Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
kweli ni amini ukimpenda mke utamsifia hata akikohoaMB Lema anamwaga sera mbaya balaa! Jamaa ana sera kweli kweli!
sasa mbona husemi sera zake unazozisifia
kweli ni amini ukimpenda mke utamsifia hata akikohoaMB Lema anamwaga sera mbaya balaa! Jamaa ana sera kweli kweli!
kweli ni amini ukimpenda mke utamsifia hata akikohoa
sasa mbona husemi sera zake unazozisifia
Wala usipoteze muda kijibishana na wajinga kama hao...Vilaza mko wengi!
hapana huwezi kusifu bila sababu iliyowazi ulipaswa kuandika japo kwa ufupi pointi iliyo kukolea kuliko ''eti jamaa ana sera yule eeeh ! '' watu wenye akili wanahoji zipi hizo ??Vilaza mko wengi!
Labda kama wamekuja baada ya mimi kuondoka uwanjani hapo maana nimebanwa na kazi hivyo nilienda kuchukua picha kwaajiri ya JF...mbona wamasema viongozi wa kitaifa wapo?
haah !! na wewe ni wale waleWala usipoteze muda kijibishana na wajinga kama hao...
wapi? kamandahaah !! na wewe ni wale wale
Well said mkuuinategemeana na falsafa inayokuongoza. Kwa habari ya dini, ukristo wa kweli na ufalme wa Mungu, haina maana ya kuwakumbuka wafu na haiwapunguzii/haiwaongezei lolote kwa Mungu'
Falsafa ya KISIASA, suala la kuwakumbuka wapambanaji lina umhimu mkubwa sana. Unawakumbuka wapambanaji lakini hapohapo unahamasisha wengine kutokuwa woga wa kudai kile wanachokiamini. Ni kupitia matukio kama hayo, CDM iataongeza wapenzi na wadau kwa kinajali na kukumbuka michango ya wapigania haki.
VIVI CDM
Umati huu hauridhishi hata kidogo CDM Arusha mmepoteza umaarufu hata Jembe Magufuli Juzi alijaza nyomi ya kufa mtu pale feri wakati wa kuhutubia. kwa ufupi Lema na CDM Arusha bye bye hakuna chenu tena; kwa taarifa na watu waliohudhuria leo mmewakodia magari kutoka Moshi kwani wana Arusha hawawataki tenaView attachment 44734Wakazi wa Mjini Arusha waliojitokeza kukumbuka mauwaji ya kinyama yaliyofanywa na jeshi la polisi Tarehe 5.1.2011
kama huna la kuongea ni bora ukasoma waliyo andika wenzako ni busara kubwa sana hiyoumati huu hauridhishi hata kidogo cdm arusha mmepoteza umaarufu hata jembe magufuli juzi alijaza nyomi ya kufa mtu pale feri wakati wa kuhutubia. Kwa ufupi lema na cdm arusha bye bye hakuna chenu tena; kwa taarifa na watu waliohudhuria leo mmewakodia magari kutoka moshi kwani wana arusha hawawataki tenaView attachment 44734
Fanya kitu kimoja mwambie kikwete aje Arusha afanye mkutano pale NMC tuone atawapata watu kiasi hiki....Umati huu hauridhishi hata kidogo CDM Arusha mmepoteza umaarufu hata Jembe Magufuli Juzi alijaza nyomi ya kufa mtu pale feri wakati wa kuhutubia. kwa ufupi Lema na CDM Arusha bye bye hakuna chenu tena; kwa taarifa na watu waliohudhuria leo mmewakodia magari kutoka Moshi kwani wana Arusha hawawataki tenaView attachment 44734
haah !! na wewe ni wale wale
Nilikuwa kwenye mapumziko, Sikutaka kujiingiza kwenye issue yoyote zaidi ya kupumzika na familia yangu. Hukwenda?? Hopeful sijapitwa na chochote!Rejao chamecha meku!! Ulipotea sana mkuu naona kule migombani hamna network
hapa umeeleweka kuliko mwanzoni tulipopishana mkuukila kitu kimeenda shwafi kbs.
Hata inzi hajapoteza maisha!
Ama kweli hawa polisisisiem ni janga kwa taifa letu.
Naweza kusema kwa jinsi nilivyoona leo pale tu kamanda wa vijana cdm alivyogusia rambirambi ya yule askari aliyeuawa kwa kupigwa risasi na yule jambazi sugu na ndipo wanacdm wakapinga kwa katukatu kwmb hawatatoa rambirambi kwa ajili ya huyo askari.
Ndipo nikajua ya kwmb" mnyonge myongeni haki yake mpeni"
na ni mpaka mwezi wa tatu tukutane tena ktk sakata la uchaguzi wa madiwani usiona na upinzani!
Haleluyaaa!!
Karibu viongozi wakuu wote wa kitaifa wa CHADEMA wameshawasili Arusha, leo watawaongoza maelfu wa wakazi wa Jiji la Arusha katika kumbukumbu ya mwaka mmoja ya watu waliouawa kikatili na askari polisi, Januari 5, mwaka jana.Maandalizi yameanza hapa uwanjani jeshi la Polisi limetoa baraka zote za mkutano, tutataarifiana kitakachokuwa kinaendelea.
hapa umeeleweka kuliko mwanzoni tulipopishana mkuu
sasa hatima yake ikwaje
Umati huu hauridhishi hata kidogo CDM Arusha mmepoteza umaarufu hata Jembe Magufuli Juzi alijaza nyomi ya kufa mtu pale feri wakati wa kuhutubia. kwa ufupi Lema na CDM Arusha bye bye hakuna chenu tena; kwa taarifa na watu waliohudhuria leo mmewakodia magari kutoka Moshi kwani wana Arusha hawawataki tenaView attachment 44734