Mimi nipo njia kuu.
Mkuu hapa kidole gumba kimeshachafuka na wino kuashiria kuwa nimeshatimiza wajibu. Naamini maeskrow mtaani kwetu yatalia leo
Ndio tupo kwenye foleni mkuu
bado unatetea wezi wenzako waendelee kutuibia
Kwa kuwa wewe ni ccm hatutashangaa kutembea uchi kariakoo.Huoni Fedrick werema,Muhongo,Tibaijuka na wengine wako uchi lakini bado wanaingia ofisini.Chadema ikipata mitaa hata kumi tu, Nitatembea uchi Kariakoo.