Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,888
- 32,291
Hujafikiri sawa sawa, au ndiyo tabia yakokufanya hivyo!
Eti majina ya waliofariki hakuna anaeyajua??
Mkuu, ebu nitajie hao marehemu majina yao pamoja na yule polisi
Hujafikiri sawa sawa, au ndiyo tabia yakokufanya hivyo!
Eti majina ya waliofariki hakuna anaeyajua??
We mbona hujawi kuandamana? Kwa taarifa yako mi kama mkuu wa familia sitegemei maandamano wala siasa za kinafiki, hata mmeo akishika hii nchi kwangu maisha yataendelea kama kawaida kwani nitatii mamlaka yake na kuishi kwa kufata sheria.Unafiki tu hakuna cha kuwaenzi wala nini hapo, wamekosa jukwaa la pigia domo wanajitia kuenzi wafu. kwani waliokufa kwa ajili ya maandamano wako Arusha tu??????????? Basi mungu awajalie kuendelea kuwaenzi kila mwaka kama mtaweza(((((WEWE KWA MAWAZO YAKO AYA, ATA WANAO WALE VICHANGA WATAHOJI CREDIBILITY PIA AKILI YAKO PIA KAMA HUNA UJI KTK UBONGO WAKO HASA KM MKUU WA FAMILIA, MAANA KILA UNACHOANDIKA HUMU NI FULL OF PUMBA PIA MASHUDU, DUH UACHE KUTUCHEFUA DAILY UMU JANVINI))))
nothing like will happen on me lengo langu lilikuwa kujua yaliyo jili huko
walikuwa wangapi waliorejesha kadi
Kumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili
Wewe ni mjinga kabisa kakojoe ulale huna unaloweza kusaidia kwenye jamii, pumba mtupu!!!! unafikiri wote ni wajinga kama wewe? you better shutup!! foolishukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!
Fikra dhaifu hutoka ktk vyichwa vyenye ubongo dhaifuKumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili