Yaliyojiri uwanja wa NMC - Arusha

Yaliyojiri uwanja wa NMC - Arusha

Wewe ndiye uliyekurupuka! umeona original post ilivyokuwa imekaa? Sukuruni mods kwa kuiedit!

Rejao chamecha meku!! Ulipotea sana mkuu naona kule migombani hamna network
 
Katibu anaendelea kumchoma mbaya sana meya feki Lyimo na kumhakiki ya kwamba kama amechagulia kihalali hebu ajitokeze kwenye mkutano huu kama Meya. Na watu wote wakapinga ya kwamba hakubalikiiiiiiiiiiii!
 
Ndugu wa karibu wa marehemu eg Mke, Mama au ndugu tegemezi wamesaidiwa ?.
Ngongo,
Hawa marehemu walikufa kwenye maandamano yaliyokuwa halali lakini yakavurugwa na IGP Mwema. CDM wanalo jukumu la kuwasaidia wategemezi wa marehemu kwa kutumia wanasheria wao kuifungulia serikali mashitaka ili ndugu hao wapate fidia stahiki. CDM hawawezi kukwepa hili, otherwise CDM is not liable.
 
Yes, huwezi danganya watu wakati wote.... dalili sasa zaonyesha maskini CDM!!!
 
Sasa namwona katibu wa mkoa anamkaribisha Mbunge wa Arusha mjini Kamanda G. Lema! Hizi shangwe za kumpokea Lema hakika zinatosha na ameruhusu DJ aweke CD ya Sarafina ama ya Bob Marley!
 
Hivi mie nikiamua kufanya kumbukumbu ya mbwa wangu aliyemezwa na chatu wakati tukiwinda we unawashwa na nini huko chini?? Muda wangu hata nikupoteza we unakuhusu nini? we tumia muda wako kukuna huko chini unakowashwa niachie mie muda wangu niupoteze kwa kuwakumbuka mashujaa wangu waliouliwa na anayekupa makombo!! dwag we!

tena ajikune na umma shenz type.
 
Chadema dume la Mbegu

Hayo maneno siyapendi na si mazuri kuyatumia. Ndiyo yaliyomfanya Komba na TOT yake wakimbie Mara kwenye kampeni. Baada ya kusema CCm ni dume la mbegu, wananchi wakatafakari na kuona wametukanwa mbele ya wake zao na mama zao kuwa wao hawana kitu cha kutoa(yaani wantoa maji tu) wakamwambia aondoke; nilivyoelezwa ni kuwa alipewa warning akipanda tena jukwaani basi atasahau uzima wa vyombo vyake kuanzia hapo.

Halahala, isije ikaturudi. Watu ni walewale wanaweza kutafsiri utusi wa maneno hayo vilevile.
 
IMG_2769.jpg

Wakazi wa Mjini Arusha waliojitokeza kukumbuka mauwaji ya kinyama yaliyofanywa na jeshi la polisi Tarehe 5.1.2011
 
MB Lema anamwaga sera mbaya balaa! Jamaa ana sera kweli kweli!
 
Kumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili

Wewe ni "mfurahia mateso na mauaji"(sadist).
 
crushwise kama hajafika hapo basi atakuwa anaumwa au yupo nje ya nchi. hata asipofika atatutumia picha za kuwaumbua magamba.hilo halina shaka Mia
 
chapeni kazi achana na hao wachaga wako kazini pia pesa zinaingia, mnapoteza mda tu humu wenzenu ni biashara hio,kainchi ketu masikini watu mmekalia umbea tu na majungu kazi hamtaki!

Kazi kwako ni wizi wa rasilimali za nchi na kutaka kutuzuga kwa kuendeleza ukabila. Ushindwe!
 
Na hapo sijaona kiongozi yoyote wa kitaifa lakini watu wamejjitokeza kwa wingi kama unavyoona..hakika watu wana taka mabadiliko na tegemeo lao ni Chadema

mbona wamasema viongozi wa kitaifa wapo?
 
Back
Top Bottom