Huku kwetu kilindi hatufanyi uchaguzi maana ccm imepita bila kupingwa wilaya nzima
Brother, Tanga, Pwani na Morogoro ni misukule ya ccm hawana wanalolijua zaidi ya ccm hivyo usishangae.
Brother, Tanga, Pwani na Morogoro ni misukule ya ccm hawana wanalolijua zaidi ya ccm hivyo usishangae.
na hali ilivyo hapa panachafuka mda si mrefu