EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Karibu viongozi wakuu wote wa kitaifa wa CHADEMA wameshawasili Arusha, leo watawaongoza maelfu wa wakazi wa Jiji la Arusha katika kumbukumbu ya mwaka mmoja ya watu waliouawa kikatili na askari polisi, Januari 5, mwaka jana.Maandalizi yameanza hapa uwanjani jeshi la Polisi limetoa baraka zote za mkutano, tutataarifiana kitakachokuwa kinaendelea.