Yaliyojiri Mahakama Kuu divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, kesi ya Mbowe na wenzake - 30 Nov 2021

Naomba unisaidie kuona ushahidi wowote au kielelezo chochote kinachoonyesha 'kula njama kutenda vitendo vya kigaidi'. Najaribu kutafuta kila siku sijafanikiwa. Labda ni mimi sielewi.
Utunzi wa Kamanda Kingai umeishapwaya sana, walichobakiza ni kulazimisha kukataa ushahidi unaowatengua nyonga. Nako pamoja na yote ya kubebwa bebwa wazidi kupwaya.
 
Kama wakili wenu ni Mallya mnategemea kitu kweli..?Mallya anaenda mahaka
ani akiwa amelewa mbega kumtetea Mbowevaliyopo jela..wewe unategemea nini kitatokea?
Kwani umeisha wajulisha Sirro, Kingai na Jaji?
Unajua inaweza kuja kusaidia wakapata cha kuokoteza siku Sirro atakapoitwa kutoa kama shahidi muhimu upande wa utetezi.
 
Tatizo ni jaji.kwanini ameruhusu haya yatokee mahakamani?mawakili wa serikali walidhani pale oysterbay ni shimoni kiasi kwamba Msemwa alikuwa haonekani akiwa kazini hapo?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app

..baada ya hii utetezi wanatakiwa walete mashahidi watakaothibitisha kwamba washtakiwa walifikishwa kituo cha Polisi Tazara, na Mbweni.
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu



Hivi kumbe watu Kama Lembrus bado wapo Tanzania.
Nani Kati yenu anaweza kusimamia kauri zake mbele ya pilato Kama Lembrus?
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Mbona Kesi haifiki kwenye Kupanga Njama za Kutenda Ugaidi? Nilitaka niskie Mpango ulivyoratibiwa, Silaha na Vilipuzi viliyonunuliwa, Mashoka,Chainsaw, n.k. Ili Kesi iishe. Hivi Gaidi aliwezaje kupitishwa na Nec kuwa Mgombea Ubunge? Na Kampeni akafanya Gaidi🤑
 
Mbona hata wewe utaliwa na fuza tena wale weusi na wabaya
Hujaelewa concept! Hata watakatifu wa Mungu wataliwa na funza; ndio njia ya kila mwanadamu. Tatizo ni aliyejiona kama Mungu wa nchi kumbe si lolote si chochote; naye anaoza? Naye analala kaburini?

Ule ukuu; na dharau; na kiburi; na majivuno; na kebehi; na kujiona; na kujisikia; na kila aina ya maguvu uchwara ya dumia hii dhidi ya binadamu wenzie yako wapi? Eti atatawala milele; si kujifanya sawa na Mungu huku?

The official title of the Catholic popes naipenda sana; THE SERVANT OF THE SERVANTS OF GOD. Laiti kila mwenye mamlaka angeishi kwa kutambua yeye ni mtumishi tu na maisha ni ya kitambo tu! Yule kiumbe hakujua hilo!
 
..baada ya hii utetezi wanatakiwa walete mashahidi watakaothibitisha kwamba washtakiwa walifikishwa kituo cha Polisi Tazara, na Mbweni.
Tuseme kwamba ikibainika bila ya shaka yoyote kwamba Washtakiwa hawakufikishwa Central, Dar; na pakawepo ushahidi usiokuwa na shaka kwamba washtakiwa walikuwepo Tazara na Mbweni, hapo kesi ya msingi ya kula njama bado itakuwa na miguu ya kutembea kweli?
 
Tuseme kwamba ikibainika bila ya shaka yoyote kwamba Washtakiwa hawakufikishwa Central, Dar; na pakawepo ushahidi usiokuwa na shaka kwamba washtakiwa walikuwepo Tazara na Mbweni, hapo kesi ya msingi ya kula njama bado itakuwa na miguu ya kutembea kweli?
Wewe piga ramli tu
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
WEWE usidangenye WATU ,hufatilii hii kesi, ushahidi GANI umenyooka KWa upande wa serikali,?
Tumeshudia DR zingine zimegundishwa na gundi ,au kuegeshwa na pini, entry za mtuhumiwa wa mwaka jana kwenye DR ipo 300 na na wa 2021 ipo mia moja na , Sasa nani ametangulia?

Haya Msemwaa anasema kaamia osterbay 2021,shaidi anasema amekua nae tangu wa tano 2020, Sasa huo ndo ushahidi upande wa serikali wamejipanga, ? Ni wa kuunga unga

Sasa subili kwenye kesi KUBWA tutashudia vituko mpaka basi
 
Back
Top Bottom