Mbona jk anaweka kumbukumbu ya cku ya mashujaa hutamki haya maneno na sisi ni cku ya mashujaa wetu over.ni ukweli mtupu hakuna la maana hapo ni kuwapotezea watu mda!
Mbona jk anaweka kumbukumbu ya cku ya mashujaa hutamki haya maneno na sisi ni cku ya mashujaa wetu over.ni ukweli mtupu hakuna la maana hapo ni kuwapotezea watu mda!
Wewe ndiye uliyekurupuka! umeona original post ilivyokuwa imekaa? Sukuruni mods kwa kuiedit!
Ngongo,Ndugu wa karibu wa marehemu eg Mke, Mama au ndugu tegemezi wamesaidiwa ?.
Hivi mie nikiamua kufanya kumbukumbu ya mbwa wangu aliyemezwa na chatu wakati tukiwinda we unawashwa na nini huko chini?? Muda wangu hata nikupoteza we unakuhusu nini? we tumia muda wako kukuna huko chini unakowashwa niachie mie muda wangu niupoteze kwa kuwakumbuka mashujaa wangu waliouliwa na anayekupa makombo!! dwag we!
Chadema dume la Mbegu
View attachment 44734
Wakazi wa Mjini Arusha waliojitokeza kukumbuka mauwaji ya kinyama yaliyofanywa na jeshi la polisi Tarehe 5.1.2011
MB Lema anamwaga sera mbaya balaa! Jamaa ana sera kweli kweli!
Kumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili
View attachment 44734
Wakazi wa Mjini Arusha waliojitokeza kukumbuka mauwaji ya kinyama yaliyofanywa na jeshi la polisi Tarehe 5.1.2011
Na hapo sijaona kiongozi yoyote wa kitaifa lakini watu wamejjitokeza kwa wingi kama unavyoona..hakika watu wana taka mabadiliko na tegemeo lao ni Chademakwa umati huu hakika ni noumaaaaaaaaaa
chapeni kazi achana na hao wachaga wako kazini pia pesa zinaingia, mnapoteza mda tu humu wenzenu ni biashara hio,kainchi ketu masikini watu mmekalia umbea tu na majungu kazi hamtaki!
Na hapo sijaona kiongozi yoyote wa kitaifa lakini watu wamejjitokeza kwa wingi kama unavyoona..hakika watu wana taka mabadiliko na tegemeo lao ni Chadema