Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Mikutano ya kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

Poleni sana. Huyo haingii Ikulu
Ikiwa leo ni siku ya Maombi , Sala na Shukrani nchi nzima, Mgombea Urais anayesubiriwa kwa hamu kupigiwa kura na wananchi walio wengi ambapo anatarajiwa kushinda kwa zaidi ya 75%, anaendelea na kampeni ya kuomba kura za kishindo kwenye baadhi ya maeneo ya kilimanjaro na Tanga.

Kama kawaida yetu tutaendelea kuwahabarisha kila kinachojiri mahali pote anapopita.

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika

" RAIS MPYA OYEE , TANZANIA MPYA OYEEE "

View attachment 1612406

=========

Hedaru

View attachment 1612784View attachment 1612785View attachment 1612786


Handeni :

View attachment 1612803View attachment 1612804View attachment 1612805View attachment 1612806

SAME :

View attachment 1612947View attachment 1612948View attachment 1612949View attachment 1612950
 
Lissu Handeni.jpg


Lissu Handeni1.jpg

Onyo kwa NEC...msichezee kura za wananchi!
Asante Handeni!​
 
Tiketi yake ni ya ndege yenye bonge la mlo wa Kimataifa siyo ya Musukuma Bus Service wanakowauzia abiria biskuti za muhogo, pili atakuwa tayari Rais akisafiri Daraja la Kwanza, abiria wa ndege wanajua manaake.

Ni ujinga kuwa Msukuma anayefikiria Ulaya ya Chato,ujinga zaidi huyohuyo pia kuwa mwanachama wa CCM. Safirini mfunguke macho muone dunia zaidi ya Chato!
Rais Lissu atasafiri daraja la kwanza kwenda kwa beberu lake Amsterdam hapo Dec 18!
Chadema mna Raha Sana kuwa na rais Vasco da Gama kabla hata hajaapishwa atakuwa tayari anaanza kuzurura.
Unafurahia eti Ana tiketi in bonge la mlo pumbafff urais wa mashoga wa ufipa huyo.
 
Mwaka huu hakuna mambo ya kujiandaa kisaikolojia, tutakutana barabarani tu rafiki.

mngekua mna akili timam na mna maanisha, mnegkua mshaenda barabarani mapema sana! kuna watu wanne wamekufa pemba hili lenyewe linatosha kuwaweka barabaran, kuna kura za awali znaendelea zanzibar hii yenyewe inatosha kuwaweka barabaran, ila umekaa kwenye keyboard unapiga kelele
 
Back
Top Bottom