Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,464
Una hakika? We binafsi unajua nini? Na kwa nini nyie ni majizi sana? Unajua mini hufanyika? Kwa nini mkishindwa huwa hamtangazi matokeo hadi muone watu wako tayari muwauwe? Nitajie mbunge mmoja wa Chadema ambaye alitangazwa kwa haki! Majizi nyie mnadhani hatujui? Ukawa imewakaba mnabwabwaja tu! Tulieni dawa iwaingie! This time sio Chadema ni ukawa! Ndo mtajua! Cheki na invizibo akupe dili za baraza jipya la mawaziri lilovuja na benki ya dunia yagoma kutoa msaada tz, mfe tu!
Siwezi kubishana na wewe kwa sababu naona umejifungua kwenye box huoni nje, na kwa akili yako ilivyo fupi unaona kila mpinzani ni CCM, sina ushabiki wa siasa za kiafrica, nadharia yangu inaamini hakuna mwanasiasa katika nchi hiyo mwenye nia ya dhati kusaidia jamii, wote wamekwenda kwa ajili ya matumbo yao na family zao,upinzani uko tz toka mwaka 1992 mbinu za CCM ni zile zile za wizi zakuhadaa miaka 22 mmekaa kulalamika tu nini kinawashinda kuiga mbinu zao? Kama pesa na nyinyi simnavuta ruzuku?
Nilisema mtaanza kulalamika pitia malalamiko ya wenzako wameishanza mara majina hayaonekani mara CCM wameshapiga kura, mpaka lini mtalalamika?