Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

Yanayojiri Katika Uwanja wa Soweto Jijini Arusha

huu ni zaidi ya utoto sasa kwanini wasimtaje ili sheria ichukue mkondo wake,hii inaashiria kuwa uongozi wa Chadema unalinda muuaji kwa kutomtaja.Wanakimbilia kutaka kuaga maiti huku mtuhumiwa akiwa huru.Shame on u



quote_icon.png
By Mzee Mitomingi
mwenyekiti wa Chadema taifa ameshatamka hadharani anamjua mtuhumiwa tayari amerahisha uchunguzi,




Mito mingi nimekuuliza haya mbona hukunijibu ndugu?

1. Unauhakika atakachokisema serikali itakitekeleza na kuchukuwa hatua?

2. Tamko la cdm kuhusu video ya Lwakatale kuhusu uhusika wa Nchimbi, Riziwani kikwete, Mwigulu nk Je unatuambia nini au nini mtazamo wako kuhusu suala hili na mrejesho wa serikali?

Nitakuuliza zaidi ukinijibu hayo hapo juu kwa ufafanuzi.

Lakini pia Kamanda wa anga ameweka wazi cdm itawataja na ameema ni askari wa FFU. Kuwa na subra watu wazike na baada ya maombolezo ukweli utajulika.
 
View attachment 98028
View attachment 98030
Kama CCM kuwauwa watu kwenye mkutano wake mlidhani mtawatisha basi imekula kwenu kwani leo watu walikuwa wengi sana na hawakutangaziwa mkutano wowote hali iliyopelekea wanajeshi wa JWTZ kuja kuwalinda badala ya wapumbavu waliokubali kutumika...

Asante sana mkuu Crashwise, also mkuu Invisible naomba tuwekee hizi picha 2 kwenye first post maana zinaonekana vizuri kuliko hiyo ya sasa
 
Last edited by a moderator:
quote_icon.png
By Mzee Mitomingi
mwenyekiti wa Chadema taifa ameshatamka hadharani anamjua mtuhumiwa tayari amerahisha uchunguzi,




Mito mingi nimekuuliza haya mbona hukunijibu ndugu?

1. Unauhakika atakachokisema serikali itakitekeleza na kuchukuwa hatua?

2. Tamko la cdm kuhusu video ya Lwakatale kuhusu uhusika wa Nchimbi, Riziwani kikwete, Mwigulu nk Je unatuambia nini au nini mtazamo wako kuhusu suala hili na mrejesho wa serikali?

Nitakuuliza zaidi ukinijibu hayo hapo juu kwa ufafanuzi.

Lakini pia Kamanda wa anga ameweka wazi cdm itawataja na ameema ni askari wa FFU. Kuwa na subra watu wazike na baada ya maombolezo ukweli utajulika.
swali la 1.kumtaja mtuhumiwa ni hatua muhimu ya awali na utekelezaji ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama swali la 2. nitajibu machache kwa kuwa kesi ipo mahakamani lakini nimechoka kusikia kila kitu wanatajwa hao watu kama kwamba wengine si wahalifu au hawana uthubutu wa kutenda,Sasa video imetoka mtuhumiwa amekamatwa tena unataka kujua nini? subiri mahakama iamue
 
Natizama Bunge ....,Nashangaa Sana wengi wa wabunge wa CCM WANAOONGE HAWATOI HATA POLE KWA WAKAZI WA ARUSHA ...HII CHUKI YA NINI...UKIONDOA HENRY SHEKIFU ......Na mwingine mmoja WOTE WALIOONGEA HAWAJATOA HATA POLE ...


:A S 13:



Mkuu wala usihofu , maana imeandikwa , Siku ya Mwisho kila Goti litapigwa .
 
View attachment 98039
View attachment 98040
Baadhi ya watu wa Arusha waliojitokeza hii leo kwenye viwanja vya Soweto kulikotokea mlipuko wa bomu na risasi kwa mpango ulio ratibiwa na CCM na polisi, leo wana Arusha wamepaza sauti kuiambia CCM hawaitaki hata kama wata wauwa wote...
Kwa umati huu Nape anakwambia chadema wamejilipua kuzuia uchaguzi,hivi inaingia akilini kweli,NAPE HIVI WEWE UNAMWAMINI MUNGU KWELI,UNA HOFU YA MUNGU KWELI..kama si leo basi in future to come laana na uchungu wa familia za watu na viongozi wa dini zitawalipa nyie na vizazi vyenu.
 
quote_icon.png
By adolay


Mito mingi nimekuuliza haya mbona hukunijibu ndugu?

