nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Dogo Urio kateseka sana. Kasahau mke, mtoto, baba, mama, paroko, makomando wenzake.
Kuna tatizo kubwa sana.
Bado anashikiliwa lkn anawaamini police?
Mie naamini angetumia mahakama kuwamwaga police na aseme mbele ya jaji kuwa nimekaririshwa na kulazimishwa tu.
Angekuwa poa sana
Kuna tatizo kubwa sana.
Bado anashikiliwa lkn anawaamini police?
Mie naamini angetumia mahakama kuwamwaga police na aseme mbele ya jaji kuwa nimekaririshwa na kulazimishwa tu.
Angekuwa poa sana