💥WAZO LA LEO💬:
Ukiona MTOTO unamtuma dukani halafu harudishi CHENJI ujue huyo ukubwani atakuwa MTAFUTAJI mzuri; Ni jambo jema mtie MOYO. Ukiona MTOTO anapiga wenzake ujue chuyo ni BONDIA wa baadae ni jambo jema usimpige. Ukiona MTOTO unampeleka shule za gharama lakini kichwani bado MBULULA! ujue huyo ukubwani atakuwa "MCHEZAJI WA TAIFA STARS" si mbaya sana. Ukiona mtoto anakuwa na tabia za "UONGO, WIZI WA MBOGA, MBISHI SANA" ujue huyo ukubwani atakuwa KADA wa CCM usimtie moyo CHARAZA VIBOKO maana watatuharibia Nchi yetu!!
Haya amka sasa, Kamata bakora yako(kalamu), nenda kituo cha kupigia kura, kamcharaze bakora zako mgombea wa CCM kwa kupeleka kura yako UKAWA!!
Nkutakie Uchaguzi Mwema!!