Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wana JF
Habari zenyu bwana . Nipeni habari za mtaani kwenyu huko je ni mbaya kama hapa Kinyerezi ? Kata ya Kinyerezi eti imepokea karatasi na makabrasha ya kura za Kata ya Gerezani .Na Gerezani nadhani watakuwa wamepokea za Kinyerezi au Kata gani ila kwa kifupi kuna tatizo kubwa hadi muda huu niko kituoni hakuna kinacho endelea .
Hebu sema mtaani kwako kama wewe umesha wapa UKAWA kura tafadhali .
Habari zenyu bwana . Nipeni habari za mtaani kwenyu huko je ni mbaya kama hapa Kinyerezi ? Kata ya Kinyerezi eti imepokea karatasi na makabrasha ya kura za Kata ya Gerezani .Na Gerezani nadhani watakuwa wamepokea za Kinyerezi au Kata gani ila kwa kifupi kuna tatizo kubwa hadi muda huu niko kituoni hakuna kinacho endelea .
Hebu sema mtaani kwako kama wewe umesha wapa UKAWA kura tafadhali .