mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,572
- 9,809
Mawakili upande wa utetezi wameweza kujenga hoja mpaka Urio na mawakili upande wa mashtaka wametepeta. Kusema ukweli kizimba cha mahakama kimekuwa cha moto kuliko shahidi mwingine awaye yeyote yule.
Tukumbuke tu huyu ndiye ambaye alikuwa shahidi muhimu mno upande wa mashtaka. Sasa maswalu chokonozi kuhusu ex-commandors Khalid na Mhina ndivyo vitamvua nguo hadharani. Nakubaliana kabisa na hoja ya Wakili Msomi Kbatala kuwa katika majibu ya Lt. Urio "light's are on, but nobody in the house"
Tukumbuke tu huyu ndiye ambaye alikuwa shahidi muhimu mno upande wa mashtaka. Sasa maswalu chokonozi kuhusu ex-commandors Khalid na Mhina ndivyo vitamvua nguo hadharani. Nakubaliana kabisa na hoja ya Wakili Msomi Kbatala kuwa katika majibu ya Lt. Urio "light's are on, but nobody in the house"