Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,606
Mungu atatenda bila hata farajaSio vibaya kujifariji. Amen!
Mungu atatenda bila hata farajaSio vibaya kujifariji. Amen!
Mungu atatenda bila hata faraja
Ila mkuu unaniangusha mnoo!! kweli unashabikia huo mzigo wa miba!!John Pombe wa Joseph Magufuli
Ila mkuu unaniangusha mnoo!! kweli unashabikia huo mzigo wa miba!!
Hamna mkuu! miba imepandwa na CCM toka uhuru!!Hii miiba tuliipanda wenyewe wacha tupambane kuiondoa wote
Kwani mmeshahesabu kura mpaka useme kilichomuangusha...subirini watu wapige kuraKilicho muangusha Lisu ni utetezi wake wa mapenzi ya jinsia mmoja na kutoamini kwamba Mungu ameiepusha Tanzania na janga la virusi vya Corona.
Mkuu unabishana na hao kijani? Wana hofu kuu, mwenyekiti wao presha imepanda, hawaamini kama watu wanaenda kuwatoa madarakani kama mbwa mwiziJohn shibuda au?
Hakika tumedhulumiwa sana....na huu ndio mwisho....waoMungu mbariki Lissu. Mungu ibariki CHADEMA hatimaye tabasamu lionekane machoni mwa wapenda HAKI
Naamini siyo kwa bahati mbaya hukumalizia kwa kusema au kuandika Mungu ibariki Tanzania ulipenda Bila Shaka kuandika mungu wabariki mabeberu, mungu mbariki Amsterdam
Wewe kibabu kalee wajukuuNaamini siyo kwa bahati mbaya hukumalizia kwa kusema au kuandika Mungu ibariki Tanzania ulipenda Bila Shaka kuandika mungu wabariki mabeberu, mungu mbariki Amsterdam
Hawana hoja na vichwa vyao ni vigumu kuelewa hoja za Lissu wamebaki na ajenda ya UshogaKiukweli huwa sielewi mindset ya watu kama nyinyI . You are very advanced in sexology, kwa Nini hamuwezi tu kusema ok, hayo mambo hayanihusu? Kijijini Kwetu sijawahi kusikia ushoga, na hiyo siyo priority yangu. Kijijini Kwetu tuanata maji, afya, na elimu bora yanayobaki tutafanya wenyewe, freedom: that is what Tundu our inspirer talks about
Ndio hapo watakapokwenda JPM sijui mtazimiaWatanzania baada ya miaka mitano migumu tunahitaji kupumzika......twende na Lissu
Uchaguzi ukiwa Huru na wa HAKI Lissu mwenyewe alisema atakuwa wa Kwanza kumpongeza atakayekuwa ameshinda......ikitokea vinginevyo........Ndio hapo watakapokw3nda JPM sijui mtazimia
Kiukweli huwa sielewi mindset ya watu kama nyinyI . You are very advanced in sexology, kwa Nini hamuwezi tu kusema ok, hayo mambo hayanihusu? Kijijini Kwetu sijawahi kusikia ushoga, na hiyo siyo priority yangu. Kijijini Kwetu tuanata maji, afya, na elimu bora yanayobaki tutafanya wenyewe, freedom: that is what Tundu our inspirer talks about
Lala salama iko njema sanaIkiwa leo ni siku ya Maombi , Sala na Shukrani nchi nzima, Mgombea Urais anayesubiriwa kwa hamu kupigiwa kura na wananchi walio wengi ambapo anatarajiwa kushinda kwa zaidi ya 75%, anaendelea na kampeni ya kuomba kura za kishindo kwenye baadhi ya maeneo ya kilimanjaro na Tanga.
Kama kawaida yetu tutaendelea kuwahabarisha kila kinachojiri mahali pote anapopita.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
" RAIS MPYA OYEE , TANZANIA MPYA OYEEE "
View attachment 1612406
=========
Hedaru
View attachment 1612784View attachment 1612785View attachment 1612786
Handeni :
View attachment 1612803View attachment 1612804View attachment 1612805View attachment 1612806
SAME :
View attachment 1612947View attachment 1612948View attachment 1612949View attachment 1612950
Watu wamechoshwa na CCM
Kanyaga twende baba. Mungu akutangulie.Ikiwa leo ni siku ya Maombi , Sala na Shukrani nchi nzima, Mgombea Urais anayesubiriwa kwa hamu kupigiwa kura na wananchi walio wengi ambapo anatarajiwa kushinda kwa zaidi ya 75%, anaendelea na kampeni ya kuomba kura za kishindo kwenye baadhi ya maeneo ya kilimanjaro na Tanga.
Kama kawaida yetu tutaendelea kuwahabarisha kila kinachojiri mahali pote anapopita.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
" RAIS MPYA OYEE , TANZANIA MPYA OYEEE "
View attachment 1612406
=========
Hedaru
View attachment 1612784View attachment 1612785View attachment 1612786
Handeni :
View attachment 1612803View attachment 1612804View attachment 1612805View attachment 1612806
SAME :
View attachment 1612947View attachment 1612948View attachment 1612949View attachment 1612950