nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Poleni sana. Huyo haingii Ikulu
Ikiwa leo ni siku ya Maombi , Sala na Shukrani nchi nzima, Mgombea Urais anayesubiriwa kwa hamu kupigiwa kura na wananchi walio wengi ambapo anatarajiwa kushinda kwa zaidi ya 75%, anaendelea na kampeni ya kuomba kura za kishindo kwenye baadhi ya maeneo ya kilimanjaro na Tanga.
Kama kawaida yetu tutaendelea kuwahabarisha kila kinachojiri mahali pote anapopita.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
" RAIS MPYA OYEE , TANZANIA MPYA OYEEE "
View attachment 1612406
=========
Hedaru
View attachment 1612784View attachment 1612785View attachment 1612786
Handeni :
View attachment 1612803View attachment 1612804View attachment 1612805View attachment 1612806
SAME :
View attachment 1612947View attachment 1612948View attachment 1612949View attachment 1612950