Yaliyomsibu kaka yangu

Its not a miracle case, waathirika waliokwenye matumiz mazuri ya arvs (nasisitiza matumiz mazuri) huwa hawaambukizi maana akiweza kumaintain concentration ya dawa mwilin kwa kuzingatia kumeza dawa kwa wakat idadi ya virus kwny damu yake inashuka to almost zero (less than detectable level) kwa hali hii hawez ambukiza kirahis...
Ndio maana siku hz kuna couples kadhaa mmoja ni muathirika na mwingne sio muathirika lkn na wanapata mtoto asiye na maambukiz (hii inamaanisha wanasex bila condoms lkn hawaambukizan)
Na maisha yanaendelea kama kawa...
Nadhan broo angepata mshauri mzuri asingeachana na huyo bibie bali wangepewa ushauri namna ya kuish bila kuambukizana...
Ukimwi unasambazwa na waathirika wasiojijua kama wameathirika hvyo hawatumii dawa kabisa na ambao hawazingatii dawa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo kaako saa hivi ni single mwenzetu
Kaka yangu hajaoa ingawa alikuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu yaliyompatia watoto wawili wakike. Yeye na girls mother waliachana dada yule alipata mtu na kufunga nae ndoa ya kanisani. Imefika wakati kaka alianza kutafuta.

Humu JF kaka alimpata mdada mmoja. Very independent woman, Ana career, nyumba na maisha yake kwa kweli. Hajawahi kuolewa na kwake mabinti wa kaka haikua shida.

Wameanza dating, kwa miezi sita, kumbe dada ni muathirika na yuko kwenye dawa pendwa. Wakiwa pamoja alimlia timing kaka akiwa msalani mdada anabugia vidonge.

Kaka alishtukia hilo, sikumoja wakiwa Bagamoyo weekend, kaka alijifanya anakwenda msalani, alijiegesha kwenye mlango wa choo, ile dada anafungua handbag na kuchukua dawa jamaa amejaa.

Mahusiano yaliishia hapo. Kaka alijicheck yuko poa. Alimshukuru Mungu maisha yakaendelea.
 
Its not a miracle case, waathirika waliokwenye matumiz mazuri ya arvs (nasisitiza matumiz mazuri) huwa hawaambukizi maana akiweza kumaintain concentration ya dawa mwilin kwa kuzingatia kumeza dawa kwa wakat idadi ya virus kwny damu yake inashuka to almost zero (less than detectable level) kwa hali hii hawez ambukiza kirahis...
Ndio maana siku hz kuna couples kadhaa mmoja ni muathirika na mwingne sio muathirika lkn na wanapata mtoto asiye na maambukiz (hii inamaanisha wanasex bila condoms lkn hawaambukizan)
Na maisha yanaendelea kama kawa...
Nadhan broo angepata mshauri mzuri asingeachana na huyo bibie bali wangepewa ushauri namna ya kuish bila kuambukizana...
Ukimwi unasambazwa na waathirika wasiojijua kama wameathirika hvyo hawatumii dawa kabisa na ambao hawazingatii dawa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hebu subiri kwanza, kwahiyo hata akipimwa ataonekana negative?
 
Ni zaidi ya miezi sita tangu yatokee, kaka amepima yuko salama lakini wanawake wa mitandaoni amenawa mikono. Sasa hivi anasema kheri awatokee work mates.
Kwani mimi nimekwambia nina shida nae mtandaoni? Nitamtafuta hukohuko kazini ndio atajua hata yeye ni wa mtandaoni
 
Kaka yangu hajaoa ingawa alikuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu yaliyompatia watoto wawili wakike. Yeye na girls mother waliachana dada yule alipata mtu na kufunga nae ndoa ya kanisani. Imefika wakati kaka alianza kutafuta.

Humu JF kaka alimpata mdada mmoja. Very independent woman, Ana career, nyumba na maisha yake kwa kweli. Hajawahi kuolewa na kwake mabinti wa kaka haikua shida.

Wameanza dating, kwa miezi sita, kumbe dada ni muathirika na yuko kwenye dawa pendwa. Wakiwa pamoja alimlia timing kaka akiwa msalani mdada anabugia vidonge.

Kaka alishtukia hilo, sikumoja wakiwa Bagamoyo weekend, kaka alijifanya anakwenda msalani, alijiegesha kwenye mlango wa choo, ile dada anafungua handbag na kuchukua dawa jamaa amejaa.

Mahusiano yaliishia hapo. Kaka alijicheck yuko poa. Alimshukuru Mungu maisha yakaendelea.
Duh Mungu Mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom