Yaliyomsibu kaka yangu

Yaliyomsibu kaka yangu

Oooh hapo sawa. Tunapaswa kuwa makini sio mitandaoni tu bali hata huku mitaani maana tuliopo humu ndio hao hao tuliopo mitaani.
Taabu inakuja sasa eti watumia dawa hata akipimwa inaonyesha negative
Hapo ndio shughuli jamani, tutapona kweli.
Rate ya Ukimwi hapa kwetu ndogo...mie nawashauri tuendelee kula raha tusiumize vichwa.


Tujisahaulishe kabisa kama Ukimwi upo...mfano wewe utanipenda kweli lile pendo la kwanza kama ukiniona tu unaona Ukimwi??
 
Labda tuhamie kwenye matango tuishi miaka mingi hahaha
Au tujitoe mhanga
Chagua moja
Oooh hapo sawa. Tunapaswa kuwa makini sio mitandaoni tu bali hata huku mitaani maana tuliopo humu ndio hao hao tuliopo mitaani.
Taabu inakuja sasa eti watumia dawa hata akipimwa inaonyesha negative
Hapo ndio shughuli jamani, tutapona kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi zote chai ingekuwa one time thing hapo kweli ila kwa miezi sita (kilaza mwingine huyo miaka5) na hamjawahi pima na mnamalengo ya kuoana kabisa dah labda ingekuwa tumekuwa wote ila cyo wa kuokotana huku mitaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rate ya Ukimwi hapa kwetu ndogo...mie nawashauri tuendelee kula raha tusiumize vichwa.


Tujisahaulishe kabisa kama Ukimwi upo...mfano wewe utanipenda kweli lile pendo la kwanza kama ukiniona tu unaona Ukimwi??
Yaani wewe nikikuangalia tu nauona UKIMWI kabisaaaaa.
 
Its not a miracle case, waathirika waliokwenye matumiz mazuri ya arvs (nasisitiza matumiz mazuri) huwa hawaambukizi maana akiweza kumaintain concentration ya dawa mwilin kwa kuzingatia kumeza dawa kwa wakat idadi ya virus kwny damu yake inashuka to almost zero (less than detectable level) kwa hali hii hawez ambukiza kirahis...
Ndio maana siku hz kuna couples kadhaa mmoja ni muathirika na mwingne sio muathirika lkn na wanapata mtoto asiye na maambukiz (hii inamaanisha wanasex bila condoms lkn hawaambukizan)
Na maisha yanaendelea kama kawa...
Nadhan broo angepata mshauri mzuri asingeachana na huyo bibie bali wangepewa ushauri namna ya kuish bila kuambukizana...
Ukimwi unasambazwa na waathirika wasiojijua kama wameathirika hvyo hawatumii dawa kabisa na ambao hawazingatii dawa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jaribu kuvaa Viatu vya huyo jamaa je wew ungeweza unajua kabisa bibie kaungua ni zaidi ya kuvaa bomu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom