Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Brother, Tanga, Pwani na Morogoro ni misukule ya ccm hawana wanalolijua zaidi ya ccm hivyo usishangae.

Sio kweli hawa walinyimwa elimu kwa makusudi na ndio utaona hata muamko kwao ni mdogo sana.
 
hivi kwa nini hakuna wino?? maana hapa kunawadau wanajinadi kuwa wakitoka hapa wanakwenda kupiga kura vituo vingene.na wanadai kabisaa wanalipwa pesa kwa kazi hiyo.
hapa dar vituo vingi hakuna wino why
 
mimi ndiyo naenda kupiga kura yangu kwa Chadema.
kwa bahati mbaya hata mgombea simjui sikupata muda kabisa wakuhudhuria kampeni..
nitawajuza matokeo, coz kituo kiko hatua 100 kutoka kwangu.

Nitachagua Chadema tu.
 
Nimetokea mwanza mpaka musoma Lila sehemu nikipita vidole viwili mi nawahi kupiga kura kwa Mkiti wangu wangu wa ukawa
 
Ilala Sharif Shamba Dar es salaam Uchaguzi umeahirishwa hadi Jumapili ijayo. Sababu ya kuahilishwa ni kukosekana kwa majina ya Baadhi ya wajumbe na Wagombea. Msimamizi kasema "karatasi hazikukamilika, majina ya wajumbe yalikua machache. Uchaguzi utafanyika Jumapili ijayo".

Wananchi wamepokea hali hiyo kwa masikitiko sababu muda ulikuwepo wa kutosha Serikali kujipanga. Jana mtendaji alisema zipo kamili. Sehemu nyingine Ilala uchaguzi unaendelea.
10394829_315185165342124_3766768674896111478_n.jpg
 
Hapa kibangu-ubungo mambo swafi na mie nshadumbukiza wino kidoleni
 
💥WAZO LA LEO💬:

Ukiona MTOTO unamtuma dukani halafu harudishi CHENJI ujue huyo ukubwani atakuwa MTAFUTAJI mzuri; Ni jambo jema mtie MOYO. Ukiona MTOTO anapiga wenzake ujue chuyo ni BONDIA wa baadae ni jambo jema usimpige. Ukiona MTOTO unampeleka shule za gharama lakini kichwani bado MBULULA! ujue huyo ukubwani atakuwa "MCHEZAJI WA TAIFA STARS" si mbaya sana. Ukiona mtoto anakuwa na tabia za "UONGO, WIZI WA MBOGA, MBISHI SANA" ujue huyo ukubwani atakuwa KADA wa CCM usimtie moyo CHARAZA VIBOKO maana watatuharibia Nchi yetu!!

Haya amka sasa, Kamata bakora yako(kalamu), nenda kituo cha kupigia kura, kamcharaze bakora zako mgombea wa CCM kwa kupeleka kura yako UKAWA!!

Nkutakie Uchaguzi Mwema!!
 
wadau mimi binafsi nimeenda kupigaz kura . pale wameweka wino baada ya kupiga kura uchovye kidole chako mle kama alama usije kurudia tena kupiga kura kwa mara ya pili.nimepiga kura nimemaliza hakuna mwenye muda na mimi wakuniambia wino huo hpo nimemaliza hadi nimeondoka wananitizama.inamaana mawakala hawajui kazi ama wameshikishwa?
 
Bila mbinu ya kuengua wagombea wa upinzani kwa hila,ccm ni wepesi zaidi ya karatasi!
 
mbona kuna pipa na bajaji vimeandikwa ukawa halafu ofisi rangi za ukawaukwa au macho yangu----------
 
CCM ni watekaji na wauaji ilitakiwa muwalinde viongozi wenu mana hakuna ukombozi wa haki pasipo kumwagika damu. Ila nanyi msiwe walalamikaji muwateke wagombea wao watakaopita. Mwenzio akimwaga ugali nawe mwaga mboga.
 
Back
Top Bottom