Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,353
- Thread starter
- #81
Hakuna formular angeweza kuachwa pia kwa kusema kabla. Kama hujaelimika kuhusu HIV isikie tu kwa watu.Bi dada ndio kaanza kujinyanyapaa mwenyewe, alitakiwa amweleze kuhusu hali yake na ni namna gani atamkinga. Hiyo ya kumeza dawa kisirisiri tunaweza kusema hakuwa na nia njema na kaka wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app

