Yaliyojiri uwanja wa NMC - Arusha

Yaliyojiri uwanja wa NMC - Arusha

Mkuu Rejao, umerudi kwa kasi naona!! Mwaka mpya huu una mambo.
Kuna watu wanapenda kuandika wasichokijua!!
ehe..hebu nipe habari za hapo NMC, bla bla za viongozi wenu zimeshaanza?
 
Tuko pamoja kamanda wangu niko uwanjani sasa na anayehutubia ni mwenyekiti wa wilaya ya CDM. Na viongozi wengine ndiyo wanaingia sasa uwanjani hapatoshi kwani shangwe nderemo na vifijo.
 
Tuko pamoja kamanda wangu niko uwanjani sasa na anayehutubia ni mwenyekiti wa wilaya ya CDM. Na viongozi wengine ndiyo wanaingia sasa uwanjani hapatoshi kwani shangwe nderemo na vifijo.
Derimto,
Afadhali umefika uwanjani.Jaribu kukaa pembeni kidogo ili utupe kila tukio.Vipi ni viongozi gani wa kitaifa wapo?
 
Ndugu wa karibu wa marehemu eg Mke, Mama au ndugu tegemezi wamesaidiwa ?.
 
Hiki chama hakiendi mbali sana aisee! Kila siku Arusha? chaga development.
 
Jamani, tunaomba basi mtoe updates.
Wananchi wa Jiji la arusha hawajajitokeza kama kawaida yao katika mkutano huu wa chadema, Watu ni wachache sana sijuii hali hii inamaanisha nini kwa Chadema
 
Jamani, tunaomba basi mtoe updates.

Leo jamani imekuwaje hakuna hata picha hata moja ni vipi?
Tunaomba mfanye uploading ya video na pictures ili tuweze kushuhudia kile kinachojiri huko viwanja vya NMC.
 
Jamani, tunaomba basi mtoe updates.

Pamoja na Dermito kuwepo hapo uwanjani,shaka ondosha kwani hata nami nina hatua kidogo sana kuzama ktk maelfu ya wanaCDM waliofurika hapa NMC! Yote yajirio nitasaidiana na Dermito kuwahabarisha.
 
Pamoja na Dermito kuwepo hapo uwanjani,shaka ondosha kwani hata nami nina hatua kidogo sana kuzama ktk maelfu ya wanaCDM waliofurika hapa NMC! Yote yajirio nitasaidiana na Dermito kuwahabarisha.

asante sana liverpoolFC
 
[COLOR=#FF0000 said:
[/COLOR]ndiomzee;3086879]Jamani, tunaomba basi mtoe updates.

chapeni kazi achana na hao wachaga wako kazini pia pesa zinaingia, mnapoteza mda tu humu wenzenu ni biashara hio,kainchi ketu masikini watu mmekalia umbea tu na majungu kazi hamtaki!
 
Wananchi wa Jiji la arusha hawajajitokeza kama kawaida yao katika mkutano huu wa chadema, Watu ni wachache sana sijuii hali hii inamaanisha nini kwa Chadema

wamewashtua maana kila siku ni arusha tu mikoa mingine hawaioni? wachaga bwana!!!!!!!!!!!!
 
Unafiki tu hakuna cha kuwaenzi wala nini hapo, wamekosa jukwaa la pigia domo wanajitia kuenzi wafu. kwani waliokufa kwa ajili ya maan
damano wako Arusha tu??????????? Basi mungu awajalie kuendelea kuwaenzi kila mwaka kama mtaweza

UKICHUKIA JIPAKE KINYESI CHAKO
 
Viva chadema,tuwakumbuke kwa vitendo na tuuenzi ushujaa wao katika kupigania haki ya mtanzania.
 
Kwa muda huu Katibu wa chama mkoa ndiyo anamwaga cheche yake hapa kama kawa na akiongea kwa kumpinga meya aliyeko madarakani Mr Lyimo ya kwamba hakubaliki.
 
Back
Top Bottom