Hatima yake ni ilifungwa kwa sala sote ya dini na tukatakiana kila la Kheri na raia wakatawanyika kwa Amani ya Bwana ikiwatawala
Ishaaalhaaalh!!!!!!!
ni viongozi gani wa kitaifa walikuwepo?
Hatima yake ni ilifungwa kwa sala sote ya dini na tukatakiana kila la Kheri na raia wakatawanyika kwa Amani ya Bwana ikiwatawala
Ishaaalhaaalh!!!!!!!
ukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!
aksante sana ndugu bea, maneno yako ni mazuri na ni ya kizalendo tutafika tu, ubarikiwe sanahawa jamaa + ndugu wa mafisad wa ccm hawatak wasikie harakat kama hizo!ila inshort mmechelewa sana!
hongreni sana mkutano mkubwa wa amani tunaomba list ya viongozi waliokuwepo hukohatima yake ni ilifungwa kwa sala sote ya dini na tukatakiana kila la kheri na raia wakatawanyika kwa amani ya bwana ikiwatawala
ishaaalhaaalh!!!!!!!
Ndugu wa karibu wa marehemu eg Mke, Mama au ndugu tegemezi wamesaidiwa ?.
Nilikuwa kwenye mapumziko, Sikutaka kujiingiza kwenye issue yoyote zaidi ya kupumzika na familia yangu. Hukwenda?? Hopeful sijapitwa na chochote!
Unafiki tu hakuna cha kuwaenzi wala nini hapo, wamekosa jukwaa la pigia domo wanajitia kuenzi wafu. kwani waliokufa kwa ajili ya maandamano wako Arusha tu??????????? Basi mungu awajalie kuendelea kuwaenzi kila mwaka kama mtaweza(((((WEWE KWA MAWAZO YAKO AYA, ATA WANAO WALE VICHANGA WATAHOJI CREDIBILITY PIA AKILI YAKO PIA KAMA HUNA UJI KTK UBONGO WAKO HASA KM MKUU WA FAMILIA, MAANA KILA UNACHOANDIKA HUMU NI FULL OF PUMBA PIA MASHUDU, DUH UACHE KUTUCHEFUA DAILY UMU JANVINI))))
Cha kusikitisha hata majina ya wale waolifariki hakuna anaeyajua..
Nasikia toka wapewe rambirambi ya laki mbili hakuna cha ziada
ukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!
hongreni sana mkutano mkubwa wa amani tunaomba list ya viongozi waliokuwepo huko
Kila kitu kimeenda shwafi kbs.
Hata inzi hajapoteza maisha!
Ama kweli hawa polisisisiem ni janga kwa Taifa letu.
Naweza kusema kwa jinsi nilivyoona leo pale tu Kamanda wa vijana CDM alivyogusia rambirambi ya yule askari aliyeuawa kwa kupigwa risasi na yule jambazi sugu na ndipo wanaCDM wakapinga kwa katukatu kwmb hawatatoa rambirambi kwa ajili ya huyo askari.
Ndipo nikajua ya kwmb" MNYONGE MYONGENI HAKI YAKE MPENI"
Na ni mpaka mwezi wa tatu tukutane tena ktk sakata la uchaguzi wa madiwani usiona na upinzani!
HALELUYAAA!!
nothing like will happen on me lengo langu lilikuwa kujua yaliyo jili hukoKAMA UNA LA KUSEMA SEMA! Maana una dalili ya kuwa teja kwa mafisadi lakini nakwambia epukana nao mapema kama wenzako waliorudisha kadi za mafisadi leo ndani ya jukwaa!!
Kumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili
magambas katika uwajibikaji (in progress)wananchi wa jiji la arusha hawajajitokeza kama kawaida yao katika mkutano huu wa chadema, watu ni wachache sana sijuii hali hii inamaanisha nini kwa chadema
ukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!