Yaliyomsibu kaka yangu

Yaliyomsibu kaka yangu

Uoga juu ya ngoma ndiyo unafanya watu wauogope.


Tuuchukulie kama saratani.
Ukiwa nao unampigia mpenzi wako simu "baby nina Ukimwi".

Au unapotongozwa ukishakubali mwambie lakini nina Ukimwi.
Kama jamaa alivyosema hapo juu. Kama huna HIV inatisha mkuu
 
Hafwiiii mtu aunt yng aligundulika 1989 aliolewa 1992 na mumewe ni -Ve case na wamezaa watoto wawili 1997 na 2000 watoto wote ni -ve na aunt yuko vzr anafanya kaz za kuelimisha kwa waathirika na jamii kupitia NGO flan hv iko nchi za SADC

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue sielewagi hii kitu aisee inatokea vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe ni

-independent
-career
-utakubali two girls

Woman?
Kwani lazima niwe na vigezo kama vua huyo wa kwanza?
Huoni huyo wa kwanza kamuangusha, bora mie dependant.
 
Hapa uaminifu kwenye mahusiano yetu ndio jambo la msingi, jamani tuwe waaminifu tu. Tatizo hatuwezi kuishi bila mbunye, its too sweet to abstain from.

Ex darling kwahiyo abstaining umeikataa kabisaaa?
 
Its not a miracle case, waathirika waliokwenye matumiz mazuri ya arvs (nasisitiza matumiz mazuri) huwa hawaambukizi maana akiweza kumaintain concentration ya dawa mwilin kwa kuzingatia kumeza dawa kwa wakat idadi ya virus kwny damu yake inashuka to almost zero (less than detectable level) kwa hali hii hawez ambukiza kirahis...
Ndio maana siku hz kuna couples kadhaa mmoja ni muathirika na mwingne sio muathirika lkn na wanapata mtoto asiye na maambukiz (hii inamaanisha wanasex bila condoms lkn hawaambukizan)
Na maisha yanaendelea kama kawa...
Nadhan broo angepata mshauri mzuri asingeachana na huyo bibie bali wangepewa ushauri namna ya kuish bila kuambukizana...
Ukimwi unasambazwa na waathirika wasiojijua kama wameathirika hvyo hawatumii dawa kabisa na ambao hawazingatii dawa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue sielewagi hii kitu aisee inatokea vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kupitia hyo reply hapo juu unaweza kupata mwanga japo kifuchu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani lazima niwe na vigezo kama vua huyo wa kwanza?
Huoni huyo wa kwanza kamuangusha, bora mie dependant.
Sasa unakuwa na Ukimwi na bado dependant??? Afadhali kifaduro kinavumilika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom