Yaliyojiri uwanja wa NMC - Arusha

Yaliyojiri uwanja wa NMC - Arusha

Hatima yake ni ilifungwa kwa sala sote ya dini na tukatakiana kila la Kheri na raia wakatawanyika kwa Amani ya Bwana ikiwatawala

Ishaaalhaaalh!!!!!!!

ni viongozi gani wa kitaifa walikuwepo?
 
ukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!

Unao uhuru wa kutoa maoni lakini haya yanatuchefua! Nakushauri (kaa kimya tutakuheshimu)
 
hawa jamaa + ndugu wa mafisad wa ccm hawatak wasikie harakat kama hizo!ila inshort mmechelewa sana!
aksante sana ndugu bea, maneno yako ni mazuri na ni ya kizalendo tutafika tu, ubarikiwe sana
 
hatima yake ni ilifungwa kwa sala sote ya dini na tukatakiana kila la kheri na raia wakatawanyika kwa amani ya bwana ikiwatawala

ishaaalhaaalh!!!!!!!
hongreni sana mkutano mkubwa wa amani tunaomba list ya viongozi waliokuwepo huko
 
Ndugu wa karibu wa marehemu eg Mke, Mama au ndugu tegemezi wamesaidiwa ?.

Cha kusikitisha hata majina ya wale waolifariki hakuna anaeyajua..

Nasikia toka wapewe rambirambi ya laki mbili hakuna cha ziada.

Na yule polisi alipigwa mpaka kufa na wana Chadema nae mnamkumbuka?
 
Nilikuwa kwenye mapumziko, Sikutaka kujiingiza kwenye issue yoyote zaidi ya kupumzika na familia yangu. Hukwenda?? Hopeful sijapitwa na chochote!

Best! Huu mwaka ni mwingine! Naomba uje humu na mabadiliko angalau.

Ubwenyenye wa utumwa ni athari kwa Taifa letu Rejao!
 
Unafiki tu hakuna cha kuwaenzi wala nini hapo, wamekosa jukwaa la pigia domo wanajitia kuenzi wafu. kwani waliokufa kwa ajili ya maandamano wako Arusha tu??????????? Basi mungu awajalie kuendelea kuwaenzi kila mwaka kama mtaweza(((((WEWE KWA MAWAZO YAKO AYA, ATA WANAO WALE VICHANGA WATAHOJI CREDIBILITY PIA AKILI YAKO PIA KAMA HUNA UJI KTK UBONGO WAKO HASA KM MKUU WA FAMILIA, MAANA KILA UNACHOANDIKA HUMU NI FULL OF PUMBA PIA MASHUDU, DUH UACHE KUTUCHEFUA DAILY UMU JANVINI))))
 
Cha kusikitisha hata majina ya wale waolifariki hakuna anaeyajua..

Nasikia toka wapewe rambirambi ya laki mbili hakuna cha ziada

Hujafikiri sawa sawa, au ndiyo tabia yakokufanya hivyo!
Eti majina ya waliofariki hakuna anaeyajua??
 
ukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!

Mkuu kwaiyo hizi sikukuu za kukumbuka viongozi waliokufa nazo tusemeje au kwavile wanaokumbukwa hapa ni watu wa kawaida?
 
hongreni sana mkutano mkubwa wa amani tunaomba list ya viongozi waliokuwepo huko

HILI LA LEO ILIKUWA NI KUMBUKUMBU YA WALE MAREHEMU WALIOUAWA NA HW polisisisiem...........bila hatia na CDM pamoja na wenyeji wa Mkoa hasa wa hapa Jijini wakapendelea wawe wanakumbukwa tar kama hii kila mwaka ktk katiba ya Chama.

Wageni hawakuwa wengi kutokana na shughuli ya chama.
Ila hawa waliokuwepo wametosheleza kbs!
(1) Katibu wa chama Mkoa
(2)Madiwani wote walio hai ndani ya chama ndani ya wilaya na hata wale wa wilaya ya karibu walikuwepo
(3) MB wa Arumeru Mashariki.
(4) Makamanda wote wa vijana ndani Jiji na hata wilaya za jirani.
(5) MB,Godbless Lema! TOP


KAMA UNA LA KUSEMA SEMA! Maana una dalili ya kuwa teja kwa mafisadi lakini nakwambia epukana nao mapema kama wenzako waliorudisha kadi za mafisadi leo ndani ya jukwaa!!
 
Kila kitu kimeenda shwafi kbs.
Hata inzi hajapoteza maisha!

Ama kweli hawa polisisisiem ni janga kwa Taifa letu.
Naweza kusema kwa jinsi nilivyoona leo pale tu Kamanda wa vijana CDM alivyogusia rambirambi ya yule askari aliyeuawa kwa kupigwa risasi na yule jambazi sugu na ndipo wanaCDM wakapinga kwa katukatu kwmb hawatatoa rambirambi kwa ajili ya huyo askari.
Ndipo nikajua ya kwmb" MNYONGE MYONGENI HAKI YAKE MPENI"

Na ni mpaka mwezi wa tatu tukutane tena ktk sakata la uchaguzi wa madiwani usiona na upinzani!

HALELUYAAA!!

Kama umeisha kwa Amani thts good. Hongereni.
 
KAMA UNA LA KUSEMA SEMA! Maana una dalili ya kuwa teja kwa mafisadi lakini nakwambia epukana nao mapema kama wenzako waliorudisha kadi za mafisadi leo ndani ya jukwaa!!
nothing like will happen on me lengo langu lilikuwa kujua yaliyo jili huko

walikuwa wangapi waliorejesha kadi
 
Kumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili

Kwa Akili zako zilizopinda unataka kusema sherehe za kumbukumbu ya uhuru ni bora kuliko kuwakumbuka wahanga wa Arusha waliouawa na polisi kikatili wakati wakidai haki na ukweli?
Ficha Upumbavu wako!
 
attachment.php

05-01-2012
 
wananchi wa jiji la arusha hawajajitokeza kama kawaida yao katika mkutano huu wa chadema, watu ni wachache sana sijuii hali hii inamaanisha nini kwa chadema
magambas katika uwajibikaji (in progress)
 
ukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!

Wewe umekufa tayari ni maiti inayo tembea!Wale hawajafa bado,ningali nikiisikia sauti yao inayo tuhimiza kupambana dhidi ya udhalimu!
 
Back
Top Bottom