Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

Kilaza Lukuvi atuambie kuna polisi gani alipigwa mawe eneo la tukio?
 
Kilaza Lukuvi atuambie kuna polisi gani alipigwa mawe eneo la tukio?

waandishi wa kibongo waliokuwa onthe spot ni vilaza sana,wao ndo walitakiwa watupe habari za kina tujue kama hii habari ya mawe ina ukweli ama la.
 
utaachaje kumjua aliyerusha bomu wakati wewe ndio ulimtuma?
Mbowe:
Katika eneo la tukio zimetumika silaha tatu.
Silaha ya kwanza ni bomu. Aliyerusha bomu tunamjua.
Silaha ya pili ni bunduki aina ya smg. Silaha ya tatu ni bastola.
Mauaji haya yalipangwa. Nimezungumza na IGP pamoja na Chagonja. Tumewaambia tuwajua, na waliochafua amani ni jeshi la polisi.
Lukuvi anatoa kauli bungeni kwa kudanganya wananchi kuwa wananchi waliwashambulia polisi. Uwongo.
Nilikuwa wa mwisho kuondoka eneo la tukio nikiwa na lema. Majeruhi wote makamanda wa chadema waliwabeba siyo polisi.
Lukuvi anazungumzia tukio la arusha utadhani waliokufa arusha ni kuku.
 
Yes! Mnaweza kutuua lakini hamuwezi kutumaliza kwa siku moja! Mnaweza kututisha lakini hamtotuzuia kusonga mbele.. Na sasa tunakuja mdogomdogo kuing'o CCM 2015.. Na damu mnayoimwaga ni juu yenu na vizazi vyenu!
 
Poleni sana makamanda,ipo siku ukweli utajulikana tu..leo wabunge wa ccm wanaanza kwa kumpogeza waziri wa fedha,badala ya kuanza na pole kwa wafiwa na majerui wa bomu..namuona mwigilu akikodoa macho ya kinafki pale swala la bomu linapoguswa..asante mpiga picha wa tbc kwa kum mlika huyu shetani.
 
Asante kaka kwa kuelimisha umma WATZ juu ya uongo na ufedhuli wa ccm, LUKUVI HAYAWANI MKUBWA UNA HATA AIBU KUDANGANYA UMMA WA TZ, ETI CHADEMA WALIMFICHA MLIPUA MABOMU AKILI yako SAWA NA ya PANYA
 
Kwa system hii ya ccm hakuna anayefaa ni lazima chadema ichukue madaraka 2015 ifumue mfumo mzima na kuusuka upya, mkuu wa majeshi ni chaguo la mwenyeketi wa ccm, kamisheni zote anatoa mwenyekiti wa ccm mnadanganywa na maneno matamu na machache mnaingia kingi kwa urahisi! system yote kuanzia jeshi, polisi, mahakama , magereza, takukuru, TRA, BOT, etc zimeoza ni za kufumua na kusuka upya kabisa!!

Pamoja na kuzifumua na kuzisuka upya, pia wanao stahili kwenda SEGEREA, ISANGA na MAWENI lazima waswekwe ndani kwa kasi ile ile waliyo itumia kuvunja sheria na haki za waTanganyika.

Watu wamelewa madaraka hadi wanawaona wanao waongoza ni kama viumbe wasio stahili kuishi.

Ole yao ipo na ikaribu inakuja. sitatamani kusikia sijui TUME YA MARIDHIANO wala kitu gani vile sijui. Ni UKENGE UKENGE TU!
 
Kwanza ni nani amemkabidhi Lukuvi ripoti ya mlipuko?,muuaji mkubwa huyo.
 
PUMZIKENI KWA AMANI!
Ni dakika za maumivu na machungu ya moyoni.
Mtakumbukwa daima wapendwa wetu.
Haki ya kweli iko kwa Mungu, huku duniani ni sheria na ubabe.
 
Mbowe:
Katika eneo la tukio zimetumika silaha tatu.
Silaha ya kwanza ni bomu. Aliyerusha bomu tunamjua.
Silaha ya pili ni bunduki aina ya smg. Silaha ya tatu ni bastola.
Mauaji haya yalipangwa. Nimezungumza na IGP pamoja na Chagonja. Tumewaambia tuwajua, na waliochafua amani ni jeshi la polisi.
Lukuvi anatoa kauli bungeni kwa kudanganya wananchi kuwa wananchi waliwashambulia polisi. Uwongo.
Nilikuwa wa mwisho kuondoka eneo la tukio nikiwa na lema. Majeruhi wote makamanda wa chadema waliwabeba siyo polisi.
Lukuvi anazungumzia tukio la arusha utadhani waliokufa arusha ni kuku.


Siasa inatufanya mpaka tunapoteza utu. Uchungu wa kufiwa usirahisishwe na siasa, viongozi inabidi walitambue hili, wanapozungumzia juu ya kifo cha mtu wasifikirie kisiasa zaidi vinginevyo hata uongozi wao hauna maana.
 
Mbowe:
Katika eneo la tukio zimetumika silaha tatu.
Silaha ya kwanza ni bomu. Aliyerusha bomu tunamjua.
Silaha ya pili ni bunduki aina ya smg. Silaha ya tatu ni bastola.
Mauaji haya yalipangwa. Nimezungumza na IGP pamoja na Chagonja. Tumewaambia tuwajua, na waliochafua amani ni jeshi la polisi.
Lukuvi anatoa kauli bungeni kwa kudanganya wananchi kuwa wananchi waliwashambulia polisi. Uwongo.
Nilikuwa wa mwisho kuondoka eneo la tukio nikiwa na lema. Majeruhi wote makamanda wa chadema waliwabeba siyo polisi.
Lukuvi anazungumzia tukio la arusha utadhani waliokufa arusha ni kuku.

Kamanda Mbowe haya mambo mnaratibu na kuyapanga nyie wenyewe; unamlaumu Lukuvi kwa lipi nyie kama mna uchungu na watanzania wanaopoteza maisha yao kwa sababu za kipuuzi kama hizi mnayapangia nini? Mnatafuta mchawi nyumba ya jirani wakati mchawi mnalala naye chumba kimoja!
 
Taarifa mpya mbaya aliyotoa Mbowe ni kuwa mmoja wa majeruhi aliyekuwa kalazwa Mount Meru Hospital na jana akahamishiwa Selian Hospital aitwaye Amiri Ally amefariki leo mchana!
 
SAM_0377.JPG Hizi ndo picha za leo
 

Attachments

  • SAM_0376.JPG
    SAM_0376.JPG
    119.8 KB · Views: 263
Taarifa mpya mbaya aliyotoa Mbowe ni kuwa mmoja wa majeruhi aliyekuwa kalazwa Mount Meru Hospital na jana akahamishiwa Selian Hospital aitwaye Amiri Ally amefariki leo mchana!
Too bad.
Too sad!
Anyway, kapumzike broda.
Haki ya kweli iko peponi, ambako muda huu umekaribia kufunguliwa geti!
 
Back
Top Bottom