pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Hii kesi hakimu akiacha uCCMi itakua tamu sana
Nyie endeleeni na roho mbaya tu, alikuwepo mmoja aliyejiona kuwa mdogo wake Mungu, akanyanyasa na kuua kila aliyeonyesha kupinga maamuzi yake, lakini mpaka muda huu tunazungumza analiwa na funza huko Chato, sasa kwa kuwa mna akili za kuku endeleeni, mtaumiza watu kwa hila ili kufaidi keki ya taifa pasipo kupigiwa kelele, lakini Mungu anayaona na wakati wake ukifika atachukua hatua kali sana!Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.
Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.
Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.
Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.
Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.
Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.
Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.
Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Mawakili wa mbowe wanachelewesha tu kesi,mara diary mara GPO badala ya kujikita kwenye kupangua kesi
Yaani kuna siku alikua anapinga maelezo ya askari kwamba wakati wa tukio alikua Arusha kikazi na sasa yupo oysterbay,
Kibatala hajui kwamba askari anaweza kuwa yupo mbinga lakini anafanya upelelezi chake chake?
Wewe ni ccm hivyo huna budi kuongea huo utumbo kwa sababu hii kesi ni ccm vs Chadema na refa na washika vibendera wake wote ni ccm. Sasa hapo unategemea nini. It's a total bullshit.Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.
Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.
Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.
Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.
Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.
Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.
Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.
Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Waupe tu hao,wanajaribu kupulizia kinyesi pafyumu.Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.
Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.
Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.
Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.
Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.
Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.
Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.
Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Wakili wa Serikali: Ni kweli Watu walikuwa wa nakupa Pole Kwenye Mitandao yako Baada ya Kupata Ajali
Shahidi: Ndiyo
Mbona hata wewe utaliwa na fuza tena wale weusi na wabayaNyie endeleeni na roho mbaya tu, alikuwepo mmoja aliyejiona kuwa mdogo wake Mungu, akanyanyasa na kuua kila aliyeonyesha kupinga maamuzi yake, lakini mpaka muda huu tunazungumza analiwa na funza huko Chato, sasa kwa kuwa mna akili za kuku endeleeni, mtaumiza watu kwa hila ili kufaidi keki ya taifa pasipo kupigiwa kelele, lakini Mungu anayaona na wakati wake ukifika atachukua hatua kali sana!
Ina maana wewe huamini "kesi inaweza kutengenezwa"?Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Haina shida, najua nitakufa ila furaha yangu ni kuona mtesi na muuaji wa wasio na hatia ili tu kujihakikishia madaraka ya kudumu anakula zake udongo na funza wakiongeza rutuba ya udongo huko chato ili raia wapate mavuno mazuri!Mbona hata wewe utaliwa na fuza tena wale weusi na wabaya
Ila Mawakili wa Serikali wamewakalia vibaya sana akina Mbowe na wenzake. Kila kielelezo kinacholetwa na upande wa utetezi kinapigwa chini. Hakika katika kesi hii WS wameonesha umahiri mkubwa sana.
Ukitaka kuelewa ukweli wa haya mambo angalia maswali ya mahojiano kinzani(Cross examination) Mawakili wa Serikali ya jana kwa mshitakiwa namba mbili yalivyo-weaken kesi ya upande wa utetezi. Mpaka mwisho wa siku shahidi akabaki kusema ni sahihi kwa kila swali.
Mark my words. Kwa mwenendo huu wa kesi naona kabisa Mbowe na wenzake watafungwa na mahakama.
Ndio hajakataa atakufa na kauliwa na funza. Na pia hatujakataa. Lakini magufuli alidhani ataish MILELE KWA kuwa alipewa urais na NEC KWA kuua watu, kudhulumu kufisidi, kupora, kubambikizia watu kesiMbona hata wewe utaliwa na fuza tena wale weusi na wabaya
Kama wakili wenu ni Mallya mnategemea kitu kweli..?Mallya anaenda mahakaVingapi Jaji amepewa maelekezo na Kuwasaidia? Unaona Mawakili wa serikali wana akili? Wanasimama kabisa mahakamani na kujitamba wao ni mawakili wa serikali hivyo automatically wanaiwakilisha mahakama wanamaanisha nini?
Jaji hii kesi imeshakuwa ngumu ndio maana kila kitu anaahirisha hata alicho kitolea maamuzi anaki ahirisha.
Kuhusu Dispatch Book Shahidi Jana aliongea vizuri na Tulisoma hapa Lakini Jaji kwa Makusudi Hakuandika. Leo kaulizwa anasema haoni! haoini wakati Shahidi alisema
“Criminals do not die by the hands of the law. They die by the hands of other men.”Mungu ndio hakimu mkuu. Majaji duniani wasipotenda haki Mungu huwaadhibu kwa namna ya ajabu kabisa wakiwa hapahapa duniani.
Kesi hii tunaona kabisa jinsi ambavyo haina haki wala usawa. Jaji anaelemea Misri
Tatizo ni jaji.kwanini ameruhusu haya yatokee mahakamani?mawakili wa serikali walidhani pale oysterbay ni shimoni kiasi kwamba Msemwa alikuwa haonekani akiwa kazini hapo?..kingai,na mahita, walieleza kwamba wao sio askari wa kilimanjaro, bali walikwenda huko kwa kazi maalum.
..msemwa alisema mahakamani, chini ya kiapo, kwamba yeye kituo chake ni central police Dsm.
..sasa utetezi wamepata shahidi anayedai kwamba msemwa ameidanganya mahakama, kituo chake siyo central.
“Criminals do not die by the hands of the law. They die by the hands of other men.”Wewe utopolo ni nani hapo ameweka pingamizi? Ni mawakili wa Mbowe? Mida ya kuumbuliwa sasa imefika, inakuaje huyo Msemwa awe Oysterbay halaf wakati huohuo awe yupo central police? Sijui hata unaelewa nini kinaendelea...🚮🚮🚮
Wewe mwenyewe ndio muhalifu no.1Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.
Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.
Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.
Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.
Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.
Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.
Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.
Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Kwako wewe haki ni kina Mbowe kushinda!!
Ushahidi wa upande wa mashitaka ni wa wazi sana. Mawakili wa utetezi wamepwaya sana. Hivyo tuiache mahakama itende haki
Kama master mind wa ukamataji Kingai ameshatoa ushaidi wake pumba, unategemea Nani mwingine aje atoe ushaidi wa kueleweka?? Hapo sasahivi ni mwendo wa maigizo na vichekesho tuMkuu, nami kila nikifikiria kwa ushahidi ambao mpaka sasa umeshatoka, sioni kabisa kesi inayofanana na huo UGAIDI. Labda kama kuna USHAHIDI utakaotolewa huko mbele, ambao utakuwa tofauti kabisa na hayo tuliyoyasikia!