wana ugomvi na raia na chadema
View attachment 98029
View attachment 98031
Kama CCM kuwauwa watanzania kwenye mkutano wa chadema mlidhani mtawatisha basi imekula kwenu kwani leo watu walikuwa wengi sana na hawakutangaziwa mkutano wowote hali iliyopelekea wanajeshi wa JWTZ kuja kuwalinda badala ya wapumbavu waliokubali kutumika...
Wakati nchi ikiyumba, FastJet anauza sura.....