Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,195
Duuh... hatari saana.Daby kunatisha sana humu
Unapewa mapenzi kama yote huku unauliwa..ni mtu wa tatu huyu ananlalamikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila tusiwanyanyapae.
Duuh... hatari saana.Daby kunatisha sana humu
Unapewa mapenzi kama yote huku unauliwa..ni mtu wa tatu huyu ananlalamikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa mpole tupewe mawaidha....au unao nini?Kwahiyo wewe wa mitandaoni tu ndio unawaogopa ila ulokutana nae kanisani unamwamini?





Huo ndio unyanyapaa sasa.Hii takiwi kabisa walau uwe career basi.
Msiwe mnaharakisha kufanya mapenzi na watu mlokutana nao mitandaoni..iwe jf,fb or enewea!
Kazania kwenda kupiga ,weka uwoga pembeni kwani huwezi jua unaweza kuwa ni mzima halafu mwenzio anano akakumaliza..kisa muoga wako
Niliyasema mimi nkatukanwa mimi
Aggy nawaambia kuweni makini vijana wenzangu,kuna wapuuzi hawajali u salama wa wenzao when it comes to mapenzi..nkageuka mtoto..
Na ntaendelea kuwa kimya na msimamo wangu...awamalize wote..panya wajuaji nyie!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili swali si nishakujibu hapo juu lakini?Kuwa mpole tupewe mawaidha....au unao nini?







Sasa kweli uwe kwenye mahusiano..unachoweza kutoa ni virusi tu?Huo ndio unyanyapaa sasa.
Niko msafi mimi...sihitaji kupimaHili swali si nishakujibu hapo juu lakini?
Haya pata mawaidha alafu ukapime![]()
...uje nujipimie kwako.We unafikiri ni jambo dogo hilo?Sasa kweli uwe kwenye mahusiano..unachoweza kutoa ni virusi tu?
Ahahahahh director wa hii chai, anatakiwa arudi tu shule.....maana kazi imemshinda!!!
Sent using Jamii Forums mobile app






Kaka yangu hajaoa ingawa alikuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu yaliyompatia watoto wawili wakike. Yeye na girls mother waliachana dada yule alipata mtu na kufunga nae ndoa ya kanisani. Imefika wakati kaka alianza kutafuta.
Humu JF kaka alimpata mdada mmoja. Very independent woman, Ana career, nyumba na maisha yake kwa kweli. Hajawahi kuolewa na kwake mabinti wa kaka haikua shida.
Wameanza dating, kwa miezi sita, kumbe dada ni muathirika na yuko kwenye dawa pendwa. Wakiwa pamoja alimlia timing kaka akiwa msalani mdada anabugia vidonge.
Kaka alishtukia hilo, sikumoja wakiwa Bagamoyo weekend, kaka alijifanya anakwenda msalani, alijiegesha kwenye mlango wa choo, ile dada anafungua handbag na kuchukua dawa jamaa amejaa.
Mahusiano yaliishia hapo. Kaka alijicheck yuko poa. Alimshukuru Mungu maisha yakaendelea.
Nawe nae angalia mada inaongelea nini..muoneHuyo pichani ndio wewe?
Ukufe mwenyewe.Niko msafi mimi...sihitaji kupima...uje nujipimie kwako.
Kwahiyo wewe wa mitandaoni tu ndio unawaogopa ila ulokutana nae kanisani unamwamini?
Oooh hapo sawa. Tunapaswa kuwa makini sio mitandaoni tu bali hata huku mitaani maana tuliopo humu ndio hao hao tuliopo mitaani.


