Since 1984Duh! kumbe we jamaa ni mwana mabadiliko ee
Watanzania baada ya miaka mitano migumu tunahitaji kupumzika......twende na Lissu
BetterMmh ...let me reserve my comment.
Sio bure!! Leo umerudishiwa akili zako!! Asante Mungu umemkomboa huyu ndugu!!Amina mugah di mathew
Tanzania ndio mama yetu tuombe Mungu, tufate sheria na taratibu za uchaguzi ili tuvisaidie vyombo vya serikali kudumisha amani
Piga kura Rudi nyumbani uepukane na wenye fujo
AminaWito: Zuia hujuma zote zinazopangwa za kuhujumu ushindi wa Tundu Lissu , masaa machache mno yamesalia kabla nchi yetu kukombolewa
Bavicha waanze doria kama wenzao wa ActWazalendoHuu ni mpango wa Mwenyezi Mungu, watamtangaza tu. Niswala la muda tu.
Maana hawataweza kuiba kura.
Safari hii Jiwe atapigiwa kura na MAGENGE YAKE YA WASIOJULIKANA pamoja na GHOST VOTERS.Hahahaha daa, ndo kwaaaaanza hujaruka ruk vizuri!
Sio bure!! leo umerudishiwa akili zako!! Asante Mungu umemkomboa huyu ndugu!!
Tiketi yake ni ya ndege yenye bonge la mlo wa Kimataifa siyo ya Musukuma Bus Service wanakowauzia abiria biskuti za muhogo, pili atakuwa tayari Rais akisafiri Daraja la Kwanza, abiria wa ndege wanajua manaake.Kampeni zimeisha lissu atunze pesa iliyobaku ya kununua biskuti njiani anaporejea kwao ubeligiji
Vijana wa ACTwakamata Wapiga Kura hewa na Mabomu ya Sirro
John shibuda au?Sijawahi azimwa wala kuazima akili. Ila nashukuru Mungu tumeanza KUELEWANA MNFUMAKOLE 😁
mugah di mathew
Kura zote kwa John kisha tunarudi hapa kupongezana
Wahindi wa Unguja wanawaita "Chori Voters"Naomba mgawane hayo mabomu, muwashughulikie hao ghost voters na mlinde vituo kuanzia leo, big up
John Pombe wa Joseph Magufuli 😍👍John shibuda au?
Sio vibaya kujifariji. Amen!Mungu mbariki Lissu. Mungu ibariki CHADEMA hatimaye tabasamu lionekane machoni mwa wapenda HAKI