1. Unauhakika atakachokisema serikali itakitekeleza na kuchukuwa hatua?

2. Tamko la cdm kuhusu video ya Lwakatale kuhusu uhusika wa Nchimbi, Riziwani kikwete, Mwigulu nk Je unatuambia nini au nini mtazamo wako kuhusu suala hili na mrejesho wa serikali?

Nitakuuliza zaidi ukinijibu hayo hapo juu kwa ufafanuzi.

Lakini pia Kamanda wa anga ameweka wazi cdm itawataja na ameema ni askari wa FFU. Kuwa na subra watu wazike na baada ya maombolezo ukweli utajulika.


Mito mingi

Haya ndo majibu mito mingi kwa maswali hapo juu?

swali la 1.kumtaja mtuhumiwa ni hatua muhimu ya awali na utekelezaji ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama swali la 2. nitajibu machache kwa kuwa kesi ipo mahakamani lakini nimechoka kusikia kila kitu wanatajwa hao watu kama kwamba wengine si wahalifu au hawana uthubutu wa kutenda,Sasa video imetoka mtuhumiwa amekamatwa tena unataka kujua nini? subiri mahakama iamue

1.kumtaja mtuhumiwa ni hatua muhimu ya awali na utekelezaji ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama


-Pamoja na majina kutolewa, hatua ya kwanza baada ya washukiwa kutajwa huwa ni kuhojiwa, je umewahi kusikia Mwigulu, R. Kikwete au Nchimbi wameitwa kuhojiwa? kama hapana ni katiba gani Mwema na jeshi lake wanatekeleza?

-Kamuhanda katajwa na picha zinathibitisha nini kimefanyika?

Nisahihi kuendelea kulima juu ya jiwe sehemu ambayo hata mbegu haiwezi kumea? nini mtazamo wako.


swali la 2. nitajibu machache kwa kuwa kesi ipo mahakamani lakini nimechoka kusikia kila kitu wanatajwa hao watu kama kwamba wengine si wahalifu au hawana uthubutu wa kutenda,

Kwa hiyo ukiuwa mara kumi sehemu tofauti na kwa wakati tofauti unatarajia kutajwa mara ngapi fafanua?


Sasa video imetoka mtuhumiwa amekamatwa tena unataka kujua nini?

Moja ya mashahidi wa msingi ni Nchemba, R. kikwete na Nchimbi sasa ni zaidi ya siku 90 hawajaitwa kkuhojiwa kwanini?


subiri mahakama iamue

Mahakama imefuta hakuna ugaidi huna habari?

Kilichobaki ni kiini macho wanajaribu kumtunzia heshima Nchemba Mwigulu, R. kikwete na nchimbi.
 
Wana Jf,

Tupo hapa uwanja wa Soweto Kaloleni, uwanja ambao tukio la bomu lilitokea.

Muda huu viongozi wa chama wakiongozwa na kamanda wa anga Freemen Mbowe, Mbunge Godbless Lema wameingia uwanjani.
Uwanja umefurika sana watu ni wengi.

Usalama wa wananchi ulikuwa chini ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Polisi walifika lakini walizomewa na kufukuzwa na raia. Polisi wana ugomvi na raia na chadema

Wakati nchi ikiyumba, FastJet anauza sura.....

Si kamanda wa disco? huyo u kamanda wa anga autolee wapi?
 
Hii lipualipua A town ni noma,mwishowe watalii wote watasepa,wataishia sehemu nyingine.Shauri zenu mtakosa dola gademit!!!
 
Acha uzandiki wewe mwigulu anawatesa kisiasa ndiyo maana mnamwandama lakini kumbukeni mnavyomwandama ndiyo mnazidi kumpandisha chati kisiasa.
msipoichagua ccm mtakufa, by mwigulu nchemba! Kwa njia hii ccm imepoteza uhalali wa kuongoza taifa letu!
 
jaman kuweni wapole maana umeanza mchezo wa kutupiana lawama mara wewe ndie ulie sababisha namwingine anasema hivyo2 wala tusikubali riport ya polisi kwani nawao wameshaanza kutuhumia basi wapishe ufanyike uchunguzi huru,wasije wakaleta tena riport kama ya mauaji ya muuza magazeti kule morogoro.kuwa alipigwa na kitu kizito huku uhalisia inaonyesha ni kauwawa na risasi.
 
Wapi mzee wa maatamko msajili wa vyama vya siasa, John Tendwa. Au anasoma upepo kwanza kujua ka umewaangukia Chadema?
 
Back
Top Bottom