Yaliyomsibu kaka yangu

Yaliyomsibu kaka yangu

Huwa najiuliza kama siku ile nilipo kuwa nasubiria majibu yangu ya damu mapigo yangu ya moyo yalikuwa vile je ningeambiwa ninao nahisi hata mwenzi mmoja nisingefika ningekufa kwa mawazo kabla ugonjwa hujaanza kunishambulia.
Mie ya kwanza niliyakimbia
Ya pili ndio nikajikaza. Wee alafu ndio nijue mtu anao alafu niendelee kubaki
 
1 -Wagonjwa wa ngoma wana dalili nyingi sana mwambie kaka yako awekeze kwenye kujifunza dalili inasaidia sana.
2-Siku ya kwanza hata kama anapiga yango na ya ngo azingatie maandalizi kupunguza risk
3-Kama anaona anataka kukaa kwa demu permanently mwambie ampige kitu ili ampime.
4-Pia apunguze denda (oral sex) kuepuka kansa isiyopona
Dalili zipi hizo, hebu mtupe darasa.
 
Khaaa.

B...bila shaka ni ngoma ya mdundiko.

Khaa, sijawhi cheza hizo kule kwetu...labda zimekuja siku hizi.
Usipindishe habari...inakuaje sasa?
Tutaicheza wote au?
 
unyanyapaaa huo sasa kwanini hasingeongea nae waishi kwa upendo na AMANI....wapate watoto kwani dada kuathirika ndio tatzo
 
Kwani huyu walishindwa nini kupima? Hadi wafahamiane na wabanduane walishindwa nini kupimana?
Kama sio mpimaji basi ajiandae tu hata hao wa kazini watamkamata tu.

Hapa tatizo sio wa mtandaoni bali ni huyo kaka yako, seems hana mazoea ya kupima kabla ya kuingia kwenye mahusiano mapya. Hivyo hilo liwe funzo. Lakini pia akumbuke anayetumia dawa vipimo vitaonyesha -ve
He cane to face the reality jamani
 
Khaa, sijawhi cheza hizo kule kwetu...labda zimekuja siku hizi.
Usipindishe habari...inakuaje sasa?
Tutaicheza wote au?
Nitakusaidia kupiga ngoma kisha wewe ujitahidi kuicheza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom