Mgombea wa kitongoji cha Isandula juu kupitia CHADEMA ndugu Kasema amevamiwa usiku wa kuamkia leo tarehe 14/12/2014 na kukatwa katwa mapanga sehemu mbali mbali za mwili wake hali iliyompelekea kupoteza fahamu.
Ndugu Kasema anatarajiwa kushinda kitongoji hicho kutokana na nguvu kubwa aliyonayo, siku kadhaa zilizopita alifuatwa na viongozi wa ccm na kumtishia maisha iwapo ataendelea na msimamo wake wa kujitoa katika kinyang'anyiro hicho.
Hivi sasa amelazwa katika hospital ya Magu akiendelea kupatiwa matibabu. Tunamwombea kwa Mungu apone ili aendelee na harakati za ukombozi wa kitongoji chake
Ndugu Kasema anatarajiwa kushinda kitongoji hicho kutokana na nguvu kubwa aliyonayo, siku kadhaa zilizopita alifuatwa na viongozi wa ccm na kumtishia maisha iwapo ataendelea na msimamo wake wa kujitoa katika kinyang'anyiro hicho.
Hivi sasa amelazwa katika hospital ya Magu akiendelea kupatiwa matibabu. Tunamwombea kwa Mungu apone ili aendelee na harakati za ukombozi wa kitongoji chake